Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Binadamu ni wabinafsi sana tena sana.

Zamani nilikuwa nina moyo wa kuwapigania na kuwapambania watu au kuwatetea lakini baadaye nikagundua watu wote wana roho ya korosho na kila mtu anajipigania nafsi yake. Hata wale unaowatetea nao wana choyo kali.

Kwa jinsi hii, sharti watu wote wasimame kwa miguu yao wenyewe. Hata viwete wajiburuze mpaka kieleweke.

Ukipata mkate ufiche, kula mwenyewe usimpe mwingine. Hata anayeomba kwa kulia mkanyage mateke.

Ukiwa huna, kila mtu hakutaki unakuwa takataka mbwa. Ukipata usigeuke nyuma unapaswa kuwa katili kweli kweli kwa sababu dunia haina huruma wala msalia mtume.

Cc: min -me Mine -me Poor Brain
Ukiwa huna, kila mtu hakutaki unakuwa takataka mbwa. Ukipata usigeuke nyuma unapaswa kuwa katili kweli kweli kwa sababu dunia haina huruma wala msalia mtume.


Kila mtu ajipambanie kivyake bhana
 
Hadi mimi unaniambia ukiandika nitasema unaongeza chumvi?
ngoja nikumegee kdogo, mm chuo nilikuwa vzur darasani, nilikuwa nazungukwa kuwafundisha watu, kwenye mtihani watu kama 20 walikuwa wanadesa kwangu, yaani naweza maliza mtihani ila karatasi ya kwanza sinayo inazunguka kwa watu huko, nilitoka na upper second(hons) kidogo tu nipige first, wale wote waliokuwa wanadesa kwangu walianza kupata kaz kabla yangu, kuna ishu huwa hata sitakagi kuiongelea maana inaniumizaga sana.
 
😂, mtu hana hata project aliyoianzisha basi hata ikaleta impacts kwa jamii husika na fisst class yake hio ya kukariri kisa ana kijobu chake salary haifk hata M10, anatuvimbia.
Mtu yeyote mwenye juhudi ktk kazi zake hasa biashara, huwezi msikia anazungumzia ajira hovyo. Asikwambie mtu, biashara ni nzuri sana.
duu ila inategemeana kaka, huko nako kuna stress, tena hiz biashara za uchuuzi😟
 
ngoja nikumegee kdogo, mm chuo nilikuwa vzur darasani, nilikuwa nazungukwa kuwafundisha watu, kwenye mtihani watu kama 20 walikuwa wanadesa kwangu, yaani naweza maliza mtihani ila karatasi ya kwanza sinayo inazunguka kwa watu huko, nilitoka na upper second(hons) kidogo tu nipige first, wale wote waliokuwa wanadesa kwangu walianza kupata kaz kabla yangu, kuna ishu huwa hata sitakagi kuiongelea maana inaniumizaga sana.
Pole ndiyo maisha
 
Unaweza ukawa na hiyo first class lakini usifanikiwe kupata ajira.

Kwa Ulimwengu wa sasa wenye wahitimu wengi wa Vyuo Vikuu, muhimu uwe na connection pamoja na bahati tu
Story za vijiweni kupata first class sio kalio ,chuo chenyewe kinabakisha wenye first class ,narudia hakuna mwenye first class akakosa ajira,first class haipatikani kwa kuonga /bahati, kama yupo ajitokeze
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Wako wengi wenye hzo sifa ulizozitaja na hawajapata ajira mkuu.ushawahi calculate kwa mwaka vyuo vyote tanzania wanagraduate watu wangapi or hzo upper na first zinatoka ngapi kila mwaka? Against nafasi za ajira zinazokuwepo?.Na nani kakuambia kila muajiri hvyo ndo vigezo vyake?.It seems una utoto mwingi sana.
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Bado hujayafahamu Maisha vizuri, Mungu akupe UHAI miaka michache ijayo utajionea aibu kwa haya uliyoyaandika hapa
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Wa kujiita wasomi ndo wanaamini ajira ndo mafanikio katika maisha ila kwa akili ya kawaida mention matajiri watano unaowajua walioajiriwa
 
Ishu ni vijana tulionao kujinasibu wamesoma hawana ajira! Kama umesoma hujapata ajira usilielie sijui serikali sijui nini!! Samaki akifumba mdomo hakamatwi na ndoano! Huyo msomi ukimuuliza GPA hawezi kukwambia maana ni gentleman au lower!
Nafikiri wewe bado ni mwanafunzi na unategemea wazazi au walezi, wacha tukupe muda
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Nina upper second chuo na nipo kitaa
 
Ma failures ndo yamejaa mtaani alafu domo lefu wanataka ajira! Akuajiri nani? Unadhani tuko zile enzi za mwalimu miaka 47? Tena hata hizo GPA ziangalie kama ni masomo yanayoendana na soko! Sio una GPA kali ya Socialogy alafu unakuja kututambia! Huu ni ulimwengu wa sayansi na technologia! Kama uwezi kumudu masomo ya sayansi wewe ishia tu kidato cha nne alafu nenda chuo cha kusomea ufundi upate cheti njoo kitaa pambana! Utapoteza muda kuendelea na masomo hayo ya Art au endelea lakini uwe na ubavu wa ushindani! Hatutaki jamii inayolialia kila kukicha utadhani jamii au serikali ndo iliyowazaa!
Una elimu gani na una umri gani? Jna assets zenye thaman gan
 
Ishu ni vijana tulionao kujinasibu wamesoma hawana ajira! Kama umesoma hujapata ajira usilielie sijui serikali sijui nini!! Samaki akifumba mdomo hakamatwi na ndoano! Huyo msomi ukimuuliza GPA hawezi kukwambia maana ni gentleman au lower!
😂 kwa kweli waje saiti tuendeleze gurudumu la survival kwa kubeba tofali
YOLO!
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
#Samia mitano tena
Hakuna
 
Back
Top Bottom