Ni muda sasa sijawahi kumbuka ndoto yoyote niliyoota

Ni muda sasa sijawahi kumbuka ndoto yoyote niliyoota

Anayedharau ndoto namuona hana maana kabisa,ndoto zina ujumbe,mke wangu mimi hawezi zini bila ya mimi kujua hadi mwenyewe anajishitukia,hawezi fanya chochote chenye mashaka kwangu bila ya mimi kujua,na hakuna jambo linakuja kwangu bila ya mimi kuliona kabla. Wife amewahi kutongozwa na jamaa wawili tofauti nikamwambia hadi na namba zao hakuamini wakati alifanya siri ,asante mungu wangu kwa hiki kipawa.


Mtoa mada njoo inbox nitakuelekeza dawa ya kienyeji ya kuoga kwa maji moto hali yako itarudi,hii ni bure sikuombi hata kumi.

Ila uwe usukumani,huku ndo inapatikana hiyo dawa

Bob Manson
Wewe noma sana aisee
 
Anayedharau ndoto namuona hana maana kabisa,ndoto zina ujumbe,mke wangu mimi hawezi zini bila ya mimi kujua hadi mwenyewe anajishitukia,hawezi fanya chochote chenye mashaka kwangu bila ya mimi kujua,na hakuna jambo linakuja kwangu bila ya mimi kuliona kabla. Wife amewahi kutongozwa na jamaa wawili tofauti nikamwambia hadi na namba zao hakuamini wakati alifanya siri ,asante mungu wangu kwa hiki kipawa.


Mtoa mada njoo inbox nitakuelekeza dawa ya kienyeji ya kuoga kwa maji moto hali yako itarudi,hii ni bure sikuombi hata kumi.

Ila uwe usukumani,huku ndo inapatikana hiyo dawa

Bob Manson
Mjomba natafuta Dawa Muhuni yoyote akinitombea mke wangu kombeo yake igeuke barafu au mti ya muanzi asiweze kukojoa kabisa mkojo, naomba HIO Dawa nitailipia gharama yoyote
 
Jaman pole sana mpendwa,,, mungu akusimamie
Amina,,sema nilkokua mwenyewe kulishanuka kitambo,,ila kwa leo kuna mtu anasimamia kazi fulani ivi naona nako kunanuka🙌🏾🙌🏾
 
Serious unauliza ufanye nini? Ukizikumbuka zitakusaidia nini?
 
Nikilala lazima niote, ila asubuhi memory inakuwa empty
Nikupe Dawa?

Tafuta Ngozi ya Chatu Jike, Kucha ya Simba, Jino la Tembo, Machozi ya Samaki, mlete Sisimizi mwenye mapengo, Jogoo mwenye Matege, Ushuzi wa Nyegere weka kwenye Chupa au kibuyu na Kunguru Jike mmoja

Ukileta hivyo ikitengenezwa Dawa utaanza kukumbuka
 
Nikupe Dawa?

Tafuta Ngozi ya Chatu Jike, Kucha ya Simba, Jino la Tembo, Machozi ya Samaki, mlete Sisimizi mwenye mapengo, Jogoo mwenye Matege, Ushuzi wa Nyegere weka kwenye Chupa au kibuyu na Kunguru Jike mmoja

Ukileta hivyo ikitengenezwa Dawa utaanza kukumbuka
Bora nisikumbuke kama ni hivyo, mkuu wewe utakuwa unafuga majini kabisa.
 
Bora nisikumbuke kama ni hivyo, mkuu wewe utakuwa unafuga majini kabisa.
Unataka kukumbuka au hautaki kukumbuka? Utakimbizwa ndotoni unaamka unajihisi unakimbizwa memory inasoma unakimbizwa kwenye majaruba ya Mpunga non-stop
 
Unataka kukumbuka au hautaki kukumbuka? Utakimbizwa ndotoni unaamka unajihisi unakimbizwa memory inasoma unakimbizwa kwenye majaruba ya Mpunga non-stop
Sitaki kukumbuka, hayo mauza uza baki nayo tu kaka 😂
 
Back
Top Bottom