Ni mtanzania yupi maarufu zaidi?

Ni mtanzania yupi maarufu zaidi?

Hata uwe mbaya vipi huwezi kuizidi nyimbo ya mpya domo but good video audio ntarudi baadae labda masikio yangu mabovu

Haaah hater bhn hapo ushaisikiliza mara 5 na umeshamtumia baby wko ujumbe na mashairi
 
Diamond platinum maana hata ukimuuliza mtoto wangu Wa miaka minne anamfahamu
 
Haaah hater bhn hapo ushaisikiliza mara 5 na umeshamtumia baby wko ujumbe na mashairi
Sasa kwa nn nisiusikilize mkuu kwani ni vita ila anaelekea kutoa remix na mashauzi [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kwa sasa ni huyu hapa
 

Attachments

  • 1450082432615.jpg
    1450082432615.jpg
    39.6 KB · Views: 361
Niliamini ataefunika nyota ya diamond atatoka kwenye bongo fleva bahati mbay katoka ikulu rais John P Magufuli.

Maisha haya!!
 
Swali kwenu wadau..

Ila kwa upande wangu, sioni kama kuna mtanzania maarufu zaidi kwa Tanzania, na nje ya Tanzania kumzidi DIAMOND PLATNUMZ

Na kuja kutokea mtu kama huyu itachukuwa vizazi na vizazi, kama ilivyo kwa umaarufu wa Michael Jackson duniani.

Kikwete huo ndo ukweli...wa pili AY hao wengine watajeni nyny NOTE: Diamond ni maarufu afrika
 
Kikwete huo ndo ukweli...wa pili AY hao wengine watajeni nyny NOTE: Diamond ni maarufu afrika

Aaaaah umefeli baab, kikwete hana umaarufu wowote hata Tanzania kwenyewe sehemu kibao hawamfahamu ila ukiuliza Diamond kila mtu anajuwa watoto kibao wanatungiwa majina ya Diamond/ platninum huko vijijini

Kuhusu AY najuwa hata ww umemtaja kwa masihara..

Ukienda nchi za wenzetu huko wengine hawajui hata kama kuna Tanzania, ila wanajuwa kuna MT KILIMANJARO, Na DIAMONDPLATNUMZ
 
Back
Top Bottom