Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Nadhani kwa sababu AY huwa hatoi hits kwa muda mrefu tofauti na FA ambaye kila akirudi anasimamisha mji..Duh! Ni vile naheshimu msimamo wako. Ila kumkataa AY inabidi uwe kauzu kama kitu gani sijui.
Ova
Ila AY nina nyimbo nyingi tu nazikubali, toka Raha tu, yule hadi point ya Zigo