Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Zama tu. Hata zamani wazungu walikuwa wanajiuliza hivi sisi watu weupe tuna shida gani.
Zama ? Mbona hizo zama zisiwe kwa wachina ambao always wao ni great ni kipindi kifupi sana wamezama katika unyonge na sifikiri kama watarudia makosa yao tena.

Hao wazungu ni wakubwa kwa maelfu ya miaka toka walipo shika usukuani hawajaachia.

Sisi tumewekwa utumwani na kwenye ukoloni kwa zaidi ya miaka 500 sisi ni wanyonge kwa miaka mingi sana kuliko jamii yoyote ile na hatuoneshi dalili ya kutoka katika unyonge huo.

Wewe leo hii nikuulize ipi ni jamii rahisi zaidi kuikoloni na kuiweka utumwani kwa sasa kati ya Jamii yetu na wajapan, wachina na waasia wengine ?
 
Ni hivi....
Sisi watu weusi tumezidi kulogana, yaaani aonekane mtu kainuka kidogo tu watamloga, mtoto wa flani saivi yupo juu watamloga,mahospitali mtoto kazaliwa na nyota nzuri wachawi washaiona wanamuua
Maendeleo tutayaonea wapi, tutakua saangapi?
Kwa wenzetu izo pigo za wivu za kulogana logana hamna asilimia kubwa Afrika imeshamiri.
Kingine sisi roho ya kutoa hatuna baraka utazipatia wapi? tuna jilimbikizia mali tu kusaidia wasio na uwezo hatuwezi na nikitu kigumu mno kweli.
Ila angalia wenzetu wakifanikiwa utaona wanavyo saidia watu angalia ma NGO'S yalivyojaa huku Afrika kusaidia watu wenye maisha duni.
We apo unategeme uchumi wa huyu mtu utadumaa? ata kama anamaovu yake lakini atazidi kufanikiwa tu
Ipo siri kubwa katika utoaji na kwetu sisi waafrika iyo silka hatuna.
Wewe ndo mfano wa Waafrica ambayo ni makopo.....mpaka leo unaamini Baraka kwenye maendeleo, serious?.....hayo ma NGO's unayoyaongelea unajua kazi yake?.. au mpaka tukuambie kuwa ni madili haramu ya watu,?.... waafrica mutaendelea kuwa wamwisho kama mutaendelea na maimani ya kipuuzi kuhusu maendeleo....
 
Zama ? Mbona hizo zama zisiwe kwa wachina ambao always wao ni great ni kipindi kifupi sana wamezama katika unyonge na sifikiri kama watarudia makosa yao tena.

Hao wazungu ni wakubwa kwa maelfu ya miaka toka walipo shika usukuani hawajaachia.

Sisi tumewekwa utumwani na kwenye ukoloni kwa zaidi ya miaka 500 sisi ni wanyonge kwa miaka mingi sana kuliko jamii yoyote ile na hatuoneshi dalili ya kutoka katika unyonge huo.

Wewe leo hii nikuulize ipi ni jamii rahisi zaidi kuikoloni na kuiweka utumwani kwa sasa kati ya Jamii yetu na wajapan, wachina na waasia wengine ?
Zama tu. Watu weusi toka wanafuga wanyama kwenye jangwa la Sahara, hadi kuanza kujenga mapiramidi na baadaye kuja kuanguka walikuwa juu zaidi ya miaka 2,000. Hizi ni zama tu.
 
Zama tu. Watu weusi toka wanafuga wanyama kwenye jangwa la Sahara, hadi kuanza kujenga mapiramidi na baadaye kuja kuanguka walikuwa juu zaidi ya miaka 2,000. Hizi ni zama tu.
Na future unaiona hiyo ya zama zetu ?
 
lakini alichoandika ni ukweli mtupu....mtu mweusi ni kiumbe cha ajabu
Cha ajabu sana.
Nakazia.
Halafu akienda Ulaya kwa Watu weupe akiitwa Mtu Mweusi anasema amebaguliwa.

Huyu ndio wa kuweza kuiletea maendeleo jamii yake kama atapewa Madaraka kweli.

Mwenyewe hajitaki atamtaka mtu mwingine?
Ndio maana Barabara ya Mwendokasi fulani haijafunguliwa hadi hii Leo.
Eti Mbovu,
ilitengenezwaje?
Mtengenezaji Yuko wapi?
Alipewaje Tenda.

Mtu anataka kuuza utaifa wake kwa zawadi ya Pipi tu na Bagia.
 
Future ipo nzuri sana. Inahitaji tu watu wachache wenye akili za kuweza kujitoa kwenye makucha ya ubeberu(Imperialism)
Nachoona ni Chinese future na Asia overall not Africa walio serious unawaona tu wanachofanya kwa sasa.

Nawe una macho naamini una shuhudia huhitaji kusimuliwa
 
Nachoona ni Chinese future na Asia overall not Africa walio serious unawaona tu wanachofanya kwa sasa.

Nawe una macho naamini una shuhudia huhitaji kusimuliwa
Asia ni kama wameishapeak. Gharama za uzalishaji kwao zimeisha kuwa kubwa, population growth imeachwa mbali na ile ya Afrika. Future ipo huku kwa watu weusi. Inahitaji tu kiongozi anayeelewa dunia inavyoenda.
 
Dunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
Watu weusi ni shida hapa duniani. Wacheche miongoni mwetu tuna ubinadam ila wengi sana wanaharibu hii dunia na walipaswa kufutika kabisa.
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Huoni hata mitume walikua weupe, [emoji23] hahahaha
 
Mtu ni Roho, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Mtu Hana RANGI, RANGI Iko kwenye Mwili,

Ingekuwa RANGI ni tatizo, mzungu asingewekewa Damu ya black na kusurvive.

Tatua matatizo Yako, usisingizie RANGI Yako au uafrika wako.
Wewe binadamu anawekewa jicho la kondoo, moyo wa nguruwe. Hilo la kuwekewa damu si chochote
 
Sidhani kama tutakaa tuje kuwa kama nchi za wenzetu walioendela. Maana Sisi ngozi nyeusi ni wabinafsi Sana. Hatuwajibiki Kwa namna yeyote Ile.

Ili tuwe kama wenzetu walioendelea inabidi watu wengi Sana wafe. Magereza inabidi zifurike wafungwa wa ulaji rushwa na wazembe. Maana kinachotukwamisha Sisi ni Uzembe na Rushwa. Na Kiongozi yeyote akitokea akawa serious katika kuzibiti Uzembe na Rushwa atachukiwa vibaya na atafanyiwa fitna ashindwe kutawala.
Nchi za wenzetu walioendelea hamna kuendekeza Uzembe wala Rushwa. Mtu akikosea anawajibika. Hamna cha kubebana kindugu,kidini,kijinsia wala kichama. Ukiboronga ni either ujiondoe ama uondolewe.
 
Ukiona vyoo vya udom vilivyo na watumiaji wake ni wasomi Utapata jibu
 
Asia ni kama wameishapeak. Gharama za uzalishaji kwao zimeisha kuwa kubwa, population growth imeachwa mbali na ile ya Afrika. Future ipo huku kwa watu weusi. Inahitaji tu kiongozi anayeelewa dunia inavyoenda.
Asia ipi unayo iongelea hapa

Teknolojia, population growth, Education, Good policies na vitu vingi tupo nyuma ya Asia mbali kabisa
 
Kwauchunguzi wangu mchungu nikwamba tunalaana ndomana tukawa watumwa kwa wenzetu na mpakasasa tu watumwa sema tu nilevel tofautii. Hatujawa watumwa Kwa bahati mbaya mpaka sasa tunategemea karibu kilakitu chamsingi toka kwa hao weupe... mpaka dini niwao wametuletea. Tuombe LAANA toka kwa mababu itutoke kusudi tuwehuru
 
Asia ipi unayo iongelea hapa

Teknolojia, population growth, Education, Good policies na vitu vingi tupo nyuma ya Asia mbali kabisa
Population growth ya Afrika ni zaidi ya 50 percent kwa miaka kumi iliyopita. Asia ni kama 20. Pia gharama za uzalishaji Asia zimekuwa sana, haiwezi kuendelea tena kuwa kiwanda cha dunia. Kwenye sasa ni potential ni Afrika. Yanahitajika mambo kidogo tu na kiongozi mwenye maono. Tukiwekeza kwenye chuma na umeme basi tumetoboa.
Haya mambo hayana ujanja wala akili, ni zama tu.
 
Population growth ya Afrika ni zaidi ya 50 percent kwa miaka kumi iliyopita. Asia ni kama 20. Pia gharama za uzalishaji Asia zimekuwa sana, haiwezi kuendelea tena kuwa kiwanda cha dunia. Kwenye sasa ni potential ni Afrika. Yanahitajika mambo kidogo tu na kiongozi mwenye maono. Tukiwekeza kwenye chuma na umeme basi tumetoboa.
Haya mambo hayana ujanja wala akili, ni zama tu.
Tuki, tuki, tuki, kila siku ni tuki, tuki unafikiri dunia ina tusubiri ?
 
Wanafunzi wa kitivo cha uhandisi chuo kikuu tajwa kongwe UDSM kwa kushirikiana na halmashauri ya Ubungo TAMISEMI wangeweza kutumia kodi za wananchi vizuri na wanafunzi wa UDSM kujifunza kwa vitendo kujenga kingo hatimaye majina yao kuingia ktk rekodi kumbukizi tukuka kuwa elimu imewezesha kutatua changamoto katika jamii .

20 January 2024
Dar es Salaam, Tanzania

Wananchi na serikali zinahangaika kwa kukosa maarifa madogo kabisa


View: https://m.youtube.com/watch?v=e9VyYiimYb4
Eneo la Mbezi Tangi Bovu kitongoji cha majumba ya kifahari mto Mbezi unazidi kula kingo za kamto hako na kutishia makaazi ya watu bila ufumbuzi rahisi kupatikana kutoka kwa wananchi na viongozi wao wa CCM na serikali zake ...
 
Mimi huwa naumia sana kuona hivi jinsi sisi tulivyo.

Nitikatazama hawa wanao onekana wenzetu jinsi waliyo katika mambo yao na walipo huwa naumizwa sana na hali zetu.

Sometimes huwa nahisi hivi sisi tuna laaana tumelaanika huko miaka ya nyuma au laaah ! Maana mimi siielewi kabisa ndugu zangu ni kipi kinacho tusibu sisi.


Je, mfumo wa kitumwa sisi ndio tuna uweza kutumikishwa kama watumwa ndio njia inayo tufaa sisi kuliko njia nyingine zote ?
Mimi naona kuna vitu wazungu wamepitia mpaka wamefikia hapo walipo. Ili na sisi tufike kama wao inabidi turudi nyuma na tujue walitumia mbinu gani na sisi tuzitumie. Mfano kidogo Ujerumani watu wengi hawaendi kanisani lakini kila kijiji na mtaa una Kanisa. Hii inaonesha miaka mingi nyuma walikuwa ni watu wa dini sana. Lakini kwa sasa hawaipi dini kipaumbele. Tusikazane kuiga wazungu wanachokifanya sasa hivi. Hata ukifuatilia timu za mpira za EPL zilikuwa timu za wafanyakazi wa tasisi au Mashirika mbali mbali. Afrika hatuna hadhi ya kuwekeza katika michezo, wala burudani. Tunatakiwa tutengeneze jamii ya wanataaluma. Na hivi vitu vingine viwe vya ziada. Ukifuatilia nchi za Ulaya kila mtu lazima awe na bima ya afya na wanajali utu wa kila mtu haijalishi nchi,kabila,dini n.k. Ili tufanikiwe lazima turudi nyuma walichofanya wazungu halafu na sisi tufanye hayo. Wazungu wanajadili kuhusu kuruhusu Bhangi, Ushoga, Michezo na Burudani kwa sababu uchumi wao unaruhusu. Ukifuatilia kuhusu Ujerumani baada ya vita ya pili ya dunia. Utagundua kipindi hiko ilikuwa kazi kazi. Hakuna mambo ya mpira muziki sijui cinema ni viwanda na kuboresha hifadhi ya jamii.
 
Back
Top Bottom