Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Watu wanafki kama nyie ndio wanakutaga mmekatwa kichwaUshirikina ulikuwepo enzi na enzi. Lakini sisi tuliokombolewa na Damu ya Yesu ya thamani(Simba) tunapinga ushirikina kwa nguvu zote.
Ibilisi hawezi kumshinda Mungu kwamwe. Ni suala la muda tu.
Mwandiko wako pamoja na malalamiko yako bado kidogo ufanane na dada yangu GENTAMYCINENaipenda sana Simba SC yangu na natamani tushinde ila siyo kwa Kubebwa ( Mbeleko ) kama hii ya Leo.
Wana Simba SC mtakaonichukia kwa hili nichukieni na mkiweza nitukaneni mnavyoweza ila kwa 100% Ushindi wa leo tumebebwa na Mwamuzi....
Simba ikipewe mbeleko wewe unapata hasara ipi? au unacheza michezo ya bahati nasibu?Naipenda sana Simba SC yangu na natamani tushinde ila siyo kwa Kubebwa ( Mbeleko ) kama hii ya Leo.
Wana Simba SC mtakaonichukia kwa hili nichukieni na mkiweza nitukaneni mnavyoweza ila kwa 100% Ushindi wa leo tumebebwa na Mwamuz...
Yanga acheni ulozo.Watu wanafki kama nyie ndio wanakutaga mmekatwa kichwa
Mpira wa kisasa ndo huu wa simba siku hizi?Endeleeni kuamini nguvu za kishirikina sisi tunapinga mpira wa kisasa. Yanga ni washirikina wa kudumu.
Naipenda sana Simba SC yangu na natamani tushinde ila siyo kwa Kubebwa ( Mbeleko ) kama hii ya Leo.
Wana Simba SC mtakaonichukia kwa hili nichukieni na mkiweza nitukaneni mnavyoweza ila kwa 100% Ushindi wa leo tumebebwa na Mwamuzi.
Tunapokuwa Kila Siku tunawasema Yanga SC na GSM kuwa Wanahonga Waamuzi basi kwa huu Upumbavu na Upuuzi uliotokea leo nasi Simba SC tukubali kuwa METL nao wameamua rasmi sasa Kuingia Kazini.
Nje ya Kushinda kwa Goli la Msanii wa Injili Rose Ndauka la Nibebeeee...Nibebeeeee... bado hata leo Simba SC yetu imecheza mpira mbovu na usipeleweka hali inayonifanya niamini kuwa huenda Makocha weru ni tatizo au Wachezaji weru Uwezo wao umefikia Kikomo ili tujipange Kufanya Usajili wa maama Msimu ujao.
TFF, TPLB na Kamati ya Saa 72 nawaombeni hata msichelewe Kukaa Kikao cha Kumfungia huyu Mwamuzi ambaye ana jina la Ubini la Simba hivyo yawezekana alitaka Kulifurahisha hilo Jina kwa Kuibeba wazi wazi Simba SC kwa kuipa Penati leo.
Mwanasimba yoyote ambaye atabisha au atanibishia kuwa leo Simba SC tumebebwa kwa kupewa ile Penati iliyotupa Ushindi ajiite ni Mwendawazimu, Mnafiki na hajui Soka bali ni Shabiki Takataka na siyo Mdau na Mdaawa wa Mchezo wa Soka kama tulivyo Wapenda Haki wengine.
Najiandaa sasa Kusoma Comments za Wanasimba Wendawazimu ambao watakuja Kunishambulia hapa JamiiForums baada ya Kusema huu Ukweli.
Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu!!!
rose ndauka anaimba injili siku hizi?Naipenda sana Simba SC yangu na natamani tushinde ila siyo kwa Kubebwa ( Mbeleko ) kama hii ya Leo.
Wana Simba SC mtakaonichukia kwa hili nichukieni na mkiweza nitukaneni mnavyoweza ila kwa 100% Ushindi wa leo tumebebwa na Mwamuzi...
Simba inacheza hovyo nowdays .....binafsi sienjoy kuangalia mpira wao saiv ...ni hovyooYule beki kuinua mkono vile ndio imemponza...hata mimi mwanzo niliona ameshika mpaka iliporudiwa mara nne.
Ingawa nakiri timu imecheza vibaya.
Muda wote unahisi tunafungwa.Simba inacheza hovyo nowdays .....binafsi sienjoy kuangalia mpira wao saiv ...ni hovyoo
Kabisa mkuu na unakuta kabisa sometimes timu imepaki basi lakini njia mbadala huwa hatuna ....tunalazimisha Tu vipasi vya penetration.Muda wote unahisi tunafungwa.
Kwa jana kosa kosa za Prison zilikuwa hatari kuliko za Mafowadi wa Simba wanaolipwa mishahara mara kumi ya hao Wenzao.
Una Elements zote za Mwanaume Shoga.Mwandiko wako pamoja na malalamiko yako bado kidogo ufanane na dada yangu GENTAMYCINE
Kukosea / Kupitiwa kwa Mwanadamu / Binadamu ni kawaida Pumbavu.rose ndauka anaimba injili siku hizi?
Nafurahi zaidi kuwajua wana Simba SC Wendawazimu niliowategemea kama Wewe na Wenzako wengi tu ambao nawaona mmekurupuka Kuuchangia Uzi huu.We ndio mpumbavu.
Laumu timu haikucheza vizuri.Mwamuzi alifanya kazi yake.
Eneo lile mchezaji anatawanya mikono mbele kama anaogelea,hata mpira ukimgusa,ni makosa na ataadhibiwa kwa nakosa yale.
Je mpira aliushika au hakuushika?
Ni kweli mpira aliugusa.Sasa mwamuzi kwa nini asione ni kosa?Mpira ni mchezo wa makosa,mmeamua kucheza kwenye eneo lenu,epukeni kufanya makosa..baasi!
Usituletee kanuni za vijiweni vya watu mliokosa kazi na mnapata bundle kwa dada zenu.Eti lazima ufunge kwa move!
Hata kumlazimisha mpinzani kufanya makosa ni soka.
Muwe mnaangalia wenye mpira wao sio kuwasikiliza wachambuzi mashoga kama akina priv nyonyo
๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎKukosea / Kupitiwa kwa Mwanadamu / Binadamu ni kawaida Pumbavu.
Kwa hiyo unapitiwa dah/ Kupitiwa kwa Mwanadamu /
Mungu hana habari na mipira yenu usimshirikishe kabisa... Yeye katuketa duniani kuja kumuabudu tu.Ushirikina ulikuwepo enzi na enzi. Lakini sisi tuliokombolewa na Damu ya Yesu ya thamani(Simba) tunapinga ushirikina kwa nguvu zote.
Ibilisi hawezi kumshinda Mungu kwamwe. Ni suala la muda tu.