Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Pole ndiyo maisha
wacha tu, kuna mwamba alikuwaga slow lena mbaya, yaani nilikuwa natumia muda mwingi sana kumfundisha, alitoka na lower second, alipata kaz kabla yangu akawa anaongea shit sana juu yangu kuwa nilikuwa najiona kipanga ila nipo mtaani, huku na huku akawa kaharibu jobun kwake wakamfukuza akawa yupo mtaani ila ananikwepa sana, siku moja nikampigia nikamwambia tuonane, tukapiga kit moto na mbili tatu, nikamwambia aje jobuni kwangu, jobuni kwangu kuna hr aliacha kaz baada ya kupata sehemu nyingine, jamaa alipokuja nikamuuliza una cv? akajbu ipo kwenye flash, nikapokea flash nikaprint ile cv nikamwambia twende, tukaenda kwa yule hr, kufika tulisalimiana tu nikamwekea cv mezan nikamwambia mkuu naomba umpe huyu jamaa yangu kaz, yule hr aliniangalia akatingisha kichwa, akajbu sawa mkuu, haikuisha hata wk jamaa akaitwa kazn bila hata interview, jamaa yuko njema sana kwa sasa, ila tukikutana kwenye mazungumzo lazima atasema gpa kali sio maisha,
 
B
wacha tu, kuna mwamba alikuwaga slow lena mbaya, yaani nilikuwa natumia muda mwingi sana kumfundisha, alitoka na lower second, alipata kaz kabla yangu akawa anaongea shit sana juu yangu kuwa nilikuwa najiona kipanga ila nipo mtaani, huku na huku akawa kaharibu jobun kwake wakamfukuza akawa yupo mtaani ila ananikwepa sana, siku moja nikampigia nikamwambia tuonane, tukapiga kit moto na mbili tatu, nikamwambia aje jobuni kwangu, jobuni kwangu kuna hr aliacha kaz baada ya kupata sehemu nyingine, jamaa alipokuja nikamuuliza una cv? akajbu ipo kwenye flash, nikapokea flash nikaprint ile cv nikamwambia twende, tukaenda kwa yule hr, kufika tulisalimiana tu nikamwekea cv mezan nikamwambia mkuu naomba umpe huyu jamaa yangu kaz, yule hr aliniangalia akatingisha kichwa, akajbu sawa mkuu, haikuisha hata wk jamaa akaitwa kazn bila hata interview, jamaa yuko njema sana kwa sasa, ila tukikutana kwenye mazungumzo lazima atasema gpa kali sio maisha,
👍
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Kuna dada mmoja alisona SUA mambo ya rural planning ana upper second class na form six ana division 1 na 4m4 alitona na 2 Kama boss 3. ajira muda mwingine ni bahati tu
 
nadhani mtoa mada ni mhaya maana hilo neno ufaulu kaliita ufauru, pili kupata A sio kigezo cha kupata kazi hayo ma A na ma first class yamejaa mtaani na hayana kazi , na ukitaka kuamini muulize mkuu wa ailaya ya Ubungo anayehangaika na maafisa utamu kule riverside wengi ni graduate wenye CV kali lakini ndio wameangukia kwenye mkumbo huo. Kazi sio A kwenye nchi zenye upuuzi na ujinga ujinga kama hiyo ya kwetu.
 
Ajira ni ngumu pia, fulsa ni chache,hata ufaulu vzr kiasi gani, kwa, hapa kwetu mwajiri mkubwa ni serikali,lqkini, yenyewe Ina limit, haiwezi kuajiri kila mwalimu, dokta anayetoka chuo,
Shule zipo, nyingi, na, zinahitaji, waalimu, sasa ukiajiri wote utawalipa kwa pesa, ipi? Wakati mapato hayatoshi? Serikali iliweka tozo,wananchi, wakaja, juu, sasa ikabidi waitoe,
Usijidanganye bro, fulsa bongo ni chache,
Miaka 14,iliyopita, nilikuwa, naweza kuacha kazi kqmpuni moja(telecom industry), nikagonga geti kqmpuni nyingine nikapata ajira, nimefanya kazi, kqmpuni kama Saba! Hawa, wakizingua naenda kwingine, faster! Sasa, hv, hata hizo, kqmpuni nilizopita kumtafutia, mtu field, au, kujitolea tu, hiyo nafasi, hakuna!
Fursa zinabana.
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Kama familia ina uwezo peleka kijana Veta ama vyuo vingine vya ufundi achague fani yeyote ya ufundi akimaliza atafungua milango ya kujiajiri.
 
nadhani mtoa mada ni mhaya maana hilo neno ufaulu kaliita ufauru, pili kupata A sio kigezo cha kupata kazi hayo ma A na ma first class yamejaa mtaani na hayana kazi , na ukitaka kuamini muulize mkuu wa ailaya ya Ubungo anayehangaika na maafisa utamu kule riverside wengi ni graduate wenye CV kali lakini ndio wameangukia kwenye mkumbo huo. Kazi sio A kwenye nchi zenye upuuzi na ujinga ujinga kama hiyo ya kwetu.
We mafisa utamu wengi ni magraduate?
 
Eeeh jamani kwanini usitafute siku umuombe mkutane utoe kinyongo chako?
Bado mnafanya kazi wote?
hatujawai kufanya kaz sehemu 1, ile kampuni niliyomuunganishia kaz ilikuja ikauzwa, directors walimake hela nyingi sana, mmoja akafungua kampun nyingine akamfanya country manager, anamlipa vzuri sana, aisee huyu jamaa, kuna siku bwana kanipgia, oya wapi hyo? mm home, vp lkizo au? mm yap, aksema afadhali bwana kuna kimeo cha siku 10 hapa nilitakiwa nisafiri kama vp ukakifanye basi, nikamuuliza utanitoaje, akajbu 250usd/dy, nikamwambia poa, yy nakutumia detalls basi uandae work program na budget, nikaandaa nikamtumia, akawa kimya tu, siku nakutana naye ananiambia aisee ile kaz uliandaa poa sana, ila nilimpa dogo mmoja akaenda kuifanya, kuanzia siku hyo sijawai pokea simu yake
 
hatujawai kufanya kaz sehemu 1, ile kampuni niliyomuunganishia kaz ilikuja ikauzwa, directors walimake hela nyingi sana, mmoja akafungua kampun nyingine akamfanya country manager, anamlipa vzuri sana, aisee huyu jamaa, kuna siku bwana kanipgia, oya wapi hyo? mm home, vp lkizo au? mm yap, aksema afadhali bwana kuna kimeo cha siku 10 hapa nilitakiwa nisafiri kama vp ukakifanye basi, nikamuuliza utanitoaje, akajbu 250usd/dy, nikamwambia poa, yy nakutumia detalls basi uandae work program na budget, nikaandaa nikamtumia, akawa kimya tu, siku nakutana naye ananiambia aisee ile kaz uliandaa poa sana, ila nilimpa dogo mmoja akaenda kuifanya, kuanzia siku hyo sijawai pokea simu yake
Duh! Nimejisikia vibaya amekutendea vibaya ila msamehe
 
JF hata hamueleweki msimamo went

Leo munasifia msomi aliyejiajiri kuuza mihogo pale Coco kama Aslay mihogo na kusema anapiga pesa kuliko watumwa, kesho munakuja na uzi umesoma unauza mihogo ujaajiriwa kwaajiri uliferi.

Kesho kutwa munaandika uzi kusema Msomi mwenye akili kasoma anauza uji HUBPAP kisasa mwenge kesho kutwa munakuja kuandika umesoma unauza uji.

Anyway nikuulize swali
MFANO: Mimi nimeajiriwa nikasimamishwa kazi hapa inamaana sija ajira so hii inamaanisha kuwa mtoa mada unaweza nishangaa mimi nimesoma na sijaajiriwa.

Yaani mfano wewe mtoa mada umesoma una ajira nzuri kesho ukafukuzwa kazi, nitakuwa sahihi kushangaa Haa inakuwaje msomi na hana ajira.
 
Back
Top Bottom