Ajira ni ngumu pia, fulsa ni chache,hata ufaulu vzr kiasi gani, kwa, hapa kwetu mwajiri mkubwa ni serikali,lqkini, yenyewe Ina limit, haiwezi kuajiri kila mwalimu, dokta anayetoka chuo,
Shule zipo, nyingi, na, zinahitaji, waalimu, sasa ukiajiri wote utawalipa kwa pesa, ipi? Wakati mapato hayatoshi? Serikali iliweka tozo,wananchi, wakaja, juu, sasa ikabidi waitoe,
Usijidanganye bro, fulsa bongo ni chache,
Miaka 14,iliyopita, nilikuwa, naweza kuacha kazi kqmpuni moja(telecom industry), nikagonga geti kqmpuni nyingine nikapata ajira, nimefanya kazi, kqmpuni kama Saba! Hawa, wakizingua naenda kwingine, faster! Sasa, hv, hata hizo, kqmpuni nilizopita kumtafutia, mtu field, au, kujitolea tu, hiyo nafasi, hakuna!