playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Aaaaah umefeli baab, kikwete hana umaarufu wowote hata Tanzania kwenyewe sehemu kibao hawamfahamu ila ukiuliza Diamond kila mtu anajuwa watoto kibao wanatungiwa majina ya Diamond/ platninum huko vijijini
Kuhusu AY najuwa hata ww umemtaja kwa masihara..
Ukienda nchi za wenzetu huko wengine hawajui hata kama kuna Tanzania, ila wanajuwa kuna MT KILIMANJARO, Na DIAMONDPLATNUMZ
Niliamini ataefunika nyota ya diamond atatoka kwenye bongo fleva bahati mbay katoka ikulu rais John P Magufuli.
Maisha haya!!
na ndo maana hata ile siku ya ugawaji wa tuzo za mtv pale s.africa yule host alikuwa anapatia jina la diamondplatnumz lakini sehemu ya nchi badala ya kusema Tanzania alikuwa anasema Togo...hahahahaaa!
Swali kwenu wadau..
Ila kwa upande wangu, sioni kama kuna mtanzania maarufu zaidi kwa Tanzania, na nje ya Tanzania kumzidi DIAMOND PLATNUMZ
Na kuja kutokea mtu kama huyu itachukuwa vizazi na vizazi, kama ilivyo kwa umaarufu wa Michael Jackson duniani.
Hivi ukijulikana Nigeria na South afrika kwa godfather baaaas hahahahaaaaa kwa wasanii Ay kwanza maana kaanza kutoboa anga kitaaaaambo kafanya Kazi na wasanii wenye levo za kidunia zamaaaaani sooo kajipange bro bt sorryyyNa ndio uhalisia, hakuna kama Diamond Platnumz hilo lipo wazi kabisa...!