Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

😃😃😃😃😃😃😃Ila wasanii wa zamani kila mtu alikuwa na staili yake ya kipekee.
Kuna Crazy Gk,D knob,Kali P na yule mwingine jina nimemsahau aliimba nyimbo ya Nampenda bibi kikongwe hawa jamaa ilikuwa nikisikiliza nyimbo zao nilikuwa nacheka sana hadi nikawa addicted nazo bila ya kutarajia
Na wale Solid Ground Family kitu cha bush party😂

Enzi zile wasanii walikua wanatoa burudani sana
 
Harmorapa nimejaribu msikiliza had kipindi p funk kamchukua ila wapiiii nkahisi labda mimi sio mwna hip hop.ila.kwa harmorapa nmechemka, sikio limekua zito.
 
Temba apa, jamaa nilikua simuelewi kabisa aisee.
Mpaka leo bado kipaji hana kabisa sijui ni ile TMK ilimbeba au ni nini.

Juma Nature, kwa jinsi alivyokua anasifiwa na media na kujizolea mashabiki lukuki ila sikuwahi muelewa.
Baadhi ya nyimbo za zamani ni kali ila za hao jamaa hapo juu sijui zilikua zinapendwa kwasababu gani. Wanaimba kama wanaongea tu kitu ambacho hata mimi naweza.
 
😃😃😃😃😃😃😃Ila wasanii wa zamani kila mtu alikuwa na staili yake ya kipekee.
Kuna Crazy Gk,D knob,Kali P na yule mwingine jina nimemsahau aliimba nyimbo ya Nampenda bibi kikongwe hawa jamaa ilikuwa nikisikiliza nyimbo zao nilikuwa nacheka sana hadi nikawa addicted nazo bila ya kutarajia
Aliyeimba nampenda Bibi kikongwe ni Dudubaya.
 
Msinipige mawe fans wao 😁

1. Young Lunya, nimejitahidi lakini wapi, vile anatumia spead kuficha weak bars na style yake ya kurap kama anataka kutapika kama version flani ya trap.. Niiteni hater tu 😁

2. D Voice & Mac Voice

3. B2K

4. Mabantu... Hawa naheshimu mafanikio yao kwa kutengeneza club bangers, japo na Matusi yanawasaidia sana, Ila masikio yangu yanachelewa kukubali muziki tricky tricky
B2k mimi kama fan wake nitakupiga mawe
 
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
Ay kwa wale ambao wameanza kusikiliza bongo fleva early 2000 and before ndio utafaham. Lakin kama umeanza kusikuliza bongo fleva from 2009 kushuka nope, hutoelewa chochote
 
Umewataja Les Wanyika pamoja na Msondo Ngoma Baba ya Muziki, umefanya nichukue miwani yangu niangalie mara mbili mbili picha ya mrembo mmoja niliyekutana naye Nairobi Mwaka 47 wakati tumeenda Disko (Club) kuziona hizo Bendi mbili 🤗

Those were days 🤗🙌
Ila we mzee umenichekesha sana 😂
Kwahiyo bila miwani uoni ?

Shikamoo babu.
 
Back
Top Bottom