Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wewe ni hater tu.Jux huwa anaimba nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni hater tu.Jux huwa anaimba nini
ila we jamaaa moton hapakutoshiAY ni kama Kagera Sugar. Hajawahi kuchukua ubingwa ila pia hashuki daraja. Ni msanii mwenye uzoefu mkubwa wa kufanya jitihada TEMBO ila matokeo SISIMIZI. Anazo nyimbo chache ninazozipenda.. Yule, binadamu feat. Kirya na machoni kama watu feat. Jaydee.
Baada ya enzi zao kupita kina Temba na Chege nao wamekuwa wakitoa nyimbo za hovyo.
We mzee huwezi kuwa serious!Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
Nyie hawahawa si ndio mliosema anapiga shoo za vijijini na anajaza kuliko maelezo.. Leo mnasema akale nyama choma😂😂😂Best naso hapana kwakweli, hizo hela anapeleka studio bora angekua anakula nyama choma ajenge shavu
Ulishasikia mchizi unategemea nnAy hajawahi kuwa favourite artsist kwangu lakini pamoja na yule bado ana ngoma zingine kali tu kama usijaribu, zigo, binadamu n.k. msanii ambae sijawahi kumuelewa anachoimba ni mchizi mox
AY naye ni msanii??Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
Hahaha.....hata mimi.Honestly nimeanza kucheka kabla sijafungua uzi. 😅😅😅
Basi wewe ni mwanakijiji kweli kweliMara mia nisikilize Narudi kijijini kuliko Habari ndo hiyo kwakweli
Best naso anamzidi mbali sana AYMara mia nisikilize Narudi kijijini kuliko Habari ndo hiyo kwakweli
You see! Soma comments sasa ucheke.Hahaha.....hata mimi.