Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Nashangaa anajihangaisha tuDream means nothing!!
Sio kwa kila mtu hii....Dream means nothing!!
Really? I thought dreaming is something necessaryDream means nothing!!
Yes it is....Really? I thought dreaming is something necessary
So what can I do to remember my dreamsYes it is....
Not really, dreams are just dreamsYes it is....
Sure dreams are just dreams, but somebody has to remember and recall itNot really, dreams are just dreams
Unavuta bangi?? Maana nazo zinakataga uwezo wa kuotaHabari za asubuhi wadau
Kama kichwa cha habari kinavyo sema. Nina uhakika kila siku naota ndoto nikiwa usingizini, lakini cha ajabu ni kwamba nikiamka tu asubuhi sikumbuki ndoto hata moja.
Ni muda mrefu sina kumbukumbu ya ndoto yoyote ile, naota ndoto zaidi ya tatu lakini asubuhi ifikapo nikijaribu kukumbuka nashindwa.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida tu? Ni zaidi ya miaka mitatu sasa nimekuwa na hali hii. Nifanye nini?
Kwa wengine zina maana,, unakua unapewa taarifa....japo kwa wengine hazina maanaNot really, dreams are just dreams
HahahaNashangaa anajihangaisha tu
Kivipi tenaaa?Unavuta bangi?? Maana nazo zinakataga uwezo wa kuota
Kwako ikoje?Sio kwa kila mtu hii....
Sivuti mjani, ndoto naota ila nikiamka ndyo sikumbukiUnavuta bangi?? Maana nazo zinakataga uwezo wa kuota
Yeah, it's uselessNot really, dreams are just dreams
Mie naota halafu zinakua na maana kabisa, yani nnayoyaota yanatokea....Kwako ikoje?
SawaNot really, dreams are just dreams