Ni muda Cheo cha Makamu wa Rais kifutwe Tanzania

Ni muda Cheo cha Makamu wa Rais kifutwe Tanzania

Kwa Sasa Katiba ya Jamhuri ya Tanzania inatakiwa kupitiwa upya, na kuondoa cheo Cha Makamu wa Rais. Cheo hili hakina tija kinaongeza tu mlundikano wa vyeo visivyokuwa na maana.

Makamu wa Rais Hana mamlaka Kama aliyonayo Waziri Mkuu, ndio maana Waziri Mkuu anaweza kumfukuza au kumsimamisha kazi Mtumishi ila sio Makamu wa Rais.

Nafasi ya Makamu wa Rais imekuwa ceremonial tu. Makamu wa Rais anaweza kupotea hata miezi SITA na wananchi wasishangae au Makamu wa Rais ataonekana Sana kwenye ufunguzi wa warsha na makongamano.

Ni kweli Makamu wa Rais yupo kwaajili ya kukaimu nafasi ya urais Rais anapokuwa nje ya nchi, ila sio lazima yeye akaimu , Rais anaweza kumkaimisha yeyote madaraka ya Urais akiwa nje.

Nashauri baadala ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia Makamu wa Rais na watu wake, ni bora kuondoa hicho cheo na Mazingira pamoja na Muungano vikaunganishwa kwenye Wizara ya mambo ya ndani .
Thubutu! Watakula wapi
 
Kwa Sasa Katiba ya Jamhuri ya Tanzania inatakiwa kupitiwa upya, na kuondoa cheo Cha Makamu wa Rais. Cheo hili hakina tija kinaongeza tu mlundikano wa vyeo visivyokuwa na maana.

Makamu wa Rais Hana mamlaka Kama aliyonayo Waziri Mkuu, ndio maana Waziri Mkuu anaweza kumfukuza au kumsimamisha kazi Mtumishi ila sio Makamu wa Rais.

Nafasi ya Makamu wa Rais imekuwa ceremonial tu. Makamu wa Rais anaweza kupotea hata miezi SITA na wananchi wasishangae au Makamu wa Rais ataonekana Sana kwenye ufunguzi wa warsha na makongamano.

Ni kweli Makamu wa Rais yupo kwaajili ya kukaimu nafasi ya urais Rais anapokuwa nje ya nchi, ila sio lazima yeye akaimu , Rais anaweza kumkaimisha yeyote madaraka ya Urais akiwa nje.

Nashauri baadala ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia Makamu wa Rais na watu wake, ni bora kuondoa hicho cheo na Mazingira pamoja na Muungano vikaunganishwa kwenye Wizara ya mambo ya ndani .
Kweli hakina kazi.

Hata Speaker wa Bunge hana kazi abaki Katibu tu.
 
Kwa Sasa Katiba ya Jamhuri ya Tanzania inatakiwa kupitiwa upya, na kuondoa cheo Cha Makamu wa Rais. Cheo hili hakina tija kinaongeza tu mlundikano wa vyeo visivyokuwa na maana.

Makamu wa Rais Hana mamlaka Kama aliyonayo Waziri Mkuu, ndio maana Waziri Mkuu anaweza kumfukuza au kumsimamisha kazi Mtumishi ila sio Makamu wa Rais.

Nafasi ya Makamu wa Rais imekuwa ceremonial tu. Makamu wa Rais anaweza kupotea hata miezi SITA na wananchi wasishangae au Makamu wa Rais ataonekana Sana kwenye ufunguzi wa warsha na makongamano.

Ni kweli Makamu wa Rais yupo kwaajili ya kukaimu nafasi ya urais Rais anapokuwa nje ya nchi, ila sio lazima yeye akaimu , Rais anaweza kumkaimisha yeyote madaraka ya Urais akiwa nje.

Nashauri baadala ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia Makamu wa Rais na watu wake, ni bora kuondoa hicho cheo na Mazingira pamoja na Muungano vikaunganishwa kwenye Wizara ya mambo ya ndani .
Kama cheo cha makamu wa rais kikiwepo basi cheo cha waziri mkuu kifutwe. Hata hivyo huyu waziri mkuu ni wa Tanganyika hakanyagi zanzibar.
 
Huko shuleni ulienda kusomea ujinga? Mbona sababu umetoa haina mashiko. Kwa hivyo Makamu wa Rais yupo kwaajili tu ya kuwa Rais au kumkaimu Rais?. Yani tuwe na mtu mwenye cheo Cha kumkaimu Rais akiwa hayupo.

Kama Hilo ndilo shida yako, tunaweza kuamua Rais asipokuwepo nafasi itakaimiwa na Spika wa Bunge, au Jaji Mkuu. Na iwapo Rais atafariki, nafasi yake ikaliwe na Jaji Mkuu kwa muda wa siku 60 kabla ya uchaguzi wa Rais. Hii dhana ya sijui mtu yeyote hawezi kuwa Makamu wa Rais asije kumzuia Rais asirudi akiwa nje ni ya kitoto. Rais anaweza kuzuiwa na CDF na Jeshi lake sio Makamu wa Rais.

Narudia Tena tufute cheo Cha makamu wa Rais Tanzania.
Nenda kaanzishe nchi yako. TZ lazima tuwe na Makamu wa Rais hutaki jinyonge!
 
Kwa maoni yangu,
nadhani kile cheo cha makamu mwenyekiti wa chadema taifa ndicho hasa hakina maana wala umuhimu, na kilichopoteza uelekeo kabisa, na kwakweli kinachochochea uhasama na kuzidisha mpasuko na mgawanyiko chadema, ndicho haswaaa cha kufutilia mbali...

kuhusu kwingineko,
nadhani kuna tatizo la uelewa na ufahamu tu, juu ya umuhimu na maana ya makamu au naibu rais. Ukijua malego na madhumuni yake licha ya gharama yake, kamwe huwezi kufikiri wala kusema ulichokiandika. Akina Aristotle na Plato hawakua na ufinyu wa fikra kama huo wa kwenye hoja ya msingi, ndiyo maana wakabuni na kuweka nafasi hiyo.

Na kwa binadamu alivyo,
mpaka kwanza apate tatizo ndipo aone umuhimu wa jambo alilokua akilidharau au haelewi wala kuona umuhimu wake.

Nachelea kusema,
kama kuna nafasi muhimu, nzito na ya maana sana ambayo kamwe haistahili hata mjadala wa kuwepo kwake basi ni nafasi ya Makamu au naibu wa rais.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Uzi unahusu nafasi kwenye serikali sio chama,kama unataka kuishauri CDM kuhusu nafasi hiyo fungua Uzi wako.

Bure kabisa.
 
Uzi unahusu nafasi kwenye serikali sio chama,kama unataka kuishauri CDM kuhusu nafasi hiyo fungua Uzi wako.

Bure kabisa.
Gentleman mwenye makasiriko, relax kwanza,

kama mbobevu katika masuala ya kisiasa, utawala na diplomasia, huwa natoa mawaidha kwa wote nyie wenye mihemko na msio na mihemko,

na zaidi sana,
natoa nasaha kwenye vyama vya siasa na serikali zote Africa Mashariki na sio kumbwelambwela tu na ghadhab zisizo na maana mnazoleta 🐒
 
Rasimu ya Warioba iliweka kuwe na Rais wa Tanganyika, Rais wa Zanzibar na Rais wa Muungano. Hivi sasa hata kiitifaki inachanganya sana.
 
Kwa nchi masikini vyeo viwili, waziri mkuu na makamu wa raisi ni mzigo. Kimoja kiondolewe.
 
Hujielewi kamanda! Hivi unajua nafasi ya urais wewe? Hiyo nafasi haitakiwi kukaliwa na yeyote ambaye wananchi hawamjui! Juzi Phillip Mpango walitoka kuzushiwa kifo sababu wananchi hawajamuona muda mrefu! Rais anapokuwa hayupo lazima hicho kiti pawepo wa kukikalia vinginevyo akikaa mtu ndiye siye anaweza kumzuia hata Rais asirudi nchini au kufanya chochote kwasababu kimamlaka kakalia kiti!
Waziri mkuu anatosha kukaimishwa.
 
Kwa Sasa Katiba ya Jamhuri ya Tanzania inatakiwa kupitiwa upya, na kuondoa cheo Cha Makamu wa Rais. Cheo hili hakina tija kinaongeza tu mlundikano wa vyeo visivyokuwa na maana.

Makamu wa Rais Hana mamlaka Kama aliyonayo Waziri Mkuu, ndio maana Waziri Mkuu anaweza kumfukuza au kumsimamisha kazi Mtumishi ila sio Makamu wa Rais.

Nafasi ya Makamu wa Rais imekuwa ceremonial tu. Makamu wa Rais anaweza kupotea hata miezi SITA na wananchi wasishangae au Makamu wa Rais ataonekana Sana kwenye ufunguzi wa warsha na makongamano.

Ni kweli Makamu wa Rais yupo kwaajili ya kukaimu nafasi ya urais Rais anapokuwa nje ya nchi, ila sio lazima yeye akaimu , Rais anaweza kumkaimisha yeyote madaraka ya Urais akiwa nje.

Nashauri baadala ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia Makamu wa Rais na watu wake, ni bora kuondoa hicho cheo na Mazingira pamoja na Muungano vikaunganishwa kwenye Wizara ya mambo ya ndani .
Unaonaje nafasi ya urais ikaondolewa likaundwa baraza la uongozi?
 
Kwa Tanzania, cheo ambacho hakitakiwi ni Cha Waziri Mkuu. Waziri Mkuu HANA KAZI yoyote ingawa inaonekana anayo. Mfano, wewe umesema ana uwezo kumfukuza kazi MTUMISHI; sio kweli.

Ila Makamu wa Rais cheo chake ni kikubwa zaidi ya tunavyokiona. Sana sana tu labda cheo chake kiongezewe majukumu ya Waziri Mkuu kikae sawa.
Chochote kati ya cheo cha waziri mkuu au makamu wa Rais kingeondolewa tu.
 
Kwa sasa usimlaumu sana makamo wa raisi sababu kwa awamu hii ndani ya serikali kuna serikali nyingine tusiyoijua na yenye nguvu kuliko serikali tunayoijua.

Mfano Abdul wa mama Abdul ana madaraka na kauli kuliko hata Waziri Mkuu.

Hii nchi imekuwa mateka ya wapumbavu. Tunatawalia na wapumbavu na kwa vile kabla ya hapo sisi wenyewe ni wapumbavu wakubwa zaidi basi imekuwa ni balanced equation ya upumbavu.

Jamhuri Ya Muungano Wa Wapumbavu.
Mpumbavu ni wewe mwenyewe
 
Mpumbavu ni wewe mwenyewe
Huwezi amini bi mkubwa wako aliniambia hivyo hivyo kuwa mpumbavu mimi mwenyewe nilipomwambia ameze P2.
Ona matokeo yake, ngedere pori moja kama wewe imezaliwa inayotukana baba zake.
 
Huwezi amini bi mkubwa wako aliniambia hivyo hivyo kuwa mpumbavu mimi mwenyewe nilipomwambia ameze P2.
Ona matokeo yake, ngedere pori moja kama wewe imezaliwa inayotukana baba zake.
Wewe pia si Mama hakikisha unameza P2 usifanye kosa la mwanamke mwenzio.
 
Back
Top Bottom