Ni mtanzania yupi maarufu zaidi?

Ni mtanzania yupi maarufu zaidi?

Aaaaah umefeli baab, kikwete hana umaarufu wowote hata Tanzania kwenyewe sehemu kibao hawamfahamu ila ukiuliza Diamond kila mtu anajuwa watoto kibao wanatungiwa majina ya Diamond/ platninum huko vijijini

Kuhusu AY najuwa hata ww umemtaja kwa masihara..

Ukienda nchi za wenzetu huko wengine hawajui hata kama kuna Tanzania, ila wanajuwa kuna MT KILIMANJARO, Na DIAMONDPLATNUMZ

Wenzio hawautaki ww unajilazimisha UCHIZI... Haya hongera
 
na ndo maana hata ile siku ya ugawaji wa tuzo za mtv pale s.africa yule host alikuwa anapatia jina la diamondplatnumz lakini sehemu ya nchi badala ya kusema Tanzania alikuwa anasema Togo...hahahahaaa!
 
Swali kwenu wadau..

Ila kwa upande wangu, sioni kama kuna mtanzania maarufu zaidi kwa Tanzania, na nje ya Tanzania kumzidi DIAMOND PLATNUMZ

Na kuja kutokea mtu kama huyu itachukuwa vizazi na vizazi, kama ilivyo kwa umaarufu wa Michael Jackson duniani.

Kwa mujibu wa mitandao ni Freddy Mercury,mwanamuziki nguli wa kundi la Queens. Alizaliwa Stone Town Zanzibar 1946 na kufariki 1991 huko London
NB: Jamaa alikuwa ni shoga na alikufa kwa ngoma
 
Na ndio uhalisia, hakuna kama Diamond Platnumz hilo lipo wazi kabisa...!
Hivi ukijulikana Nigeria na South afrika kwa godfather baaaas hahahahaaaaa kwa wasanii Ay kwanza maana kaanza kutoboa anga kitaaaaambo kafanya Kazi na wasanii wenye levo za kidunia zamaaaaani sooo kajipange bro bt sorryyy
 
Back
Top Bottom