Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

kuna kazi ya 2d animation, mshahara milioni 1, lakini uwe na uwezo wa kutengeneza movie ya masaa 25 kwa mwezi.
Hii kazi ina zaidi ya miaka 3 haijapata mtu; sasa kama wewe ni msomi njoo upige kazi, hakuna haja ya koneksheni, ni utundu wako tu wa kutengeneza sinema ya vikaragosi.​
 
Hawezi kujibu hapa maana ana degree ya ujinga. Umeona first class ya 4.2 maana yake ni vile vyuo visivyotambulika hata na tcu. Hizo ndio tunaita degree za chupi.

Nimemsahau jina yule kipanga wa jamiiforum nowadays hayuko active aliwahi post hadi vyeti vyake humu fm4 1.7 fm6 1.4 chuo udsm coet Gpa ya 4.8 telecom eng. Lakini alikuwa jobless na hakubakizwa chuoni
Niko nae huku mpanda tunanunua muhindi Na mpunga
 
Sasa first class ya lottery degrees 😂
Wew ulie andika I'm pretty sure hujawahi nunua even gari la million 50

People now are looking for skills sio Your GPA,kijana wenye GPA wako hapo ubungo wanadanga kama hajui


Okay una degrees ya Programming first class Create a project for Us and present 😂 Hola You keep Your GPA mbali na mtaa Broke kid

Your Yelling here with Your 410k salary bado You are working 11 hours 😂 Okay subiri hapo mpaka ujielewe
Kweli kwma inalijipie kubwaaa siunatakowa iwe na likampuni linsloajiri vilaza. Kutendo cha kiaji7iwa tu nawe ni kilaza uliechangamka Huna creativity na hujaelimika. Akili kubwa huwa hapenfi kiongozwa na akili ndogo. GPA za bongo bana, ni creativity just to implement ither Big Brain innovation. IPUMBAVU TU!
Hora wakenya wemeanza kutumia AKILI kubwa kwa kuanzisha TECH comp. BONGO NY@#KO TU hata uwe na gpa kubwa au ndogo.Usone au usisome.
Hakuna tofauti ya AKILI KUBWA NA NDOGO.
Mtoa mada toka hapa!
 
Back
Top Bottom