Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Siri ya mafanikio huijui ndugu.
 
We umesomea nn mkuu?
Hawezi kujibu hapa maana ana degree ya ujinga. Umeona first class ya 4.2 maana yake ni vile vyuo visivyotambulika hata na tcu. Hizo ndio tunaita degree za chupi.

Nimemsahau jina yule kipanga wa jamiiforum nowadays hayuko active aliwahi post hadi vyeti vyake humu fm4 1.7 fm6 1.4 chuo udsm coet Gpa ya 4.8 telecom eng. Lakini alikuwa jobless na hakubakizwa chuoni
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Mkuu hivi unadhani kupata ajira tu inatosha kutimiza ndoto hizo ulizozisema? Unless otherwise ungeanza kwa kuchambua ni aina gani ya ajira yenye uwezo wa kutimiza ndoto za muhusika lkn si hizi za kufundisha sijui chuo ama kuajiriwa sector zingine na ukaishia kulipwa A million per month hutapata utajiri hata siku moja
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Nahujasikia watu kununua Mitihani?

Hujasikia first class za chupi lakini kichwani ni box's tupu?
 
Ndo hayo nayosema GPA ya course inayoendana na soko au! Be smart na unachosomea! SUA mambo ya mifugo na kilimo!
Aise Kuna wana wengi tu wamesoma SUA mambo ya kilimo na wanyama na vi GPA vyao vya kawaida vya lower second class na pass wengi wapo Denmark, poland, norway na geramny wanapiga pesa ndefu huko kuliko sisi tuliopo bongo hapa na GPAs zetu za tembo.

Maisha ni fumbo mkuu ukibahatika kupiga hatua usiwakashifu ambao hawajabahatika.

Dunia ya sasa ule msemo "survival for the fittest" does no longer apply.
 
kuna mwamba alitoka chuo na gentleman, anakula usd 12k+ take home saudia huko, alipata kazi kisa tu ni muslim, kwenye interview aliokuwa nao wakiristo wa4 wa chini kabisa alikuwa na upper second, mwamba pekee ndo alikuwa na gentlemen na akanyaka ajira. usikariri mambo mkuu hii dunia ni duara sio tambarare, thngs does turn 180 degrees sometimes
The world is flat bro 😔
 
A
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Acha dharau mkuu ni Taifa gan linawatu wenye akili za ivo inchi nzima ?
 
WEKA USHAHIDI WAKO KAMA NI KWELI KUNA 50,000 YA kukupongeza kwa hizo maksi zako.

na pia nakupiganishia nakuweka sehemu ya kuanzia.

weka attachment za vyeti vyako, ziba sehemu ya jina lako ili kulinda privacy yako ya Jamiiforums, kama ni kweli nakupigia bonge la pande sehemu, na 50k ya soda juu leo leo
Nimeshakuambia maisha yanaenda 🤣
Na nilishawahi kuajiliwa pia but
au tuishie hapo tu
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!

Kazi ni connection na wala si MAVYETI.
 
Hawezi kujibu hapa maana ana degree ya ujinga. Umeona first class ya 4.2 maana yake ni vile vyuo visivyotambulika hata na tcu. Hizo ndio tunaita degree za chupi.

Nimemsahau jina yule kipanga wa jamiiforum nowadays hayuko active aliwahi post hadi vyeti vyake humu fm4 1.7 fm6 1.4 chuo udsm coet Gpa ya 4.8 telecom eng. Lakini alikuwa jobless na hakubakizwa chuoni
😂😂😂 Kwamba 4.2 first class nilitaka kushangaa
 
Darasa la saba ulipata wastani wa "A" na ukakosa fursa ya kwenda kidato cha kwanza? Kidata cha nne ulipata Division ONE na hukuchaguliwa kwenda Alevel au vyuo (kama ulichagua vyuo)? Alevel ulipata Division ONE ukakosa fursa ya kwenda Chuo Kikuu? Chuo Kikuu ukapata GPA ya "First Class" au "Upper Second" alafu ukakosa ajira?
Wengi wanaolialia wamesoma wakakosa ajira ni wale vilaza na wanaolazimisha ufauru afifu kuwa wamefauru! Katika Dunia hii ya utandawazi ili utoboe unahitaji viwango vya juu vya kudhihirisha kuwa uko vizuri! Sio unajikusanya na Division two au GPA ya lower au Gentleman alafu unalialia sina ajira! Hizo enzi zimepita mkuu! Ukiona umetupwa nje na mfumo wa ajira jiongeze kivingine!
Nashangaaga kuona mtaani vijana eti wanahusstle kwa kuendesha bodaboda, kupika mandazi, vitumbua, samaki, miogo alafu wanategenea kutoboa kuwa na maisha safi ya kumiliki nyumba nzuri, gari zuri, majina na heshima nzuri ya ukwasi! Thubutu!!! Utapata ela ya kula lakini umasikini umeishatia timu!!
Povu ruksa!!
Ajira ni ngumu pia, fulsa ni chache,hata ufaulu vzr kiasi gani, kwa, hapa kwetu mwajiri mkubwa ni serikali,lqkini, yenyewe Ina limit, haiwezi kuajiri kila mwalimu, dokta anayetoka chuo,
Shule zipo, nyingi, na, zinahitaji, waalimu, sasa ukiajiri wote utawalipa kwa pesa, ipi? Wakati mapato hayatoshi? Serikali iliweka tozo,wananchi, wakaja, juu, sasa ikabidi waitoe,
Usijidanganye bro, fulsa bongo ni chache,
Miaka 14,iliyopita, nilikuwa, naweza kuacha kazi kqmpuni moja(telecom industry), nikagonga geti kqmpuni nyingine nikapata ajira, nimefanya kazi, kqmpuni kama Saba! Hawa, wakizingua naenda kwingine, faster! Sasa, hv, hata hizo, kqmpuni nilizopita kumtafutia, mtu field, au, kujitolea tu, hiyo nafasi, hakuna!
 
Aise Kuna wana wengi tu wamesoma SUA mambo ya kilimo na wanyama na vi GPA vyao vya kawaida vya lower second class na pass wengi wapo Denmark, poland, norway na geramny wanapiga pesa ndefu huko kuliko sisi tuliopo bongo hapa na GPAs zetu za tembo.

Maisha ni fumbo mkuu ukibahatika kupiga hatua usiwakashifu ambao hawajabahatika.

Dunia ya sasa ule msemo "survival for the fittest" does no longer apply.
Nisaidie kujua huyo jamaa kasoma chuo gan maana ni shida
 
Kwahiyo we mkunduuu
Unaamini ajira zipo ila shida ni first class degree au div 1 si ndiyo eeeh
Haya mimi nimrajiliwa mwaka juzi napata mshahara mara 6 ya mshahara wa mwl degree holder wa mwaka 2012 aliyeajiliwa miaka hiyo mpk leo 2024 yupo kwny ajira serikalini na nina lower so wamenipendelea eeeh.....senge ww
 
Back
Top Bottom