Ni muda gani inapaswa mwanaume akupeleke kwake baada ya kuanza naye mahusiano?

Hiyo sogea tuishi sio ya kumshauri binti mkuu… wanaume wengi huwapotezea muda kwa kuishi nao kama mke na mume akimchoka anaenda kuoa ndoa ya kanisani
 
Mwaka mmoja unatosha kupelelezana kila mmoja kumjua mwenzie ila mwanamke usije ukalogwa ukabeba mimba bila makubaliano yenu wawili,utajuta
 
Umepata mwingine Tena?? Ila inaonekana mapenzi unayamudu sana
 
Siku 2 baada ya kukubaliana kuwa wapenzi.
 
Unakuta mtu ana miaka 45 lakini anakupeleka kwenye gheto la kijana wa miaka 22 lina Sabufa ya kumulika mulika anajifanya lake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnachekesha watu, Lol
 
mwanaume akikupenda na ana malengo na wewe, atakupeleka tu hata bila kumuomba, ataanza kukusogeza kwa watu wake wa karibu, lakini kama hana malengo na wewe hawezi kukupeleka maana utamharibia kwa yule anayempenda na kumheshimu aliye na malengo naye, akiwa na malengo na wewe hata funguo ya getto unapewa
 
Kama amekuona wewe ni matirio, ata kupeleka ndani ya siku saba; ila kama ameona anapoteza muda na mizinga mingi isiyo na mpangilio baada ya miaka 20 ndio ataweza kukupeleka.
 
Sio wote ndugu wengine mageto yao ni mbadala wa gest anapunguza gharama
 
Kama amekuona wewe ni matirio, ata kupeleka ndani ya siku saba; ila kama ameona anapoteza muda na mizinga mingi isiyo na mpangilio baada ya miaka 20 ndio ataweza kukupeleka.
Na huyu ambae nashinda kwake lakini hanipendi tumuweke wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…