Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wakuu msisahau kazi na umri.
yani umuelewe Remmy ongala na uje umuelewe Jay melody? Sahau
yani umuelewe Remmy ongala na uje umuelewe Jay melody? Sahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonge moja ya ngoma.AY ft Sauti sol
Mkuu huujui mzikiHii ni 10 bora ya watu ambao hawakupaswa kujihusisha na muziki kwa sababu ya kukosa vipaji;
1. Jux
2. Shilole
3. Wakazi
4. Queen Darlin
5. Madee
6. AY
7. Babalevo
8. Ali Kiba
9. Tundaman
10. Best Naso.
Nmewaekea wasikilize kwanza wanaosema hawamuelewi YesaaayaaBonge moja ya ngoma.
Wale chuma hichoNmewaekea wasikilize kwanza wanaosema hawamwelewi Yesaaayaa
Nitafanyaje ,analeta mapozii,yule yule yule ,mama KMimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
Nifah naomba usikae kimya kuhusu No. 8 tafadhali sana..!!Hii ni 10 bora ya watu ambao hawakupaswa kujihusisha na muziki kwa sababu ya kukosa vipaji;
1. Jux
2. Shilole
3. Wakazi
4. Queen Darlin
5. Madee
6. AY
7. Babalevo
8. Ali Kiba
9. Tundaman
10. Best Naso.
Ccm hapo ilipigwa HAMSa[5-bila]![]()
Wasanii wengine....wanajua kurusha watu-Rap ama kufukafoka
![]()
NAKAZIA mtu hamuelewi AY, FA, JUX, PLATNUMZ, ALI KIBA, MARLAW, MADEE lazima uulize umri wake for realWakuu msisahau kazi na umri.
yani umuelewe Remmy ongala na uje umuelewe Jay melody? Sahau
Kabisa umri unachangia hali hiyo sana uwezi kuwa unamuelewa lesi wanyika, msondo ngoma kama mzee wetu Grahams alafu uwaelewe fresh boys, billnas, kondeboy na wengineo.NAKAZIA mtu hamuelewi AY, FA, JUX, PLATNUMZ, ALI KIBA, MARLAW, MADEE lazima uulize umri wake for real
Nakuunga mkono 100%. Hiyo namba 2 ni takataka kabisa.Msinipige mawe fans wao 😁
1. Young Lunya, nimejitahidi lakini wapi, vile anatumia spead kuficha weak bars na style yake ya kurap kama anataka kutapika kama version flani ya trap.. Niiteni hater tu 😁
2. D Voice & Mac Voice
3. B2K
4. Mabantu... Hawa naheshimu mafanikio yao kwa kutengeneza club bangers, japo na Matusi yanawasaidia sana, Ila masikio yangu yanachelewa kukubali muziki tricky tricky
Duh! Ni vile naheshimu msimamo wako. Ila kumkataa AY inabidi uwe kauzu kama kitu gani sijui.Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
Em isikilize current situation - YN ft Country wizMsinipige mawe fans wao 😁
1. Young Lunya, nimejitahidi lakini wapi, vile anatumia spead kuficha weak bars na style yake ya kurap kama anataka kutapika kama version flani ya trap.. Niiteni hater tu 😁
2. D Voice & Mac Voice
3. B2K
4. Mabantu... Hawa naheshimu mafanikio yao kwa kutengeneza club bangers, japo na Matusi yanawasaidia sana, Ila masikio yangu yanachelewa kukubali muziki tricky tricky
Ngoja nikaitafute maana Wizzy huwa namsikiliza kiasi. Na pia kutokana na historia yao kimuziki kama senior & junior, wanaweza kuwa, wamepania 😁Em isikilize current situation - YN ft Country wiz