Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Ulimwengu wasasa watu wanaangalia ulichonacho kichwani hawaangali hizo Degree na Gpa za chupi
Hawaangalii Degree kwahio hapa akiomba wa Form six au asiyesoma Accountant anapata
IMG-20240627-WA0029.jpg
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidato cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?

Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!

Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!

Povu ruksa!
Yani haya maneno yameonyesha wew Ni msomi mjinga kabsaa,
Hvi unafkri employment ndo solution ya umaskini?
Nani alkuambia boss wako anataka utajirike? He just giving you something for your bills only , as you increase your bills ,he also increase a salary and the cycle continues to death!.
Pesa Ipo mtaani kijanaa ,mi skwenda chuo naweza save 1000k per month apart from my expenses na nkiteleza Sana mpak 500k , mpaka Leo nashindwa kwenda chuo naogopaa kuziacha pesa, Mana utajiri upo mbele yangu haf kwa biashara ambayo nikikwambia huwezi amini hta kdogo mzee.
Yani hta doctor mwenyew hanifikii ,namshukuru Allah kwa hlo.
Kwa kifupi una mindset ya kimaskini ,
Itoshe tu kusema hakuna muajiriwa tajiri kwa kutumia ajira yake .
Pesa Ipo mtaani Ni wew na akili yako, SYSTEM zako na the way you can manage your business.
Kasome CASHFlOW by Robert kiyosaki , utanishukuru na utaamini nimekusema vbaya kwa hakika.
Miaka 60 ya ajira, mafanikio:
1.ist 2. Nyumba kwa pesa za mkopo na stress. 3. Pension.
Yaliyompita.
1. Hukupta mda kuishi maisha ya ndoto yako mfano kuwa na vacation ukafanya mambo Kama tourism ,Raising your children as you wish ,instead of being raised by a maid .
2. Kw sisi tunaamini mungu, hukupata mda wa kutimiza zle God's commandments ,e .tc.
3.difficullt in controlling your time ,but being dictated by your boss.
Lakini entrepreneur Ni kinyume na hayo yote na anawza akawa na financial stability au financial freedom Kwa miaka 20 tuu ,Yani akwa anaweza kulala asfanye kazi mwaka na zaidi na pesa inaingia kupitia system alizotengeneza wakati wew employee una hustle miaka 60 ku pay your bills , Yani unatoa umri wako wote Ima kumtajirisha tajiri au kuitumikia serikali ili ulipe bills tu , kwasababu as long as you increase effort on your work it means your are fighting for making your boss rich .
NB : sipingi ajira lakni ajira so ktu Cha kuringia na kusema watu kabsa , Kama mwenye thread alivyojitapa na kudhrau watu wanao mind their own business mtaan Bali ajira Ni lazma for building a community or country coz, we depend on each other.
Lakni unapoanza kuongelea ajira Kama mtatuzi wa umaskini nakushangaa Sana.
I'm done , thank you.
 
Hivi kwenye mtihani aliyepata alama 100 % na aliyepata alama 81 ‰ si wote wamepata daraja "A", au nakosea ?

Na kama kanuni inasema kufaulu ni kuanzia daraja "A" hadi daraja "C" kwa maana hiyo aliyepata "A" na aloyepata "C" wote wamefaulu kwa mujibu kwa kanuni ya ufaulu iliyo pangwa, hakuna aliye feli hapo.

Sasa iweje kwenye kuajiri ubague kuwa huyu kafaulu sana huyu kafaulu kidogo hivyo tubague walio faulu sana japo wote wamefaulu.

Any way tuachane na hiyo, chukua hii "Je unajua kuwa uwezo wa utendaji unaonekana zaidi kwenye field kuliko kwenye haya ma GPA ya kwenye makaratasi " ?

Leo hii mchukue injinia wa chuo kikuu mwenye GPA ya 5 ya kwenye makaratasi alafu mchue na VETA wa darasa la saba wapeleke kwenye field uje unambie nani ataonekana kilaza kwenye field kama siyo huyo injinia mwenye GPA ya 5.

Utendaji kazi haupimwi kwa GPA ya 5, watu tunakariri tu na kwenye paper tunaenda tunatusua lakini kumbe tulikariri.
Huyo Engeneer na huyo fundi uchundo wa veta unavailable kwa kipimo gani kuginga kokoto au ku-design daraja na vipimo maana wanakazi tofauti.
 
hatujawai kufanya kaz sehemu 1, ile kampuni niliyomuunganishia kaz ilikuja ikauzwa, directors walimake hela nyingi sana, mmoja akafungua kampun nyingine akamfanya country manager, anamlipa vzuri sana, aisee huyu jamaa, kuna siku bwana kanipgia, oya wapi hyo? mm home, vp lkizo au? mm yap, aksema afadhali bwana kuna kimeo cha siku 10 hapa nilitakiwa nisafiri kama vp ukakifanye basi, nikamuuliza utanitoaje, akajbu 250usd/dy, nikamwambia poa, yy nakutumia detalls basi uandae work program na budget, nikaandaa nikamtumia, akawa kimya tu, siku nakutana naye ananiambia aisee ile kaz uliandaa poa sana, ila nilimpa dogo mmoja akaenda kuifanya, kuanzia siku hyo sijawai pokea simu yake
jamaa yako anajikuta nani.
 
wacha tu, kuna mwamba alikuwaga slow lena mbaya, yaani nilikuwa natumia muda mwingi sana kumfundisha, alitoka na lower second, alipata kaz kabla yangu akawa anaongea shit sana juu yangu kuwa nilikuwa najiona kipanga ila nipo mtaani, huku na huku akawa kaharibu jobun kwake wakamfukuza akawa yupo mtaani ila ananikwepa sana, siku moja nikampigia nikamwambia tuonane, tukapiga kit moto na mbili tatu, nikamwambia aje jobuni kwangu, jobuni kwangu kuna hr aliacha kaz baada ya kupata sehemu nyingine, jamaa alipokuja nikamuuliza una cv? akajbu ipo kwenye flash, nikapokea flash nikaprint ile cv nikamwambia twende, tukaenda kwa yule hr, kufika tulisalimiana tu nikamwekea cv mezan nikamwambia mkuu naomba umpe huyu jamaa yangu kaz, yule hr aliniangalia akatingisha kichwa, akajbu sawa mkuu, haikuisha hata wk jamaa akaitwa kazn bila hata interview, jamaa yuko njema sana kwa sasa, ila tukikutana kwenye mazungumzo lazima atasema gpa kali sio maisha,
Yani bado anaendelea kusema aisee hii dunia ina watu mzee ila sishangai mi nina mwanangu Mungu ndiye shahidi nimemuingiza TPDF ila hadi leo hata kuongea na mimi kwenye simu hataki kila nikiwaza wapi nilimkosea sioni niliona basi isiwe tabu.
 
jamaa maisha kayapatia mkuu, uongo mbaya yuko njema sana, kuna project waliwauzia wachina alikuwa na hisa pia, anapokea dividend ya 200m+ kila mwaka na wana contract ya 15yrs na wachina.

jamaa maisha kayapatia mkuu, uongo mbaya yuko njema sana, kuna project waliwauzia wachina alikuwa na hisa pia, anapokea dividend ya 200m+ kila mwaka na wana contract ya 15yrs na wachina.
aisee kwa hiyo now tunasema ni millionaire kiasi flan.
 
Kuna waliofaulu vizuri sana ila hawana refa, waliofeli na walio na refa wanachukuwa nafasi za waliofaulu ila hawana refa.
 
Yani bado anaendelea kusema aisee hii dunia ina watu mzee ila sishangai mi nina mwanangu Mungu ndiye shahidi nimemuingiza TPDF ila hadi leo hata kuongea na mimi kwenye simu hataki kila nikiwaza wapi nilimkosea sioni niliona basi isiwe tabu.
hao ndo walimwengu mkuu, kuna dogo wa mtaani alimaliza 4 akakaa nyumbani kama mwaka hv, siku nimeenda kumsalimia bi mkubwa akaja kunipa hi, mwishowe akaniambia bro nimeshakaa sana home naomba unilipie chuo cha ualimu private nikasome, nikamuuliza sh ngapi ada akaniambia 850k miaka miwili, nilimpa cash hyo hela, hatuna undgu wala nn, alimaliza chuo na kazi alipata ila hajawai hata kunitumia sms kuwa alishamaliza chuo na kupata kazi.
 
hao ndo walimwengu mkuu, kuna dogo wa mtaani alimaliza 4 akakaa nyumbani kama mwaka hv, siku nimeenda kumsalimia bi mkubwa akaja kunipa hi, mwishowe akaniambia bro nimeshakaa sana home naomba unilipie chuo cha ualimu private nikasome, nikamuuliza sh ngapi ada akaniambia 850k miaka miwili, nilimpa cash hyo hela, hatuna undgu wala nn, alimaliza chuo na kazi alipata ila hajawai hata kunitumia sms kuwa alishamaliza chuo na kupata kazi.
Aya ona sasa ila nilichojifunza ni kitu ambacho kama nimeamua kutoa ni toe tu kama kwa nyakati hizo uwezo sina namuweka mtu wazi tu.

Kwasababu wengi wetu baada ya kutoka katika dimbwi la shida ngumu mno kukumbuka nyuma.
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidato cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?

Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!

Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!

Povu ruksa!
Una akili za pimbi
 
hao ndo walimwengu mkuu, kuna dogo wa mtaani alimaliza 4 akakaa nyumbani kama mwaka hv, siku nimeenda kumsalimia bi mkubwa akaja kunipa hi, mwishowe akaniambia bro nimeshakaa sana home naomba unilipie chuo cha ualimu private nikasome, nikamuuliza sh ngapi ada akaniambia 850k miaka miwili, nilimpa cash hyo hela, hatuna undgu wala nn, alimaliza chuo na kazi alipata ila hajawai hata kunitumia sms kuwa alishamaliza chuo na kupata kazi.
Mungu atakulipa
 
Back
Top Bottom