Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ya huku vijana wanakuwa wanafiki kwa kutetea kila kitu hata kiwe kina athari kwa Taifa wanaona ndio ukada na wataonwa kwenye teuzi wakati ni ushamba tu na kuumizana.Kuna mahala nilikuwa naongea na jamaa anasema sembe kilo 5 imefika elfu tisa kwa hapa Dar, na hii ni July kipindi cha mavuno. Majuzi hapa niliona sabuni ya kuogea ya Protex ambayo nilikuwa nainunua kwa 2500 baadaye 2800 imeshafika 3500. Hii kasi ya kupanda kwa vitu muhimu kwa matumizi ya watu linaenda kuwa janga kubwa sana.
Muda si mrefu tutaanza kuagiza chakula kwa hao tunaowauzia kwa bei mala tatu ya tuliowauzia mana wenzetu huwa wana jicho la mbali. Hawatatuuzia kama mahindi ila tutauziwa unga.Gunia la mahindi litanunuliwa 200K ikiwa huyu mama (slow learner) hatapata mtu wa kumsanua.
Yani hii ni july wakati wa mavuno ila vyakula bado ni bei ghali, gunia la mahindi kwasasa ni 120K.
Acha bla blaa uwe unalima.Watu wakila wakashiba amani inakuwepo. Ila ukiruhusu taifa lako liwe na njaa amani hutoweka kila mahali na ikizidi taifa huangamia. Bora mfumuko wa bei uwepo mana ni janga la dunia ila njaa njaaa sijui.
Tuliopo mtaani karibu kila siku tunamshauri tatizo lipo kwa walioshiba, wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa uchwara ambao si waumini wa ukweli hawamshaurii vizuri hali iliyoko mtaani.Gunia la mahindi litanunuliwa 200K ikiwa huyu mama (slow learner) hatapata mtu wa kumsanua.
Yani hii ni july wakati wa mavuno ila vyakula bado ni bei ghali, gunia la mahindi kwasasa ni 120K.
Inflation ikitokea wakulima wadogo ndio wahanga kuliko wanunuaji wa chakula. Hakuna siku njaa au tatizo la kiuchumi liliwahi tokea na mkulima akawa safe kuliko mfanyakazi au mfanyabiasharaKwani mliwasaidia kulima hayo mahindi? waacheni wakulima wauze wanapotaka kwa bei wanayotaka, ukitaka rahisi lima yako.
Kwani mliwasaidia kulima hayo mahindi? waacheni wakulima wauze wanapotaka kwa bei wanayotaka, ukitaka rahisi lima yako
Mimi silimi ila nanunua mazao, wakulima wanauza mazao kwa fujo na wakenya wamekuja kulangua mazao ya chakula tani kwa tani kwa dau la kutamanisha tofauti na nyuma, kweli wamepata hela Ila wanauza hadi wanasahau kuwa kuna kesho na hali ya hewa haitabiriki.
Sasa kwann wakenya waweze kununua kwabei nzuri lakini watanzania washindwe?Mimi silimi ila nanunua mazao, wakulima wanauza mazao kwa fujo na wakenya wamekuja kulangua mazao ya chakula tani kwa tani kwa dau la kutamanisha tofauti na nyuma, kweli wamepata hela Ila wanauza hadi wanasahau kuwa kuna kesho na hali ya hewa haitabiriki.
Kuliko mie au kuliko wewe?Kwasababu wanaona mbali kuliko wewe.