Ni mtanzania yupi maarufu zaidi?

Ni kweli ana stahili ila kifungu cha pili hatuko pamoja.
 
Umri wako pl3as3
 
Bushoke,babu seya(sijui alikuwa raia!),kanumba,babu loliondo,nyerere, hao ni ambao daimondi wenu hawafikii hata punje
 
HAWA NDIO WATANZANIA MAARUFU BILA KUJALI WANACHO KIFANYA/CAREER.

*Raisi John Pombe Magufuli
*Diamond Platnumz
*Wema Sepetu
*Ali kiba
* Mbwana Samanta
* Bhakressa
* Raisi Jakaya Kikwete


Na list ina endeleea........
 
Ukizungumzia Africa, Diamond Platnumz ni maarufu sana na anaitangaza Tanzania vizuri. Right now anajitahidi kuPenetrate katika soko la kimataifa ndio maana ana mipango ya kufanya na watu kama kina Swiss Beats na kina Ne-yo. But Afrika ashaiteka, so ni mda wa kuConquer America na the world at large. Tumuombeeni guyz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…