Ni muda gani inapaswa mwanaume akupeleke kwake baada ya kuanza naye mahusiano?

Kumpeleka mtu kwako si jambo dogo lazima ujiridhishe sana ukiona umewahi kupelekwa basi hapo ni "gheto" huenda ukitoka wewe anaingia mwingine
Kumbe… sasa kwako si nimemaanisha mahali anapoishi mwanaume au wewe umenielewaje hapo
 
Unakuta mtu ana miaka 45 lakini anakupeleka kwenye gheto la kijana wa miaka 22 lina Sabufa ya kumulika mulika anajifanya lake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtu asiwe na sabufa la kumulikamulika jmn
 
Miaka 89.
 
Kuna comment zinachekesha. Kupelekana home inategemea na malengo au anavyokuchukulia.
Kama akiona ni wife material, wiki au mwezi utakaribishwa home. Akiona ni gold digger, hit&run itahusika kwenye maeneo nje ya home.
Inabidi pia kuwa mvumilivu sababu kuna wengine wapo slow kwenye kufanya maamuzi, anaweza kumchukua muda mrefu even mwaka kufikia uamuzi kwamba "yes huyu ndiye". Just chill
 
Kumbe… sasa kwako si nimemaanisha mahali anapoishi mwanaume au wewe umenielewaje hapo
Anyway niseme unaweza kupelekwa hata siku ya kwanza inategemeana na mazingira maana what if kama mmepanga nyumba Moja au mko mtaa mmoja na unapajua kwake si unaweza hata ku "surpriiiiiiiise"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…