Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mtalalamika mpaka kiyama na mtaenda mbinguni mmechoka sana kwa ujinga Halafu na adhabu ya Umasikini inawasubiri
Inakuwaje mna mito yote hiyo na maziwa mengi lakini hamyatumii kwa kilimo cha Umwagiliaji?
Kesho ukiulizwa kwa nini unakufa njaa na mnapigana wakati mna maji yote Haya mtajibu nini ?
Eti msisogee mita sijui ngapi karibu na mto
Kwa hiyo ni Mito ya maonyesho ama
Kama wataharibu Kwanini wasipewe Elimu kuhusu kulinda mali zetu ?
Kuna nchi za Afrika wana Mito kama Sisi ila wanatumia haswa kwa kilimo na hata usafiri kwenye Mito huku wengine wakiwa wamejenga mpaka makazi pembezoni mwa mito na wanalima mboga mboga na kuiuza huku wakiibeba kwenye mitumbwi
Sisi tumekalia maneno na kujifungia hapo tu
Inakuwaje mna mito yote hiyo na maziwa mengi lakini hamyatumii kwa kilimo cha Umwagiliaji?
Kesho ukiulizwa kwa nini unakufa njaa na mnapigana wakati mna maji yote Haya mtajibu nini ?
Eti msisogee mita sijui ngapi karibu na mto
Kwa hiyo ni Mito ya maonyesho ama
Kama wataharibu Kwanini wasipewe Elimu kuhusu kulinda mali zetu ?
Kuna nchi za Afrika wana Mito kama Sisi ila wanatumia haswa kwa kilimo na hata usafiri kwenye Mito huku wengine wakiwa wamejenga mpaka makazi pembezoni mwa mito na wanalima mboga mboga na kuiuza huku wakiibeba kwenye mitumbwi
Sisi tumekalia maneno na kujifungia hapo tu