Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

Engager

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
1,522
Reaction score
3,255
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
 
unakuta huyu ni shabiki mkubwa wa best naso ila hamuelewi mzee wa commercial
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
 
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
Ay hajawahi kuwa favourite artsist kwangu lakini pamoja na yule bado ana ngoma zingine kali tu kama usijaribu, zigo, binadamu n.k. msanii ambae sijawahi kumuelewa anachoimba ni mchizi mox
 
AY ni kama Kagera Sugar. Hajawahi kuchukua ubingwa ila pia hashuki daraja. Ni msanii mwenye uzoefu mkubwa wa kufanya jitihada TEMBO ila matokeo SISIMIZI. Anazo nyimbo chache ninazozipenda.. Yule, binadamu feat. Kirya na machoni kama watu feat. Jaydee.

Baada ya enzi zao kupita kina Temba na Chege nao wamekuwa wakitoa nyimbo za hovyo.
 
Back
Top Bottom