Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Watu weusi wamefanya mambo makubwa katika jamii ya mwanadamu. Ukumbuke kufanya na kupromotiwa kuwa umefanya mambo makubwa ni mambo mawili tofauti.

Katika teknolojia ya leo, ukichunguza katika key players usishange kukutana na ngozi nyeusi.

Huko NASA kuna big brains ambazo ni ngozi nyeusi, inasemekana wakati dunia inapambana na vyombo kutoka nje ya dunia kwa mafanikio kuna blacks tena wanawake walikuwa key players.

Kuna big brains kutoka Africa katika vyuo vikubwa duniani na nina reference ya mmoja ambaye ametoka huku kwetu ila sasa Marekani nadhani imempa uraia yupo huko kwenye maswala ya sayansi anapambana.

Wapo watu weusi kwenye ubunifu wa Magari, kwenye masuala makubwa kama nuclear yaani ngozi nyeusi ipo kila sehemu isipokuwa kwenye nchi zao.

Angalia kwenye soka, vilabu vingi vyenye mafanikio vina mtu mweusi anazipigania ila wakirudi kwenye timu za taifa hata nusu fainali hatufiki.

NB: CHUKULIA NGOZI NYEUSI KAMA WACHAGA/WAKINGA. WANAPAMBANA KUJENGA MIJI HUKO NJE HASWA DAR ILA KWAO PA KAWAIDA SANA.
Nafikiri nchi za watu weusi unazifahamu zilivyo ukianza na nchi yako sifikiri kama kuna utetezi wowote sisi tuna hitaji hata utetezi wa kutawaliwa hao wenzetu nao walitawaliwa lakini wapo wapi na sisi tupo wapi miaka yote ?
 
China alikuwa na chumi kubwa sana dunia na kumiliki biashara sehemu kubwa ya dunia kipindi cha Tang dynasty, Song , Han hizo ni dynasties za haraka nazo zikumbuka .

China imecollapse chini ya Qing dynasty so China sasa ina bounce back kurudi kwenye level zake.

Fikra za mchina na mzungu ni tofauti katika dhana ya kutawala na ndio maana China na ukubwa wake wote aliokuwa nao kale hakuona umuhimu wa yeye kwenda duniani kuzunguka kumiliki makoloni bali aliona umuhimu wa kufanya biashara na ndio hayo masuala ya silk road.

Wachina wanafikra za tofauti sana na hata leo wakiitwaa dunia kiuchumi tena haitakuwa jambo jepesi wao kuact kama wafanyavyo wazungu kuhusu siasa za kidunia na muelekeo wake kwa kujihusisha na migogoro mbalimbali na siasa za mataifa mbalimbali.

Vile vile China alivyotenda kabla ndivyo hivyo hivyo atakavyo ushikiria uchumi wa dunia kwa miaka ijayao hii foundation ya culture isiyo badilishwa kirahisi.

Dunia sio lazima uitawale kisiasa tu hata kiuchumi ni silaha muhimu pia ya kuitawala duniani na ndipo huko wachina wanapo jizatiti siku zote toka kale usitegemee sana wao kubadilika.
Ninachokwambia ni kwamba, Ulaya na Marekani wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kutokuwa na maadili, kwa kufanya utumwa na ukoloni. Kiasi mpaka wakampita Mchina aliyewatangulia sana kwenye teknolojia na biashara.

Na wewe unaniambia Mchina alitangulia kwenye biashara.

Kimsingi umekubali kwamba licha ya Mchina kutangulia, Ulaya na Marekani wamempita liuchumi.

Sasa swali kwako.

Ulaya na Marekani wamempitaje Mchina wakati yeye Mchina aliwatangulia?

Huoni hapo ndipo suala zima la maadili na utamaduni linapokuja?
 
Unaandika kama vike "watu weusi" wa Marekani wameachiwa tu waendelee wanavyotaka.

"Watu weusi" wa Marekani wana historia ndefu iliyo complicated. Naona mara nyingi kuwalaumu bila nuance ni "blaming the victim".

Kuna mfumo ulikaa rasmi kukandamiza watu weusi wowote watakaoanza kuendelea pamoja kama kundi la watu Marekani

Kuna "watu weusi" waligundua mafuta huko Tulsa Oklahoma, wazungu wabaguzi wakaja kuwawekea nongwa na kuwaharibia biashara zao.

Sasa hao naonutasema ni wa ovyo?

Kuna kina Martin Luther King na Malcolm X walikuwa wanapigania haki za watu weusi, wakaukiwa. Hao nao utasema ni watu wa ovyo?

Sisemi kwamba hakuna "watu weusi" wa ovyo, hao wapo kila sehemu. Tatizo tukija kwa weusi tuna generalize sana.

Soma historia ya Tulsa race massacre.

Sawa
 
Dunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
Huku ni kukata tamaa sana mkuu! Mtoa hoja nakitu cha kufikirisha
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Baada ya kutawaliwa na tukawa tunaongozwa tukawa hatujituma wala kufikiria tunasubiri mpaka leo tuongozwe kwa kila jambo.

Hii inafanyika mpaka maofisini yani unaweza kuta mtu ana ujuzi wa hali ya juu ila hawezi kuutekeleza kwa sababu kiongozi kakataa

Halafu tukaaminishwa kuwa kila kitu kizuri kinatoka kwa watu waupe na sisi tunabaki kuwa watumiaji tu

Ni hayo tu niwatakie sabato njema
 
Baada ya kutawaliwa na tukawa tunaongozwa tukawa hatujituma wala kufikiria tunasubiri mpaka leo tuongozwe kwa kila jambo.

Hii inafanyika mpaka maofisini yani unaweza kuta mtu ana ujuzi wa hali ya juu ila hawezi kuutekeleza kwa sababu kiongozi kakataa

Halafu tukaaminishwa kuwa kila kitu kizuri kinatoka kwa watu waupe na sisi tunabaki kuwa watumiaji tu

Ni hayo tu niwatakie sabato njema
Ndio maana Mbowe yupo kwenye ziara ya Balozi za Nchi za Ulaya Magharibi kupewa muongozo.Hatujiamini kabisa.
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
AKILI NDOGO MKUU

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri nchi za watu weusi unazifahamu zilivyo ukianza na nchi yako sifikiri kama kuna utetezi wowote sisi tuna hitaji hata utetezi wa kutawaliwa hao wenzetu nao walitawaliwa lakini wapo wapi na sisi tupo wapi miaka yote ?
Ndo maana nikasema kama unahitaji kuwa sehemu ya watu waliofanya mambo muhimu duniani njia rahisi ni kutoka na kutafuta exposure huko nje. Hapa ndani ni ngumu kidogo. Kupokea malipo tu kwa mfumo wa paypal na mingineyo si rahisi sembuse mifumo complicated.
 
Mambo ni mengi ila kwa kuweka kifupi katika mfumo ya nukta ni :

  • Ulemavu wa kushindwa kufikiri, ulemavu wa kuhoji,
  • ulemavu wa kutafuta suluhisho la jambo,
  • ulemavu wa kutegemea hisani / fadhila,
  • ulemavu wa kudhani matatizo yetu yatatatuliwa na wageni kutoka mabara ulaya, Mashariki ya kati, Marekani ya Kaskazini na Mashariki ya Mbali
  • na mwisho ulemavu wa kulilia kupendwa na wageni wa mabara mageni hapo juu.
  • Tutaweza kukubali maandamano kupinga uonevu, ukandamizaji na anasa za watawala
  • Sheria na katiba sahihi
  • N.k
Tukiweza kuondokana na upetevu huo hapo juu basi tutaweza kujenga reli wenyewe na miundo-mbinu mingine, tunaweza kuzuia mito ya maji kula kingo zake hivyo nyumba zetu zisibimoke, mipango miji / makazi itawezekana badala ya vichochoro na miji ya mabanda, tutauza magari yote ya viongozi wa taasisi za umma kama ma V8 yote ya vigogo kununua vifaa-tiba na kuanzia mfuko wa bima ya afya .....


Picha hapa chini kingo za mto mkubwa wa usiokauka mto Siene katika jiji la Paris unaopitisha meli za cruise
View attachment 2876704

Picha hapa chini za kingo za mto mdogo tena wa msimu wa mto Gide kitongoji cha Ubungo jijini Dar es Salaam

View attachment 2876706
Wanafunzi wa kitivo cha uhandisi chuo kikuu tajwa kongwe UDSM kwa kushirikiana na halmashauri ya Ubungo TAMISEMI wangeweza kutumia kodi za wananchi vizuri na wanafunzi wa UDSM kujifunza kwa vitendo kujenga kingo hatimaye majina yao kuingia ktk rekodi kumbukizi tukuka kuwa elimu imewezesha kutatua changamoto katika jamii .
Madini matupu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Ukiamini sana Uchawi na mambo ya miujiza halafu eti tupige hatua ya kuwafikia Wajapan 🤔
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Misingi mkuu, tumemsahau Mungu, tumerithi kumtumikia Shetani kwa mababu zetu hapa ndo tatizo lilipo.
 
Mtu ni Roho, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Mtu Hana RANGI, RANGI Iko kwenye Mwili,

Ingekuwa RANGI ni tatizo, mzungu asingewekewa Damu ya black na kusurvive.

Tatua matatizo Yako, usisingizie RANGI Yako au uafrika w
 
Ujinga ujinga tu. Kuna watanzania wamefanya kazi kwenye taasisi za kimataifa zenye gunduzi muhimu duniani wewe upo hapo unasubiri ccm ikuwezeshe kufika mwezini? Toka huko nje tafuta exposure. Ulitaka ccm ikusaidie kufanya nini ili utambulike ujisikie kuwa wewe ni wa muhimu?
Watanzania wanaoishi abroad hakuna cha maana wanachofanya zaid ya kupuyanga hawana tofauti na wanaoisha hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom