Hiyo sogea tuishi sio ya kumshauri binti mkuu… wanaume wengi huwapotezea muda kwa kuishi nao kama mke na mume akimchoka anaenda kuoa ndoa ya kanisaniSisi wanaume tunaogopa sana kuoa asikwambie mtu!nani anapenda ghafula kuwa na familia tatu za kuhudumia!!?yaani familia yake,kwao na kwenu!!?
Ndoa mwanamke ndio anaipigania Hadi kinaeleweka coz muda unaenda na anaing'ang'ania kama anaona huyo Me Ana potential fulani!
Ukisubiri protocol zifatwe utachelewa sana!Kwa usawa huu nani anataka kuoa zaidi ya kucheza game na Sheria ya ndoa ilivyo mbaya!!?
Wiki moja tu inatosha kufahamu nifiche nini sasa.Ni kwa muda gani unapaswa ufahamu mahali anaishi mpnz wako
Ooh sauwaaWiki moja tu inatosha kufahamu nifiche nini sasa.
Mwaka mmoja unatosha kupelelezana kila mmoja kumjua mwenzie ila mwanamke usije ukalogwa ukabeba mimba bila makubaliano yenu wawili,utajutaKama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnachekesha watu, LolUnakuta mtu ana miaka 45 lakini anakupeleka kwenye gheto la kijana wa miaka 22 lina Sabufa ya kumulika mulika anajifanya lake.
Mijitu mizima kujifanya mtoto mdogo 😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnachekesha watu, Lol
Hili geto naloishi niliapa haingii mwanamke yeyote labda mke wangu tuHiyo getto yako ushapeleka wangapii mkuu
Kukupeleka kwake ni upendo ila haina uzito saana, utambulisho wenye uzito ni Kwa wazazi wa mhusikaOk ila wadada wengi tunaamini mwanaume kukupeleka kwake ni upendo
mwanaume akikupenda na ana malengo na wewe, atakupeleka tu hata bila kumuomba, ataanza kukusogeza kwa watu wake wa karibu, lakini kama hana malengo na wewe hawezi kukupeleka maana utamharibia kwa yule anayempenda na kumheshimu aliye na malengo naye, akiwa na malengo na wewe hata funguo ya getto unapewaKama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
Sio wote ndugu wengine mageto yao ni mbadala wa gest anapunguza gharamamwanaume akikupenda na ana malengo na wewe, atakupeleka tu hata bila kumuomba, ataanza kukusogeza kwa watu wake wa karibu, lakini kama hana malengo na wewe hawezi kukupeleka maana utamharibia kwa yule anayempenda na kumheshimu aliye na malengo naye, akiwa na malengo na wewe hata funguo ya getto unapewa
Na huyu ambae nashinda kwake lakini hanipendi tumuweke wapiKama amekuona wewe ni matirio, ata kupeleka ndani ya siku saba; ila kama ameona anapoteza muda na mizinga mingi isiyo na mpangilio baada ya miaka 20 ndio ataweza kukupeleka.
Kweli kabisaKukupeleka kwake ni upendo ila haina uzito saana, utambulisho wenye uzito ni Kwa wazazi wa mhusika
OohHili geto naloishi niliapa haingii mwanamke yeyote labda mke wangu tu
Mechi zote ziliishia hukohuko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mijitu mizima kujifanya mtoto mdogo [emoji28]
Muwekee mazingira kwa kujadiliana mitazamo yenu ya kujenga familia na maendeleoNa huyu ambae nashinda kwake lakini hanipendi tumuweke wapi
Siwezi nimeachana naeMuwekee mazingira kwa kujadiliana mitazamo yenu ya kujenga familia na maendeleo