Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,384
- 2,880
Hakuana wa kunichesha kwa stress zangu nilizo nazo ila tu nyash ikisaula nguo nikaona 🍏 wazee nacheka vzr tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stand comedy is the hardest Job everChukua list yote ya Cheka Tu & Watu Baki, watoe TX Dullah, Madevu: hawa wanafanya vizuri kotekote kwenye kuigiza (skit) na stand-up comedy, wana story na punchline zitakazokufanya ucheke.
Wapo wengi wanajitahidi ila kwenye angle ya uigizaji zaidi kuliko stand-up comedy:
1. Eliud: yupo vizuri sana kwenye uigizaji kuliko stand-up comedy ila bado anaweza kujiboresha zaidi.
2. Jol Master: tatizo lake kubwa ana mapepe sana awapo jukwaani na maudhui yake kwa asilimia kubwa ni ngono na ndiyo tasnia nzima ya comedy imelalia upande huo, mpaka wakina TX Dullah wanaanza kupita na huo upepo kwenye skit zao. Wengine kwenye skit zao wanahamasisha mpaka ubakaji kwa kigezo cha uchekeshaji bila kujua.
***Leonardo: kipindi anaanza alikuwa anafanya vizuri sana kwenye stand-up comedy, sasa hivi itakuwa kashalewa sifa. Kwenye uigizaji (skit) uhusika wake ni kama anafanya maudhui kwaajili ya watoto.
***Kipotoshi pale Watu Baki naye anajitahidi sana kusukuma gurudumu yupo na dogo mwingine akipanda jukwaani unatamani asishuke.
Wanaobaki: Coy Mzungu, Ndaro, Steve Mweusi, Madirisha (huyu hajui kuchekesha wala kuingiza, anabebwa kishkaji), Mtumishi Obama, Shafii Brand (sharobaro), Mr. Black, MC Kisoli (aweke nguvu kwenye utangazaji na ushereheshaji tu), Chard Talent (muigizaji mzuri ila siyo uchekeshaji), Deo (kelele nyingi tu, kwenye uigizaji anaweza aweke nguvu huko) hawa wangetafuta shughuli nyingine za kufanya, angalau mwenzao Coy Mzungu kajipata. List ni ndefu sana, wapo wanaojitahidi ila wengine ni wasindikizaji tu.
Cha msingi watu wapambane tu wapige madusko yao, muhimu mkate/ugali ukae mezani. Kwa hapa bongo watapiga pesa tu maana tasnia yetu ya sanaa hadhira imeshazoea kupokea kazi mbovu, kuanzia muziki, filamu, uchekeshaji n.k.
Kuna ile Clip Yake ya kufukuza makabila tofauti tofauti kazi.aissee Aliua Kwa wachaga. Wakurya na wahaya noma sana Yule jamaaa na likichwa lakeNamulewa Madevu tu
Jiheshimu kijana una shida gani😬acha shoboHivi huyu Bolotoba ndo yule mume wangu wa Katoro Geita au wa wapi!
BoloTomba? au Bolo la Toba?
Cc: secretarybird Mbaga Jr Poor Brain Lloyd Munroe
Sawa Bolotoba.Jiheshimu kijana una shida gani😬acha shobo
Wewe si wa kiume kabisa mbona unafanya hivi, hujamuona aggreyJiheshimu kijana una shida gani😬acha shobo
Mkojani anapiga kelele tukuna member aliwahi niambia nisimseme vibaya mtu anayefanya kazi halali inayomuingizia kipato
lakini comedy ni kazi ya sanaa, sisi hadhira tuna haki ya kuchambua na kukosoa
Mkojani sijawahi kumuelewa.
Shida ni watazamaji ndo mambo wanayofagilia1. Mkaliwenu
2. Dulvan (huyu ye contents zake huwa kama shoga)
Kuna kujichekelesha kwa mkumbo pia, Waswahili ukiwa na wenzako unaweza kuwa unacheka cheka hovyo tu vitu ambavyo hata havichekeshi.Yote tisa kumi, ndo tuone jamii kubwa ya WaTZ either ni stress au masuala ya afya ya akili, wakikaa kwenye hizi live shows za stand up comedy wanachekeshwa na hawa hawa tunaoona hawachekeshi. Tena wanalipia hela kabisa mara kwa mara. Maybe ni audience wana stress sana au sijui ni nini kwakweli...anyways its all about choices...let me not judge..(thou I think I have)
Ukikakuta na demu wako tembeza makofi kakubwa kaleAisee, mi nilikuwa najua ni katoto...
Ni moja ya kazi za binadamu mwenye ubongo unaofanya kazi.Duh mwamba usha conclude.
Binadamu tupo vizuri kwenye judgement.
Hongera HIGH IQ..!!!
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ganslay kama huwa namwelewa kiasiComedians Hawa hawajui kuchekesha (kwa mujibu wangu), nimewafollow ili niwacheke wasivojua kuchekesha
@shafii_comedian
Mr mwanya
Mr navy og
Chenjeu
neila (Cheka tu)poor presentation
mzee shayo
Mama chanja
asma_comedian
headmaster
ganslay
Hawa wote ni wavivu wa kulima
To be Continued
Hongera HIGH IQNi moja ya kazi za binadamu mwenye ubongo unaofanya kazi.
Madevu anajua sanaNamuelewa Deo na Madevu..wanaujua kuchekesha