Ni msanii gani wa Comedy unaona kabisa hamnaga kazi ila ndo hivyo tu

Na yombo
 
Umemsahau mama mawigi
 
Ile Churchill kwa kweli hadi nilienda tu kulala maana hadi anafika mtu wa 4 sijacheka
Ilikuwa inaboa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…