We ndio mpumbavu.
Laumu timu haikucheza vizuri.Mwamuzi alifanya kazi yake.
Eneo lile mchezaji anatawanya mikono mbele kama anaogelea,hata mpira ukimgusa,ni makosa na ataadhibiwa kwa nakosa yale.
Je mpira aliushika au hakuushika?
Ni kweli mpira aliugusa.Sasa mwamuzi kwa nini asione ni kosa?Mpira ni mchezo wa makosa,mmeamua kucheza kwenye eneo lenu,epukeni kufanya makosa..baasi!
Usituletee kanuni za vijiweni vya watu mliokosa kazi na mnapata bundle kwa dada zenu.Eti lazima ufunge kwa move!
Hata kumlazimisha mpinzani kufanya makosa ni soka.
Muwe mnaangalia wenye mpira wao sio kuwasikiliza wachambuzi mashoga kama akina priv nyonyo