Ni muda Cheo cha Makamu wa Rais kifutwe Tanzania

Ni muda Cheo cha Makamu wa Rais kifutwe Tanzania

Logics zinakataa Boss, lakini pia angalia best practice duniani, nchi nyingi zenye Rais Mtendaji huwa Zina Makamu wa Rais ambaye ni Running mate, maana yake amepewa nguvu na watu.

Lakini pia ili kumfanya Makamu awe na kazi ya kufanya day in day out kuna baadhi ya nchi Makamu wa Rais Anapewa Wizara fulani fulani, Mfano hapa kwetu ni Mazingira na Muungano; maana yake sio kweli kwamba Hana kazi za kufanya.

Changamoto kwenye andiko lako nadhani unataka kumuona Makamu Yuko on per na Boss wake, hili nafikiri haliwezekani, refer case ya juzi ya Gachagua/Ruto.
Nitajie makamu wa Rais wa Uingereza na nitajie makamu wa Rais wa Ujeruamani
 
Kwa Tanzania, cheo ambacho hakitakiwi ni Cha Waziri Mkuu. Waziri Mkuu HANA KAZI yoyote ingawa inaonekana anayo. Mfano, wewe umesema ana uwezo kumfukuza kazi MTUMISHI; sio kweli.

Ila Makamu wa Rais cheo chake ni kikubwa zaidi ya tunavyokiona. Sana sana tu labda cheo chake kiongezewe majukumu ya Waziri Mkuu kikae sawa.

Wazo lako ni zuri mkuu
 
Aliye anzisha huuu uzi wakufuta vice presidency apigwe mawe, mkeka wake utakuwa ulichanika ndo akapata madness, saizi ameamka na grandiose delusions anaongea uchwalaaa tuu.kwanza afute uzi wake kabla haujamtokei puani bwabwa huyu

Una matatizo ya kiakili. Kamuone Daktari wa magonjwa ya akili. Nakupuuza na kukuonea huruma. Narudia Tena kamuone Daktari haraka Sana.
 
Kwa maoni yangu,
nadhani kile cheo cha makamu mwenyekiti wa chadema taifa ndicho hasa hakina maana wala umuhimu, na kilichopoteza uelekeo kabisa, na kwakweli kinachochochea uhasama na kuzidisha mpasuko na mgawanyiko chadema, ndicho haswaaa cha kufutilia mbali...

kuhusu kwingineko,
nadhani kuna tatizo la uelewa na ufahamu tu, juu ya umuhimu na maana ya makamu au naibu rais. Ukijua malego na madhumuni yake licha ya gharama yake, kamwe huwezi kufikiri wala kusema ulichokiandika. Akina Aristotle na Plato hawakua na ufinyu wa fikra kama huo wa kwenye hoja ya msingi, ndiyo maana wakabuni na kuweka nafasi hiyo.

Na kwa binadamu alivyo,
mpaka kwanza apate tatizo ndipo aone umuhimu wa jambo alilokua akilidharau au haelewi wala kuona umuhimu wake.

Nachelea kusema,
kama kuna nafasi muhimu, nzito na ya maana sana ambayo kamwe haistahili hata mjadala wa kuwepo kwake basi ni nafasi ya Makamu au naibu wa rais.🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Shida yako unawaza uchama usiku na mchana. Mimi naongelea suala la Makamu wa Rais wa JMT wewe unaleta ngonjera za Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA. Nikikuuliza swali, Makamu Mwenyekiti wa CCM Sasa hivi ni nani?.

Naomba unijibu Hilo swali.
 
Raisi wa Zanzibar kumuwakilisha raisi wa muungano kwenye mkutano imekaaje? Kama naona giza! Labda makamo wa muungano hana nafasi.
 
Nimesema Makamu wa Rais, Kama nafasi sio mtu. Hii itapunguza gharama na mabajeti yasiyokuwa na maana. Halafu sijamzungumzia Waziri Mkuu labda Kama unamnukuu mtu mwingine.
Na kwann ifutwe unazijua vizuri kazi za makamu wa rais ndugu yangu .
Unajua umuhimu wake kwenye structure ya serikali.
Unajua yapi yanaweza kutokea kiusalama na kiutendaji hio nafasi ikifutwa.
Kwann usema gharama zitapungua umefanya home work Yako vizuri kujua tukifuta hio nafasi gharama zitapungua au zitaongezeka zaid..
 
Watu wanapeana vyeo ambayo havina maana,mkuu wa mkoa,mkuu wa wilaya naibu waziri mkuu usenge tu
 
Shida yako unawaza uchama usiku na mchana. Mimi naongelea suala la Makamu wa Rais wa JMT wewe unaleta ngonjera za Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA. Nikikuuliza swali, Makamu Mwenyekiti wa CCM Sasa hivi ni nani?.

Naomba unijibu Hilo swali.
kwahivyo gentleman, ukiona maelezo yangu tu unapata mawenge na kuona kama najadili chama fulani cha siasa pekee, kitu ambacho kina uhusiano wa moja kwa moja na hoja yako ya msingi? kuna ubaya au makosa gani hapo kwa mfano?

Hoja yako ya msingi ni nafasi ya Makamu au Naibu wa rais, ambayo kwenye taasisi hususani vyama vya siasa ni sawa tu na makamu mwenyekiti wa chama chochote cha siasa hususani chadema, nini kinakupa mawenge kwenye maelezo yangu ya msingi, gentleman?🐒


Press Conference ya mwenyekiti wa chadema dar es Salaam ataongea saa ngapi?🐒
 
Hujielewi kamanda! Hivi unajua nafasi ya urais wewe? Hiyo nafasi haitakiwi kukaliwa na yeyote ambaye wananchi hawamjui! Juzi Phillip Mpango walitoka kuzushiwa kifo sababu wananchi hawajamuona muda mrefu! Rais anapokuwa hayupo lazima hicho kiti pawepo wa kukikalia vinginevyo akikaa mtu ndiye siye anaweza kumzuia hata Rais asirudi nchini au kufanya chochote kwasababu kimamlaka kakalia kiti!
Hakuna unachokijua.
 
Nitakupatia tu, wewe leta mazoea ya kijinga. Na siku nakupata hutajua. Nadhani tangu siku hiyo utaacha mazoea kwa wanaume yakijinga. Nakuonya mara ya mwisho.
Yani Wewe choko ni wakunionya mimi? Wonders shall never end.
 
Kwa Sasa Katiba ya Jamhuri ya Tanzania inatakiwa kupitiwa upya, na kuondoa cheo Cha Makamu wa Rais. Cheo hili hakina tija kinaongeza tu mlundikano wa vyeo visivyokuwa na maana.

Makamu wa Rais Hana mamlaka Kama aliyonayo Waziri Mkuu, ndio maana Waziri Mkuu anaweza kumfukuza au kumsimamisha kazi Mtumishi ila sio Makamu wa Rais.

Nafasi ya Makamu wa Rais imekuwa ceremonial tu. Makamu wa Rais anaweza kupotea hata miezi SITA na wananchi wasishangae au Makamu wa Rais ataonekana Sana kwenye ufunguzi wa warsha na makongamano.

Ni kweli Makamu wa Rais yupo kwaajili ya kukaimu nafasi ya urais Rais anapokuwa nje ya nchi, ila sio lazima yeye akaimu , Rais anaweza kumkaimisha yeyote madaraka ya Urais akiwa nje.

Nashauri baadala ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia Makamu wa Rais na watu wake, ni bora kuondoa hicho cheo na Mazingira pamoja na Muungano vikaunganishwa kwenye Wizara ya mambo ya ndani .

Nafikiri kufuata cheo kimoja itakuwa sio solution. Kwanini isifanyike proper study ya structure nzima ya serikali na muundo wake ili kuona kama structure iliyopo ni relevant kwa sasa?
Dublication ya kazi na inefficiencies nyingi zitapungua, kama tutakuwa tunaenda na mahitaji ya wakati
 
Being Pragmatic nilishawahi kusema practically na kinachoendelea sasa tunaweza hata kufuta wabunge / ubunge; ingawa theoretically this is the best system we have ila practically kinachoendelea ni bora tukafuta hata wabunge..... tukawa na Rais wa mikoa, after all kama Rais ndio analeta maendeleo na kuweza kutoa pesa kila akifanya ziara huenda na hawa marahisi (no pun intended) wa mikoa wanaweza wakagawa pesa na maendeleo

 
Kwa Sasa Katiba ya Jamhuri ya Tanzania inatakiwa kupitiwa upya, na kuondoa cheo Cha Makamu wa Rais. Cheo hili hakina tija kinaongeza tu mlundikano wa vyeo visivyokuwa na maana.

Makamu wa Rais Hana mamlaka Kama aliyonayo Waziri Mkuu, ndio maana Waziri Mkuu anaweza kumfukuza au kumsimamisha kazi Mtumishi ila sio Makamu wa Rais.

Nafasi ya Makamu wa Rais imekuwa ceremonial tu. Makamu wa Rais anaweza kupotea hata miezi SITA na wananchi wasishangae au Makamu wa Rais ataonekana Sana kwenye ufunguzi wa warsha na makongamano.

Ni kweli Makamu wa Rais yupo kwaajili ya kukaimu nafasi ya urais Rais anapokuwa nje ya nchi, ila sio lazima yeye akaimu , Rais anaweza kumkaimisha yeyote madaraka ya Urais akiwa nje.

Nashauri baadala ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia Makamu wa Rais na watu wake, ni bora kuondoa hicho cheo na Mazingira pamoja na Muungano vikaunganishwa kwenye Wizara ya mambo ya ndani .
Nafasi na cheo Cha Makamu wa Rais ni hatari sana kwa Rais aliye madarakani, hasa kama Makamu wa Rais akiwa sio mstaarabu,au ana tamaa ya madaraka, dakika Moja tu anakuwa Rais wa Nchi.

😀😀

Rais ajaye 2025 ni Mwanaume mkristu 🙏🙏😀

Kanisa Moja, Takatifu Katoliki la Mitume.

🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom