Ni muda Cheo cha Makamu wa Rais kifutwe Tanzania

Ni muda Cheo cha Makamu wa Rais kifutwe Tanzania

Maan ya cheo cha makamu nn kam raisi anawez mkaimisha mtu yoyote nafas ya urais endapo akiw rkzo au nje ya nchi ?
Naomb jibu la kikanuni ,sheria, kikatba
 
Maan ya cheo cha makamu nn kam raisi anawez mkaimisha mtu yoyote nafas ya urais endapo akiw rkzo au nje ya nchi ?
Naomb jibu la kikanuni ,sheria, kikatba
Uliambiwa na nani Rais wa JMT anaweza kumkaimisha mtu mwingine Urais iwapo Makamu wa Rais yupo nchini? Unaijua Katiba ya JMT kweli au unaropoka tu?
 
Kwa Sasa Katiba ya Jamhuri ya Tanzania inatakiwa kupitiwa upya, na kuondoa cheo Cha Makamu wa Rais. Cheo hili hakina tija kinaongeza tu mlundikano wa vyeo visivyokuwa na maana.

Makamu wa Rais Hana mamlaka Kama aliyonayo Waziri Mkuu, ndio maana Waziri Mkuu anaweza kumfukuza au kumsimamisha kazi Mtumishi ila sio Makamu wa Rais.

Nafasi ya Makamu wa Rais imekuwa ceremonial tu. Makamu wa Rais anaweza kupotea hata miezi SITA na wananchi wasishangae au Makamu wa Rais ataonekana Sana kwenye ufunguzi wa warsha na makongamano.

Ni kweli Makamu wa Rais yupo kwaajili ya kukaimu nafasi ya urais Rais anapokuwa nje ya nchi, ila sio lazima yeye akaimu , Rais anaweza kumkaimisha yeyote madaraka ya Urais akiwa nje.

Nashauri baadala ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia Makamu wa Rais na watu wake, ni bora kuondoa hicho cheo na Mazingira pamoja na Muungano vikaunganishwa kwenye Wizara ya mambo ya ndani .
Makamu wa Rais ni Rais msaidizi anayekuwa tayari muda wowote kumsaidia Rais iwapo linatokea ambalo halikutarajiwa.
Makamu ni msaidizi wa muhimu sana, leo hii Samia akikutwa na baya lolote Isidory Mpango anakuwa Rais kwa kuapishwa tu na shughuli za nchi zinaendelea kama kawaida.
 
Kwa Sasa Katiba ya Jamhuri ya Tanzania inatakiwa kupitiwa upya, na kuondoa cheo Cha Makamu wa Rais. Cheo hili hakina tija kinaongeza tu mlundikano wa vyeo visivyokuwa na maana.

Makamu wa Rais Hana mamlaka Kama aliyonayo Waziri Mkuu, ndio maana Waziri Mkuu anaweza kumfukuza au kumsimamisha kazi Mtumishi ila sio Makamu wa Rais.

Nafasi ya Makamu wa Rais imekuwa ceremonial tu. Makamu wa Rais anaweza kupotea hata miezi SITA na wananchi wasishangae au Makamu wa Rais ataonekana Sana kwenye ufunguzi wa warsha na makongamano.

Ni kweli Makamu wa Rais yupo kwaajili ya kukaimu nafasi ya urais Rais anapokuwa nje ya nchi, ila sio lazima yeye akaimu , Rais anaweza kumkaimisha yeyote madaraka ya Urais akiwa nje.

Nashauri baadala ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia Makamu wa Rais na watu wake, ni bora kuondoa hicho cheo na Mazingira pamoja na Muungano vikaunganishwa kwenye Wizara ya mambo ya ndani .
Ili watu wasihisi una shida binafsi na Mpango, labda ungeanza kwanza na kuondoa wale waliojazana Zanzibar ili kuimarisha hoja yako.

Lakini, mkuu huoni kama hiyo nafasi ilisaidia kuzima lile 'vuguvugu' baada ya kifo cha mwendazake huku akiwa kwenye kiti?

Ova
 
Uliambiwa na nani Rais wa JMT anaweza kumkaimisha mtu mwingine Urais iwapo Makamu wa Rais yupo nchini? Unaijua Katiba ya JMT kweli au unaropoka tu?
Mkuu mbona hilo ni swali , umekuja na majibu tofauti , soma uzi wa mdau, then mimi nimehitajii kuelemishwa sio kuzodolewa
 
Mkuu mbona hilo ni swali , umekuja na majibu tofauti , soma uzi wa mdau, then mimi nimehitajii kuelemishwa sio kuzodolewa
Ok. Kifupi ukaimu wa Urais wa JMT upo Kikatiba. Jitahidi uitafute Katiba ya JMT uisome.
 
Back
Top Bottom