Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
R.I.P Magufuli
 
Kweli kabisa mkuu wala halina ubishi hilo, na Asia baadhi ya nchi pia
India usiisahau ni wachafu mpaka uchafu unawaogopa
Uchafu mbona popote upo? Huwezi kulinganisha India na nchi yoyote ya Afrika. Wamechangia na wako mbali katika nyanja zote iwe sayansi, jamii, uchumi n.k. Wataalamu Wahindi wanatafutwa dunia nzima angalia huko US walivyo kamata sekta mbali mbali
 
Uchafu mbona popote upo? Huwezi kulinganisha India na nchi yoyote ya Afrika. Wamechangia na wako mbali katika nyanja zote iwe sayansi, jamii, uchumi n.k. Wataalamu Wahindi wanatafutwa dunia nzima angalia huko US walivyo kamata sekta mbali mbali
Kwa suala la elimu wanapambana haswa na wako mbali sana hata jengo ghali la Mukesh Ambani lenye gharama ya $2b wanalo

Wao nawapalilia kwa uhodari wa biashara na hata elimu ila uchafu omba siku moja ukatembee huko

Nimeenda sehemu kadhaa India napajua vizuri tu
Wana Maharaja express ni kama Oriental express ya ulaya ila babu kubwa
Hawa wakiona kitu kizuri lazima wapambane waweke

Hiyo Maharaja ni ghali na ya kitalii ukipanda unajisikia sijui uko wapi kwa huduma zao na jinsi ilivyo
Wamefanikisha mambo mengi sana sikatai ila kama ukipita mitaa ya Mumbai ni balaa
Kuna miji mizuri na misafi ila sio mji mkuu na wa pili
Modi aliposhika madaraka akaanza na usafi kama Magu
Ila haikuchukua mda akaachana nayo kwa sababu wahindi walisema tumezaliwa kwenye uchafu vigumu kubadilika mara moja

Natamani na sisi tuwe na hamu ya maendeleo kama wao
Hata tuweke train moja inayozunguka hata nchi nne kwa nauli za kitalii luxury trains ambazo duniani zipo nyingi

Ila hapa tunaongelea uchafu na haya nimeongeza kwa kuwapa credit kwa uwezo wao mwingine maana wanajua maisha
 
Huna hoja naona we umeona NGO's tu. Ka unashida nazo n wewe kosoa hoja yangu na si vipengele. Idiot
wewe ndo huna hoja, toka lini nchi ikashindwa kuendelea kwakukosa baraka?....kubali kujifunza wewe bogus...
 
Shida ipo hata kabla ya ukoloni,

Kwanini Sisi hatukuenda kuwatawala wao?

Kitendo cha sisi kushindwa kwenda nchi zao Hadi pale wao walipogundua uwepo wetu inaonyesha shida ilikuwepo hata kabla ya ukoloni
Nakubalina nawe. Watu kutoka far east walikuja Africa kuvuna, Waarabu kutoka middle east walifika kuvuna Africa, watu kutoka kaskazini mwa Dunia walikuja Africa kujipatia ziada. Sisi hatujawahi kwenda popote kwa lengo la kutawala wala kujipatia ziada. Unajiuliza ilikuwaje kikundi cha watu wasiozidi 200 wanaitwaa na kuitawala nchi kubwa kama Tanzania. Jibu rahisi ni kuwa Africa haina Maarifa na haijawahi kuwa na Maarifa.
 
Huu ni ukweli mchungu ambao wengi wetu hatupendi kuukubali.kuna ambao watakuja na ngonjera nyingi zakujitetea ila hawajawai kubadilisha huo ukweli.Mwafrika ni kiumbe dhaifu aliyepewa nguvu akanyimwa akili.
Akili tunazo kama binadamu wengine duniani, by theway utafiti unaonesha chimbuko la binadamu ni Africa kwingine kote waliamia tu. hata takwimu za vipimo vya IQ havioneshi kama binadamu wa bara moja na lingine wanatofautiana. Ila ni kweli kuwa katika kila jamii ikiwemo Africa kuna watu ni gifted kwa akili. Ukiangalia sport, entertaiment industry, wagunduzi, utaona black hawako nyuma kiivyo. Changamoto yetu ni kuwa hatuna Maarifa na hatujisumbui kupata maarifa. Maarifa utafutwa wakati akili mtu anazaliwa nayo, na akili bila maarifa ni useless.
 
Nadhani si ubafsi pekee
Unaposema ubinafsi unamaanisha nini labda mimi sielewi Maana kama wafrica niwabinafsi wa mali basi hata wazungu wasingeweza kuwepo humu na kumiliki ardhi nk: lwbda kama mimi sijui maana ya ubinafsi
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Mfano Tz tupo 63M lakini anasimama mjinga mmoja anakwambia maono ya Rais sijui nini? unajiuliza tunaishi kwa maono ya Rais au kwa mujibu ya sheria, taratibu na miongozo ya nchi? Kodi za wananchi utasikia Rais katoa na wakati ni kodi na zipo kwenye budget lakini hapo hapo unasikia Waziri kanunua nyumba ya 16B Masaki, matumizi makubwa na ya hovyo
 
Mimi huwa naumia sana kuona hivi jinsi sisi tulivyo.

Nitikatazama hawa wanao onekana wenzetu jinsi waliyo katika mambo yao na walipo huwa naumizwa sana na hali zetu.

Sometimes huwa nahisi hivi sisi tuna laaana tumelaanika huko miaka ya nyuma au laaah ! Maana mimi siielewi kabisa ndugu zangu ni kipi kinacho tusibu sisi.


Je, mfumo wa kitumwa sisi ndio tuna uweza kutumikishwa kama watumwa ndio njia inayo tufaa sisi kuliko njia nyingine zote ?
Sisi tunaishi kwa hisani ya Rais badala ya mipango yetu
 
Vita uchumi inahitaji umwagaji wa Damu, mapambano yenyew moyo wa dhati na wa kujitolea bila kukata tamaa. Sasa Bara letu hamna hilo.

Tatizo kubwa linaloisumbua Africa ni Ubinafsi na Kwa hakika hii Roho ya Ubinafsi (selfish )siku ikiondoka, Africa tutafanikiwa na tutapiga hatua kubwa sana
Nani ataiondoa?
 
Akili tunazo kama binadamu wengine duniani, by theway utafiti unaonesha chimbuko la binadamu ni Africa kwingine kote waliamia tu. hata takwimu za vipimo vya IQ havioneshi kama binadamu wa bara moja na lingine wanatofautiana. Ila ni kweli kuwa katika kila jamii ikiwemo Africa kuna watu ni gifted kwa akili. Ukiangalia sport, entertaiment industry, wagunduzi, utaona black hawako nyuma kiivyo. Changamoto yetu ni kuwa hatuna Maarifa na hatujisumbui kupata maarifa. Maarifa utafutwa wakati akili mtu anazaliwa nayo, na akili bila maarifa ni useless.
Tatizo kubwa ni uongozi mbovu
 
Dunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
Wazungu wenyewe wakiona jinsi tunavo jichukulia poa haki watakuja kututawala tena
 
Kwa jinsi unavyojiuliza hivyo basi mshukuru sana Mungu kukupa akili kubwa kiasi hicho. Ukifuatilia maendeleo yote makubwa hasa ya kisayamsi tunayoyashuhudia leo hii ni yalianzia kwa baadhi ya watu wachache sana KUJIULIZA VICHANYI MWAO NA KUHOJI KWA KUTAKA KUJUA VYANZO VYA MAMBO MBALIMBALI. Tuwasome wana falsafa wa zamani kina SOCRATE, PLATO nk nk.

Kwa hiyo na wewe hiyo akili yako kujiuliza kuhusu Mtu mweusi kuwa the most inferior race in human kind basi ndio mwanzo wa kupata jibu sahihi japo linaweza kukusononesha kwasababu KWA KIASI KIKUBWA NI NATURE.

Leo hii tu hapa kwetu wahamie hata wakorea tu nina uhakika suala la.umeme, barabara na maji lingekuwa ni historia ndani ya miezi sita tu, ambapo sisi imekuwa ni kama dereva bajaji kupewa mtihani wa urubani.

Maadamu Mungu ametuumba tukiwa rangi na muonekano tofauti basi ni dhahiri hata uwezo wa akili ni tofauti. Je ni race ipi imeyakataa majina yake na kujiita majina ya wazungu na waarabu, je ni race gani haiitaki rangi yao ya asili na kuamua kujichubua, je ni race ipi inanunua nywele za wengine.

Samahani sijaandika kwa mtirirko mzuri .
 
Back
Top Bottom