Ni mtu gani humu JF hutamani apewe ban

Ni mtu gani humu JF hutamani apewe ban

Hellow

Hii ni jamii na jamii ni watu na tupo watu tofauti wenye tabia tofauti na sifa tofauti ni mtu gani wewe utamani apewe ban kabisa anakufurahisha na unamkubali sana mimi na anza na hawa watu

DeepPond huyu kwa story zake huwa zina furahisha lakini zinajenga

Extrovert huyu michango yake kwenye thread huwa ya kibabe lakini pia thread zake zimeenda shule

Iceberg9 huyu pia ni mcheshi sana na ni mtu anaependa mawazo chanya na ni mtu poa sana hakulupuku

Lenie ni mchangamufu sana pia ni mtu yuko peace

Jack Palladino pia
Mshana Jr
GENTAMYCINE mzee wa ukorofi
ndege JOHN
Shem asante, I do appreciate🥰

Sina baya na mtu mie, hapa ni +ve vibes only
 
Hellow

Hii ni jamii na jamii ni watu na tupo watu tofauti wenye tabia tofauti na sifa tofauti ni mtu gani wewe utamani apewe ban kabisa anakufurahisha na unamkubali sana mimi na anza na hawa watu

DeepPond huyu kwa story zake huwa zina furahisha lakini zinajenga

Extrovert huyu michango yake kwenye thread huwa ya kibabe lakini pia thread zake zimeenda shule

Iceberg9 huyu pia ni mcheshi sana na ni mtu anaependa mawazo chanya na ni mtu poa sana hakulupuku

Lenie ni mchangamufu sana pia ni mtu yuko peace

Jack Palladino pia
Mshana Jr
GENTAMYCINE mzee wa ukorofi
ndege JOHN
Naomba mods wampige ban huyo member mmoja anaitwa kibabu na binti ni hovyo sana huyo jamaa
 
dogo wewe nichok.umetaja wanaume tupu unatafuta bash ee? nahuyo binti ulie m mention ulimtongoza akakuweka frendzon ndio Mana umemshobokea.kati ya ulio wataja kuna mmoja ni gay anapenda sana kuanzisha mada za mashoga.atakufata pm
 
Kwa upande wangu wapo wengi ila Kwa uchache tu ni bwana mshana Jr, controla, extrovert, deep pond, cocastic, mideko,kiranga, watu 8, pia kuna yule bibie anatupia odds kulea kwenye mikeka nimemsahau kidogo, Lakini nje ya mada kuna Hawa wadau wa JF ya miaka ya 2012 kurudi nyuma huwa nawakumbuka sana sijui walipigwa life ban au wamekufa mf: paka jimmy, gfswonin, miss Chaga, Lara 1,Evelyn salt, the bold, heaven sent, badili tabia, CTU, Amicus curiae,mgt software, charming lady,, humble African, mbu, ashadii, etc, Jamaa walikuwa nondo balaa.....
 
Kwa upande wangu wapo wengi ila Kwa uchache tu ni bwana mshana Jr, controla, extrovert, deep pond, cocastic, mideko,kiranga, watu 8, pia kuna yule bibie anatupia odds kulea kwenye mikeka nimemsahau kidogo, Lakini nje ya mada kuna Hawa wadau wa JF ya miaka ya 2012 kurudi nyuma huwa nawakumbuka sana sijui walipigwa life ban au wamekufa mf: paka jimmy, gfswonin, miss Chaga, Lara 1,Evelyn salt, the bold, heaven sent, badili tabia, CTU, Amicus curiae,mgt software, charming lady,, humble African, mbu, ashadii, etc, Jamaa walikuwa nondo balaa.....
[emoji1545][emoji1752] Atlantic Star
 
 
Hellow

Hii ni jamii na jamii ni watu na tupo watu tofauti wenye tabia tofauti na sifa tofauti ni mtu gani wewe utamani apewe ban kabisa anakufurahisha na unamkubali sana mimi na anza na hawa watu

DeepPond huyu kwa story zake huwa zina furahisha lakini zinajenga

Extrovert huyu michango yake kwenye thread huwa ya kibabe lakini pia thread zake zimeenda shule

Iceberg9 huyu pia ni mcheshi sana na ni mtu anaependa mawazo chanya na ni mtu poa sana hakulupuku

Lenie ni mchangamufu sana pia ni mtu yuko peace

Jack Palladino pia
Mshana Jr
GENTAMYCINE mzee wa ukorofi
ndege JOHN
DEeppond ameliwa tiyari
 
Siku izi sijaona watu watata watata...Kuna jamaa aliwai ni attack personal humu kama ananijua vile....

For the first time ever nilijikuta nimekasirika for sure tungepigana tungekua face to face alinitolea maneno ya maudhi na shombo balaa [emoji48][emoji48]
Miye Kuna mmoja nimemuignore yaani ananichukia kama tunajuana nkaonaa aah ngoja nimuweke pending staki shida

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom