Hahaha watu walijiona wamiliki wa jf.Sikuio nilichukia balaa ππ nilicho jifunza Jf ya zaman kulikua na MA TROUBLE MAKER..
Hao watu saiv utawapata kwenye ushabiki wa SIMBA NA YANGA π€π€π€£π€£π
Wengi siku izi sijui wapo wap...π€£π€£π€£Hahaha watu walijiona wamiliki wa jf.
Ilikuwa ukikoment unakutana na jitu linasema...umejiunga jana huna jipyaπ€£
Sio wewe ni wahenga πππππBila shaka ni mimi
Shem asante, I do appreciateπ₯°Hellow
Hii ni jamii na jamii ni watu na tupo watu tofauti wenye tabia tofauti na sifa tofauti ni mtu gani wewe utamani apewe ban kabisa anakufurahisha na unamkubali sana mimi na anza na hawa watu
DeepPond huyu kwa story zake huwa zina furahisha lakini zinajenga
Extrovert huyu michango yake kwenye thread huwa ya kibabe lakini pia thread zake zimeenda shule
Iceberg9 huyu pia ni mcheshi sana na ni mtu anaependa mawazo chanya na ni mtu poa sana hakulupuku
Lenie ni mchangamufu sana pia ni mtu yuko peace
Jack Palladino pia
Mshana Jr
GENTAMYCINE mzee wa ukorofi
ndege JOHN
Naomba mods wampige ban huyo member mmoja anaitwa kibabu na binti ni hovyo sana huyo jamaaHellow
Hii ni jamii na jamii ni watu na tupo watu tofauti wenye tabia tofauti na sifa tofauti ni mtu gani wewe utamani apewe ban kabisa anakufurahisha na unamkubali sana mimi na anza na hawa watu
DeepPond huyu kwa story zake huwa zina furahisha lakini zinajenga
Extrovert huyu michango yake kwenye thread huwa ya kibabe lakini pia thread zake zimeenda shule
Iceberg9 huyu pia ni mcheshi sana na ni mtu anaependa mawazo chanya na ni mtu poa sana hakulupuku
Lenie ni mchangamufu sana pia ni mtu yuko peace
Jack Palladino pia
Mshana Jr
GENTAMYCINE mzee wa ukorofi
ndege JOHN
Pmoja sanaShem asante, I do appreciateπ₯°
Sina baya na mtu mie, hapa ni +ve vibes only
ππππ dahNaomba mods wampige ban huyo member mmoja anaitwa kibabu na binti ni hovyo sana huyo jamaa
πππππππππππ
Anhaa wakongwe ,bhas wanazeeka vibayaSio wewe ni wahenga πππππ
Wa humu Jf
TBTAnhaa wakongwe ,bhas wanazeeka vibaya
[emoji1545][emoji1752] Atlantic StarKwa upande wangu wapo wengi ila Kwa uchache tu ni bwana mshana Jr, controla, extrovert, deep pond, cocastic, mideko,kiranga, watu 8, pia kuna yule bibie anatupia odds kulea kwenye mikeka nimemsahau kidogo, Lakini nje ya mada kuna Hawa wadau wa JF ya miaka ya 2012 kurudi nyuma huwa nawakumbuka sana sijui walipigwa life ban au wamekufa mf: paka jimmy, gfswonin, miss Chaga, Lara 1,Evelyn salt, the bold, heaven sent, badili tabia, CTU, Amicus curiae,mgt software, charming lady,, humble African, mbu, ashadii, etc, Jamaa walikuwa nondo balaa.....
DEeppond ameliwa tiyariHellow
Hii ni jamii na jamii ni watu na tupo watu tofauti wenye tabia tofauti na sifa tofauti ni mtu gani wewe utamani apewe ban kabisa anakufurahisha na unamkubali sana mimi na anza na hawa watu
DeepPond huyu kwa story zake huwa zina furahisha lakini zinajenga
Extrovert huyu michango yake kwenye thread huwa ya kibabe lakini pia thread zake zimeenda shule
Iceberg9 huyu pia ni mcheshi sana na ni mtu anaependa mawazo chanya na ni mtu poa sana hakulupuku
Lenie ni mchangamufu sana pia ni mtu yuko peace
Jack Palladino pia
Mshana Jr
GENTAMYCINE mzee wa ukorofi
ndege JOHN
Miye Kuna mmoja nimemuignore yaani ananichukia kama tunajuana nkaonaa aah ngoja nimuweke pending staki shidaSiku izi sijaona watu watata watata...Kuna jamaa aliwai ni attack personal humu kama ananijua vile....
For the first time ever nilijikuta nimekasirika for sure tungepigana tungekua face to face alinitolea maneno ya maudhi na shombo balaa [emoji48][emoji48]
Miye Kuna mmoja nimemuignore yaani ananichukia kama tunajuana nkaonaa aah ngoja nimuweke pending staki shida
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app