Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Heee uganga tena??? Nianze kusaka wateja jf au sio...😁Yesss! Wapo wa design hiyo... Kwakweli hasa wanawake.
Aliwahi kunieleza mtu mzima mmoja mwenye hekima, kwamba ukiwa mmojawapo ni dalili za kuwa na kiumbe mzuri, wengi huingia kwenye uganga mbeleni. Ana ushawishi huo sana! Na washirikina wakikujua unae wanakuchezea kukuharibia memory yako.
Maombi tu ndo yamenisaidia Mkuu....!Kama ni mambo ya kiroho basi tiba yake itakuwa ya kiroho pia. Mkuu umesema ulishawahi kupitia hali hii, uliwezaje kujitoa au kupona?
Nimekupata vyema mkuu, maombi na kujizuia kutenda machafu ndyo suluhisho pekee katika tatzo hiliNdoto ni namna mojawapo ya MUNGU kuwasiliana na wanadamu.Kupitia ndoto,MUNGU anatupa maonyo kuhusu yaliyopita na kutupa ushauri wa namna ya kubadilika for our own good.Kupitia ndoto,anatutabiria yajayo,yawe mazuri au mabaya.
Ukiona umeacha kuzikumbuka ndoto zako,basi jua kwamba umefungwa kiroho ili usiweze kuwasiliana na MUNGU.
Kama kuna maovu unayafanya,jaribu kufanya toba na jitahidi kujuta na kuachana kabisa na hayo maovu.Ukifanya haya,njoo utupe mrejesho nini kimetokea.
Nimewahi kupitia hali kama yako,ila nilijichunguza na nikajirekebisha kasoro zangu na hali ikarudi kama mwanzo.Japokuwa hizi ndoto tunazoziota huwa hazinaga maana ya moja kwa moja vile ulivyoiota,hivyo unahitaji mtaalam wa kukutafsiria,usije ukaota msiba ukadhani ni msiba kweli!
Unaposema ndoto nyingi ni yale mambo unayoishi nayo kila wakati, kwani wewe mkuu ulitaka tuote mambo gani? Hayo ni mambo yenye kuhusu maisha yetu na ndoto ndio hutumia matukio hayo kufiksha ujumbe au kile kilichokusudiwa.Ndoto nyingi ni yale mambo unayoishi nayo kila wakati. Japo wengi wanazichukulia serious,lakini hata pale wanapozichukulia serious kwamba alichokiota kitatokea,hiyo inakuwa nadharia tu wakati hakitokei hata nusu yake,japo InabaKi kwenye Imani ya mhusika kwamba itatokea,mpaka anasahau kwamba imetokea au haijatokea.
Ukitaka kuikumbuka ndoto uliyoota ni rahisi tu ni kama vile unavyostuka mkojo ukikubana,basi unaweza kujitafuta kila wakati ukiota jilazimishe kuamka. Ukiweza kuamka kila wakati,usiamke kwa kama unastuka. Amka soft tu anza kuwaza ulivyokuwa usingizini ilazimishe akili ivute kumbukumbuku ndoto yako. Anza na tukio kubwa kubwa lililojirudia rudia kwenye ndoto yako. Mwisho utaweza kukumbuka ndoto zako. Japo sio muhimu. Mimi huwa nikiota ndoto mbaya najilazimisha sana niamke hata katikati ya ndoto. Ukija kulala huwezi kuota tena ile ile ndoto.
Kiukwel japo sifanyi ibada kwa maana ya kuhudhuria church mara kwa mara, ila mfumo wa maisha yangu mimi ni wa kawaida tu. Kuamka, kazi, home. Sinywi ,silewi,sivuti, kugonga nje kwa nadra sana, nina mwaka sasa sijachepuka.Fanya sana Ibada, badili mfumo wa maisha na utoe sana Sadaka na Zaka.
Yah, dhambi nafanya hiz za kawaida kabisaaa za kitoto ambazo hata watakatifu wanafanya 😅Usirudie makosa yaliyopita ingawa kukosea ni kawaida na huwezi kuishi Bila ya kutenda dhambi. Ila kuna jambo/mambo hayako sawa. Zingatia
Ndoto ni zaidi ya kuota na ikatokea tu. Ndoto zinaweza kutupa mwangaza katika mambo yahusuyo maisha yetu, kupitia ndoto tunaweza kupata solution ya baadhi ya kutatua matatizo yetu, ndoto zaweza kuwa na msaada kwenye upande wa afya zetu.Mie naota halafu zinakua na maana kabisa, yani nnayoyaota yanatokea....
Nilishajifunza kitambo huwa sipuuzii ndoto zangu kabisa. Kuna siku niliota ugomvi yani kila nilichokiota kesho yake kilikua kama nilivoona ndotoni.
Ukiweza kuamka usiku wakati huo huo ambapo unaikumbuka ndoto ni vizuri ukaiandika hiyo ndoto kisha urudi kulala.Afadhali wewe ulikimbuka, je mimi kama niliwahi ota nimepoteza hadi soksi na sijakumbuka, hapo si noma kabisa
Sawa mkuu nitafanya hivyo maana wakati mwingine nashtuka sana usiku, mfano kuna siku nimeamka ghafla nikajikuta nimetoka nje, nikasimama kama dakika moja alafu ndyo ufahamu ukarudi. Nikarudi ndani na sijaelewa kabisa nini kilitokea, sikupata amani kabisa mpaka asubuhi inafika.Ukiweza kuamka usiku wakati huo huo ambapo unaikumbuka ndoto ni vizuri ukaiandika hiyo ndoto kisha urudi kulala.
Yapo mambo kama matumizi fulani ya dawa, shida ya usingizi n.k pia huathiri ukumbukaji wa ndoto na hata ukiwa huzingatii ndoto pia huja hali hiyo ya kutokuwa unakumbuka ulichoota.Hili ni tatizo la kiroho sio akili, inategemea na imani yako, usipuuze.
Kuna wakati ndoto hukuza jambo hasa kwa hali ya kutisha ili uzingatie hasa inapokuwa unapooza.Majoka ninayoyaonaga ndotoni duniani hayapo
Aisee we acha ndugu yangu unakuta nyoka anatisha kuliko nyoka tunazozifahamu Halafu kibaya zaidi huko ndotoni unakuta hapo ulipo zimejaa nyoka tupuKuna wakati ndoto hukuza jambo hasa kwa hali ya kutisha ili uzingatie hasa inapokuwa unapooza.
Zingatie kuandika ndoto zako pale unaposhtuka usiku au hata ukiamka asubuhi chochote hata kidogo utakachokikumbuka we kiandike hicho hicho, ukionyesha kuzingatia ndoto kama hivyo utaona matokeo.Sawa mkuu nitafanya hivyo maana wakati mwingine nashtuka sana usiku, mfano kuna siku nimeamka ghafla nikajikuta nimetoka nje, nikasimama kama dakika moja alafu ndyo ufahamu ukarudi. Nikarudi ndani na sijaelewa kabisa nini kilitokea, sikupata amani kabisa mpaka asubuhi inafika.
Mkuu unaonekana uko vizuri kwenye suala la ndoto. Kuna ndoto moja huwa naiota mara kwa mara iko hivi tunaweza kuwa na wenzangu tunatembea mbele kuna mto na daraja zuri tu wenzangu wnavuka ila mimi nikinza kuvuk nikifika katikati daraja linaanza kuteleza na siwezi kuendelea mbele wala kurudi nyuma najikuta dilem na ndoto inkomea hapo, sometimes naota kwenye hilo daraja naangukia kwenye maji naanza kustruggle kuogelea na nashindwa. Lastly niliota tuko na wenzangu tumevuka vizur ila nikateleza tena nikaangukia majini nikajitahidi kuogelea kwenda ukingoni na nilipofika ile nataka kushika majani yaliyokuwa pembeni ili niinuke akaja mzee mmoja akanivuta katikati ya maji na kunizamisha na nikashtuka kutoka usingizini so scary yaanKuna wakati ndoto hukuza jambo hasa kwa hali ya kutisha ili uzingatie hasa inapokuwa unapooza.
Si mchezo, kuna wakati ndoto zinataka ufahamu jambo au uchukue hatua kwa jambo fulani sasa unapokuwa unapotezea unakuta hali ya vitisho inazidi.Aisee we acha ndugu yangu unakuta nyoka anatisha kuliko nyoka tunazozifahamu Halafu kibaya zaidi huko ndotoni unakuta hapo ulipo zimejaa nyoka tupu
Kuwa mchamungu rasmi tena maradufu, wajengee hata watoto wako mfumo huo. Usisahau sadaka na zaka.Kiukwel japo sifanyi ibada kwa maana ya kuhudhuria church mara kwa mara, ila mfumo wa maisha yangu mimi ni wa kawaida tu. Kuamka, kazi, home. Sinywi ,silewi,sivuti, kugonga nje kwa nadra sana, nina mwaka sasa sijachepuka.
So hapo kwenye kubadil mfumo labda ningepata maelezo zaidi
Yah, dhambi nafanya hiz za kawaida kabisaaa za kitoto ambazo hata watakatifu wanafanya 😅
Mie naota halafu zinakua na maana kabisa, yani nnayoyaota yanatokea....
Nilishajifunza kitambo huwa sipuuzii ndoto zangu kabisa. Kuna siku niliota ugomvi yani kila nilichokiota kesho yake kilikua kama nilivoona ndotoni.
Sijaweza kusema naweza kutafsiri ndoto za watu wengine ila naweza kukusaidia ukaweza kujua maana ya ndoto yako. Njia rahisi ya kuweza kutambua maana ya ndoto ni kutizama vitu vitatu kwanza ni (a)kitendo unachofanya ndotoni (b)unaangalia ulikuwa na hisia gani wakati unaota hiyo ndoto na hata baada ya kuamka(c)na Symbol.Mkuu unaonekana uko vizuri kwenye suala la ndoto. Kuna ndoto moja huwa naiota mara kwa mara iko hivi tunaweza kuwa na wenzangu tunatembea mbele kuna mto na daraja zuri tu wenzangu wnavuka ila mimi nikinza kuvuk nikifika katikati daraja linaanza kuteleza na siwezi kuendelea mbele wala kurudi nyuma najikuta dilem na ndoto inkomea hapo, sometimes naota kwenye hilo daraja naangukia kwenye maji naanza kustruggle kuogelea na nashindwa. Lastly niliota tuko na wenzangu tumevuka vizur ila nikateleza tena nikaangukia majini nikajitahidi kuogelea kwenda ukingoni na nilipofika ile nataka kushika majani yaliyokuwa pembeni ili niinuke akaja mzee mmoja akanivuta katikati ya maji na kunizamisha na nikashtuka kutoka usingizini so scary yaan