DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Mleta mada mwenyewe KILAZA, mtu mwenye akili timamu huwezi andika neno KUFAURU ukimaanisha kufaulu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unaniambiaje mimi mwenye GPA ya 1.8🤔kuna mwamba alitoka chuo na gentleman, anakula usd 12k+ take home saudia huko, alipata kazi kisa tu ni muslim, kwenye interview aliokuwa nao wakiristo wa4 wa chini kabisa alikuwa na upper second, mwamba pekee ndo alikuwa na gentlemen na akanyaka ajira. usikariri mambo mkuu hii dunia ni duara sio tambarare, thngs does turn 180 degrees sometimes
kusubiri kuajiriwa ni utumwa wa fikraDarasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Ngoja nimuite mtu wa grammar atuhakikishie hapaFailing in school doesn't mean failing in life.
Mtu yeyote mwenye juhudi ktk kazi zake hasa biashara, huwezi msikia anazungumzia ajira hovyo. Asikwambie mtu, biashara ni nzuri sana.kusubiri kuajiriwa ni utumwa wa fikra
well the higher you risk the higher you gainMtu yeyote mwenye juhudi ktk kazi zake hasa biashara, huwezi msikia anazungumzia ajira hovyo. Asikwambie mtu, biashara ni nzuri sana.
Hahaha cha muhimu umeshaelewa.Ngoja nimuite mtu wa grammar atuhakikishie hapa
Madame kuna mambo mawil conn, bahati, conn bahati, kufaulu vzur ni vzur ila it doesn't garantii mshahara mkubwa/kazi nzuri, thou inaweza tokea, kuna mambo nikiandika hapa unaweza sema chumvi, haya maisha haya, ngoja nijilie vitumbua vyangu kwa chai ya rangi miye.Kwahiyo unaniambiaje mimi mwenye GPA ya 1.8
Hahah GPA kitu gan bhna😁Kwahiyo unaniambiaje mimi mwenye GPA ya 1.8🤔
Hadi mimi unaniambia ukiandika nitasema unaongeza chumvi?Madame kuna mambo mawil conn, bahati, conn bahati, kufaulu vzur ni vzur ila it doesn't garantii mshahara mkubwa/kazi nzuri, thou inaweza tokea, kuna mambo nikiandika hapa unaweza sema chumvi, haya maisha haya, ngoja nijilie vitumbua vyangu kwa chai ya rangi miye.
Mwanzoni nilijua mm ndo masikini tu Humu JF 🤣🤣Humu jamii forum kila mtu anajifanya mjanja, elimu na ufaulu wa juu first class
Kuajiriwa ni kujifungia mkuu ,kitaa kuna pesa nyingi sana zinarandaranda tu, kuziongeza ziwe nyingi ni juhudi zako tu na sio mpaka maamuzi ya wengine.
Tupo wengi mkuu wala usijali nenda kalale tu😁😁.Mwanzoni nilijua mm ndo masikini tu Humu JF 🤣🤣
Noma sana.Na haihitaji division one wala GPA.
Binadamu ni wabinafsi sana tena sana.
Zamani nilikuwa nina moyo wa kuwapigania na kuwapambania watu au kuwatetea lakini baadaye nikagundua watu wote wana roho ya korosho na kila mtu anajipigania nafsi yake. Hata wale unaowatetea nao wana choyo kali.
Kwa jinsi hii, sharti watu wote wasimame kwa miguu yao wenyewe. Hata viwete wajiburuze mpaka kieleweke.
Ukipata mkate ufiche, kula mwenyewe usimpe mwingine. Hata anayeomba kwa kulia mkanyage mateke.
Ukiwa huna, kila mtu hakutaki unakuwa takataka mbwa. Ukipata usigeuke nyuma unapaswa kuwa katili kweli kweli kwa sababu dunia haina huruma wala msalia mtume.
Cc: min -me Mine -me Poor Brain
Wakati wa mungu ni wakati sahihi wapo aambao hawakusoma na wanakula maisha, wapo wanaokula Bata na walikuwa vizur darasani all in all Mungu ndo anaamua uwe nani