Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hamna kitu kinaitwa ukwelBado haindoi ukwel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu kinaitwa ukwelBado haindoi ukwel.
Yeah baada ya 2010 Bongo fleva imeharibika sana hakuna kinachoimbwa zaidi ya kubana pua,matusi na kukopi amapiano na nigerian beatsBongo fleva yote ya kuanzia 2010s sijawahi juielewa. Ndio maana utakuta nasikiliza zangu Jay Mo, Chid Benz, Prof Jay, Watengwa, Solo, Nature baasi
That is your opinionHamna kitu kinaitwa ukwel
Na wale Solid Ground Family kitu cha bush party😂😃😃😃😃😃😃😃Ila wasanii wa zamani kila mtu alikuwa na staili yake ya kipekee.
Kuna Crazy Gk,D knob,Kali P na yule mwingine jina nimemsahau aliimba nyimbo ya Nampenda bibi kikongwe hawa jamaa ilikuwa nikisikiliza nyimbo zao nilikuwa nacheka sana hadi nikawa addicted nazo bila ya kutarajia
Aliyeimba nampenda Bibi kikongwe ni Dudubaya.😃😃😃😃😃😃😃Ila wasanii wa zamani kila mtu alikuwa na staili yake ya kipekee.
Kuna Crazy Gk,D knob,Kali P na yule mwingine jina nimemsahau aliimba nyimbo ya Nampenda bibi kikongwe hawa jamaa ilikuwa nikisikiliza nyimbo zao nilikuwa nacheka sana hadi nikawa addicted nazo bila ya kutarajia
Yes swadakta,hiyo ni miongoni mwa hizo nyimbo zilizokuwa zinanichekesha hasa ikifika kwenye ule mstari unaosema"aliyekuja na ngedere amtoe out maana humu ndani anazua varangati"😃😃😃😃Na wale Solid Ground Family kitu cha bush party😂
Enzi zile wasanii walikua wanatoa burudani sana
Hapana anaitwa Piko kama sijakoseaAliyeimba nampenda Bibi kikongwe ni Dudubaya.
B2k mimi kama fan wake nitakupiga maweMsinipige mawe fans wao 😁
1. Young Lunya, nimejitahidi lakini wapi, vile anatumia spead kuficha weak bars na style yake ya kurap kama anataka kutapika kama version flani ya trap.. Niiteni hater tu 😁
2. D Voice & Mac Voice
3. B2K
4. Mabantu... Hawa naheshimu mafanikio yao kwa kutengeneza club bangers, japo na Matusi yanawasaidia sana, Ila masikio yangu yanachelewa kukubali muziki tricky tricky
Upo sahihi kabisa Mkuu.Hapana anaitwa Piko kama sijakosea
Daah yaani Jux na Kiba hawana vipaji........duu.Hii ni 10 bora ya watu ambao hawakupaswa kujihusisha na muziki kwa sababu ya kukosa vipaji;
1. Jux
2. Shilole
3. Wakazi
4. Queen Darlin
5. Madee
6. AY
7. Babalevo
8. Ali Kiba
9. Tundaman
10. Best Naso.
Ay kwa wale ambao wameanza kusikiliza bongo fleva early 2000 and before ndio utafaham. Lakin kama umeanza kusikuliza bongo fleva from 2009 kushuka nope, hutoelewa chochoteMimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
Kwa Marlaw umekosea, mpaka leo nyimbo zake za wakati ule zilibamba sana na zinabamba mpaka sasa hata hazichoshi.Kuna Marlaw. Nae sikuwahi kuzielewa ngoma zake kabisa japo kunakipindi alikiwasha sana.
Au Athumani akishalewa.. lewa....anashindwa kujielewa....lewaNa wale Solid Ground Family kitu cha bush party😂
Enzi zile wasanii walikua wanatoa burudani sana
Hao wanawake watatu uliowataja ni wajanjawajanja tu ila wana akili za kijasiriamali walitumia mziki kama njia tu ya kupita na kufanya mambo yao mengineShilole
Luludiva
Snura
Ibra wa harmonize
Ila we mzee umenichekesha sana 😂Umewataja Les Wanyika pamoja na Msondo Ngoma Baba ya Muziki, umefanya nichukue miwani yangu niangalie mara mbili mbili picha ya mrembo mmoja niliyekutana naye Nairobi Mwaka 47 wakati tumeenda Disko (Club) kuziona hizo Bendi mbili 🤗
Those were days 🤗🙌