Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

kuna mwamba alitoka chuo na gentleman, anakula usd 12k+ take home saudia huko, alipata kazi kisa tu ni muslim, kwenye interview aliokuwa nao wakiristo wa4 wa chini kabisa alikuwa na upper second, mwamba pekee ndo alikuwa na gentlemen na akanyaka ajira. usikariri mambo mkuu hii dunia ni duara sio tambarare, thngs does turn 180 degrees sometimes
Kwahiyo unaniambiaje mimi mwenye GPA ya 1.8🤔
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
kusubiri kuajiriwa ni utumwa wa fikra
 
Hivi ajira hizi hizi za kulipwa 1.2m mpaka 2m ndo mnadharirishana kiasi hiki mtandaoni? Nina dogo anafanya kazi ya kupaka rangi kucha mabinti, kwa siku analaza 50k ya faidi na wikiendi ni zaidi, vijana fresh from school wengi hawamfikii, after three years anataka afungue ofisi nyingine ya pili kubwa kuliko hii.

Ili ufanikiwe yakupasa uwe umeandikiwa na Mungu, pia juhudi na akili.
 
Madame kuna mambo mawil conn, bahati, conn bahati, kufaulu vzur ni vzur ila it doesn't garantii mshahara mkubwa/kazi nzuri, thou inaweza tokea, kuna mambo nikiandika hapa unaweza sema chumvi, haya maisha haya, ngoja nijilie vitumbua vyangu kwa chai ya rangi miye.
Hadi mimi unaniambia ukiandika nitasema unaongeza chumvi?
 
Binadamu ni wabinafsi sana tena sana.

Zamani nilikuwa nina moyo wa kuwapigania na kuwapambania watu au kuwatetea lakini baadaye nikagundua watu wote wana roho ya korosho na kila mtu anajipigania nafsi yake. Hata wale unaowatetea nao wana choyo kali.

Kwa jinsi hii, sharti watu wote wasimame kwa miguu yao wenyewe. Hata viwete wajiburuze mpaka kieleweke.

Ukipata mkate ufiche, kula mwenyewe usimpe mwingine. Hata anayeomba kwa kulia mkanyage mateke.

Ukiwa huna, kila mtu hakutaki unakuwa takataka mbwa. Ukipata usigeuke nyuma unapaswa kuwa katili kweli kweli kwa sababu dunia haina huruma wala msalia mtume.

Cc: min -me Mine -me Poor Brain






Nimecheka Kwa kauli zako......usisaidie mtu ili akurudishie fadhila.....big mistake .saidia usichoke MUNGU akihesabu aliyokutendea alafu akakuuliza ulichomtendea unachakujibu?
 
Wakati wa mungu ni wakati sahihi wapo aambao hawakusoma na wanakula maisha, wapo wanaokula Bata na walikuwa vizur darasani all in all Mungu ndo anaamua uwe nani
1718410250015.jpg
 
Back
Top Bottom