Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Hiyo mipango iko wapi au ndio muendelezo wa "tuki" ?
Haijafanywa ndiyo maana tupo hivi tulivyo. Lakini kama unaifahamu historia vizuri utatambua kuwa watu weusi wanaweza kupanga mipango mikubwa na kuifanya. Kama huifahamu utaishia kuja na majibu mepesi juu ya hali duni yetu.
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Tatizo hamuelewi kuwa bado mnatawaliwa. Mlipewa uhuru wa bendera tu, hamkupewa uhuru wa fikra.

Mmejazwa ujinga kwa miaka mingi (brain washed), ujinga umewajaa na utachukuwa muda mrefu sana kuufuta.
 
Tatizo hamuelewi kuwa bado mnatawaliwa. Mlipewa uhuru wa bendera tu, hamkupewa uhuru wa fikra.

Mmejazwa ujinga kwa miaka mingi (brain washed), ujinga umewajaa na utachukuwa muda mrefu sana kuufuta.
Ni nani awajibike zaidi katika kuondoa huo ujinga
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Tatzo lilianza na
1.geographia
Location ya bara la africa ina sapot uvivu/kutokujishuhulisha/kuishi natural na kutohitaj sana technolojia

Wenzetu ambao walitangulia mfano wazungu wao bila kujishuhulisha huwez survive .utakufa kwa barid,na nchi zao kipind cha karibia miez 8 ya mwaka hakisurpot kilimo vzur.so walihitaj akil ya ziada kusurvive.

Pia kutokana na hali hzo mbaya za rutuba na hal ya hewa ndomana wameuana sana ,kutgombea ardhi na unafuu wa barid..vita ikafanya wawe na discipline na kuogopana na kuamua kuwa civilized.
Sis hal ya hewa nzur hujuhitaj mbolea..species zote za wanyama na matunda na mboga ziko africa sababu hal ya hewa ina surpot hayo...unaweza usiwe na nyumba na ukalala porin mwaka mzima..ulaya na kwengne huwez barid ltakuua..so wenzetu akil zilichaj mapema...na hapo ndipo wakatupiga gap..

From there wakaanza tafuta maeneo extra ya kilimo etc na maliasili ndio wakatukuta sie huku..kwa style hiyo waliambukiza uchakarikaj maeneo mengi kadiri unavyoshuka toka north kuja south na ndomana ukichek raman ya dunia utajir mkubwa unaanzia north kuja chin..kadir unavyokuja kwenye ikweta ndio umaskin unaongezeka..

Ni jiografia tu kaka.
 
Tatzo lilianza na
1.geographia
Location ya bara la africa ina sapot uvivu/kutokujishuhulisha/kuishi natural na kutohitaj sana technolojia

Wenzetu ambao walitangulia mfano wazungu wao bila kujishuhulisha huwez survive .utakufa kwa barid,na nchi zao kipind cha karibia miez 8 ya mwaka hakisurpot kilimo vzur.so walihitaj akil ya ziada kusurvive.

Pia kutokana na hali hzo mbaya za rutuba na hal ya hewa ndomana wameuana sana ,kutgombea ardhi na unafuu wa barid..vita ikafanya wawe na discipline na kuogopana na kuamua kuwa civilized.
Sis hal ya hewa nzur hujuhitaj mbolea..species zote za wanyama na matunda na mboga ziko africa sababu hal ya hewa ina surpot hayo...unaweza usiwe na nyumba na ukalala porin mwaka mzima..ulaya na kwengne huwez barid ltakuua..so wenzetu akil zilichaj mapema...na hapo ndipo wakatupiga gap..

From there wakaanza tafuta maeneo extra ya kilimo etc na maliasili ndio wakatukuta sie huku..kwa style hiyo waliambukiza uchakarikaj maeneo mengi kadiri unavyoshuka toka north kuja south na ndomana ukichek raman ya dunia utajir mkubwa unaanzia north kuja chin..kadir unavyokuja kwenye ikweta ndio umaskin unaongezeka..

Ni jiografia tu kaka.
Ina leta maana

Ila siasa uchwara,uchawi,wizi,uchawa na unafiki tumezidisha mno
 
Tatzo lilianza na
1.geographia
Location ya bara la africa ina sapot uvivu/kutokujishuhulisha/kuishi natural na kutohitaj sana technolojia

Wenzetu ambao walitangulia mfano wazungu wao bila kujishuhulisha huwez survive .utakufa kwa barid,na nchi zao kipind cha karibia miez 8 ya mwaka hakisurpot kilimo vzur.so walihitaj akil ya ziada kusurvive.

Pia kutokana na hali hzo mbaya za rutuba na hal ya hewa ndomana wameuana sana ,kutgombea ardhi na unafuu wa barid..vita ikafanya wawe na discipline na kuogopana na kuamua kuwa civilized.
Sis hal ya hewa nzur hujuhitaj mbolea..species zote za wanyama na matunda na mboga ziko africa sababu hal ya hewa ina surpot hayo...unaweza usiwe na nyumba na ukalala porin mwaka mzima..ulaya na kwengne huwez barid ltakuua..so wenzetu akil zilichaj mapema...na hapo ndipo wakatupiga gap..

From there wakaanza tafuta maeneo extra ya kilimo etc na maliasili ndio wakatukuta sie huku..kwa style hiyo waliambukiza uchakarikaj maeneo mengi kadiri unavyoshuka toka north kuja south na ndomana ukichek raman ya dunia utajir mkubwa unaanzia north kuja chin..kadir unavyokuja kwenye ikweta ndio umaskin unaongezeka..

Ni jiografia tu kaka.
Kweli wewe ni ndonger .. unashighulisha ndonga sana kaka mkubwa.. mazingira yametufanya tubweteke
 
Wewe ndo mfano wa Waafrica ambayo ni makopo.....mpaka leo unaamini Baraka kwenye maendeleo, serious?.....hayo ma NGO's unayoyaongelea unajua kazi yake?.. au mpaka tukuambie kuwa ni madili haramu ya watu,?.... waafrica mutaendelea kuwa wamwisho kama mutaendelea na maimani ya kipuuzi kuhusu maendeleo....
Alooo punguza spidi ya mdomo wako maaana kila mmoja anasema yakwake ka naaamini baraka acha niamini kinakuudhi nini haswa.? Na wewe ka unaamini katika kupambana kupata maendeleo pambana tu. Me hayo ma NGO's yakiwa na secret agenda zao hazinihusu na focus katika positive ndio maaana nikatoa mfano huo. So na wewe jitahidi kuja na hoja yako kueleza kinacho mfanya muafrika kutoendelea na sio kuja kuparamia koment za watu kwa mihemko yako. Sipendi ligi za kipuuzi zisizo na maana.
 
Alooo punguza spidi ya mdomo wako maaana kila mmoja anasema yakwake ka naaamini baraka acha niamini kinakuudhi nini haswa.? Na wewe ka unaamini katika kupambana kupata maendeleo pambana tu. Me hayo ma NGO's yakiwa na secret agenda zao hazinihusu na focus katika positive ndio maaana nikatoa mfano huo. So na wewe jitahidi kuja na hoja yako kueleza kinacho mfanya muafrika kutoendelea na sio kuja kuparamia koment za watu kwa mihemko yako. Sipendi ligi za kipuuzi zisizo na maana.
huo ndo upumbavu wako mwafrika original,...hongera sana mpuuzi ambaye unaamini Baraka kwenye maendeleo na sio kujittuma,..na misaada ya NGO'S za wazungu ni roho nzuri...umejaza kinyesi kichwani....
 
huo ndo upumbavu wako mwafrika original,...hongera sana mpuuzi ambaye unaamini Baraka kwenye maendeleo na sio kujittuma,..na misaada ya NGO'S za wazungu ni roho nzuri...umejaza kinyesi kichwani...
Huna hoja naona we umeona NGO's tu. Ka unashida nazo n wewe kosoa hoja yangu na si vipengele. Idiot
 
Ngoz nyeus hata mifumo ya kurithishana mali toka kizazi na kizazi ni shida tupu hapo wenzetu wametuacha mbali wanarithishana mpk tafiti...kingine mifumo yetu angalia mambo tunayofanya kila siku kuanzia ktk ngaz ya kifamilia ,kijamii mf mazungumzo gan tunapenda kuongelea
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Dah umeuliza swali gumu ambalo majibu yake yanaweza yasikubalike hata ueleze vipi. Kuna wasomi kadhaa ambao wametoa nadharia zao kuhusu why baadhi wapo mbele wakati wengine wameshindwa (wasome hawa: Adam Smith (1723–90) vs Karl Marx (18181883).
Ila kuna fact zifuatazo kuhusu maendeleo:
Chimbuko la binadamu ni Africa:
Kuna zama Wajapan walikuwa juu zaid na walitawala kiuchumi na kidola sehemu kubwa ya Far east ikiwemo china;
Kuna zama wachina walikuwa juu;
Kuna zama egypt ilisumbua:
Kuna zama warumi walisumbua:
Kuna zama Waingereza waliongoza;
Kuna zama wamarekani wakawa juu:
Na sasa kijiti kinagombewa kati ya wachina na Wamarekani:
Hakuna kipindi ambacho Sub Sahara Afrika imewahi kuwa juu.

Kupitia mifano hii, unaweza ona hakuna mtu ambaye anaweza kuwa juu wakati wote, kuna kupanda, boom, na kuporomoka. Tafiti nyingi zinaonyesha mtu, jamii au nchi inayomiliki maarifa mengi zaidi ndio uwa na nafasi kubwa ya kuwa juu ya wengine kimaendeleo. Maarifa utoa mwanya wa mtu moja kuvuna ziada kutoka kwa mwingine na baadaye kuwa juu zaidi. Note: Maarifa siyo akili. unweza kuwa unaakili lakini huna maarifa. Akili unazaliwa nazo (Gift kutoka kwa mungu) wakati maarifa utafutwa. Binadamu bila kujari bara analotokea tuna uwezo wa akili unaoshabihiana ingawa baadhi yetu katika kila jamii ni gifted zaidi kiakili, ila tuna tufauti kubwa sana ya maarifa. Afrika mara zote ni ya mwisho kwa maarifa. Hivyo, Afrika ipo nyuma kwa sababu hatuna maarifa, lakini baya zaidi hatuna mikakati ya kupata maarifa.
 
Na akitokea mtu mwenye kufikiri zaidi miongoni mwetu tunamuona sio mwezetu yaani tuna matatizo makubwa kwakweli. Hivi sasa kuna mtaala mpya unataka kuanza kufundishwa mashuleni huenda ukatusaidia kubadili fikra zetu japo nao unaopingwa tena na baadhi wasomi.
 
Kabla ya kuja mkoloni wewe muafrica ulikuwa na nini cha maana zaidi ya kulala kwenye mapango na kitafuna mizizi....kusoma na kuandika kakufundisha mtu mweupe wewe ukuwa na maarifa yoyote hata yaekuunda stuli na meza ulikuwa unakunya porini unajipangusa na majani kama ngedere
Kabla ya kukuuzia alikufundisha kusoma.
 
Dunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
leo umeongea point sana
 
Back
Top Bottom