Ni muda Cheo cha Makamu wa Rais kifutwe Tanzania

Thubutu! Watakula wapi
 
Kweli hakina kazi.

Hata Speaker wa Bunge hana kazi abaki Katibu tu.
 
Kama cheo cha makamu wa rais kikiwepo basi cheo cha waziri mkuu kifutwe. Hata hivyo huyu waziri mkuu ni wa Tanganyika hakanyagi zanzibar.
 
Nenda kaanzishe nchi yako. TZ lazima tuwe na Makamu wa Rais hutaki jinyonge!
 
Uzi unahusu nafasi kwenye serikali sio chama,kama unataka kuishauri CDM kuhusu nafasi hiyo fungua Uzi wako.

Bure kabisa.
 
Uzi unahusu nafasi kwenye serikali sio chama,kama unataka kuishauri CDM kuhusu nafasi hiyo fungua Uzi wako.

Bure kabisa.
Gentleman mwenye makasiriko, relax kwanza,

kama mbobevu katika masuala ya kisiasa, utawala na diplomasia, huwa natoa mawaidha kwa wote nyie wenye mihemko na msio na mihemko,

na zaidi sana,
natoa nasaha kwenye vyama vya siasa na serikali zote Africa Mashariki na sio kumbwelambwela tu na ghadhab zisizo na maana mnazoleta πŸ’
 
Rasimu ya Warioba iliweka kuwe na Rais wa Tanganyika, Rais wa Zanzibar na Rais wa Muungano. Hivi sasa hata kiitifaki inachanganya sana.
 
Kwa nchi masikini vyeo viwili, waziri mkuu na makamu wa raisi ni mzigo. Kimoja kiondolewe.
 
Waziri mkuu anatosha kukaimishwa.
 
Unaonaje nafasi ya urais ikaondolewa likaundwa baraza la uongozi?
 
Chochote kati ya cheo cha waziri mkuu au makamu wa Rais kingeondolewa tu.
 
Mpumbavu ni wewe mwenyewe
 
Mpumbavu ni wewe mwenyewe
Huwezi amini bi mkubwa wako aliniambia hivyo hivyo kuwa mpumbavu mimi mwenyewe nilipomwambia ameze P2.
Ona matokeo yake, ngedere pori moja kama wewe imezaliwa inayotukana baba zake.
 
Huwezi amini bi mkubwa wako aliniambia hivyo hivyo kuwa mpumbavu mimi mwenyewe nilipomwambia ameze P2.
Ona matokeo yake, ngedere pori moja kama wewe imezaliwa inayotukana baba zake.
Wewe pia si Mama hakikisha unameza P2 usifanye kosa la mwanamke mwenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…