Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Swali zuri umeuliza mkuu,binafsi nimebahatika kuishi na watu weupe kutoka Ulaya na sasa Uchina,kitu kikubwa nilichojifunza kutoka kwao kwanza wanazipenda nchi zao sana,wanahakikisha kila kitu bora kinapatikana kwao hata km wataishi mbali na kwao watachuma na kujenga kwao,pili wanapendana wao kwa wao pia wanahakikisha wanaboresha maisha ya jamii zao kwa sasa na miaka 50 ijayo,,,shida kubwa ya watu weusi ni Ujinga wa Fikra,,,Ujinga huu umekuwa ni kansa ya muda mrefu,kuanzia viongozi na mpaka watu wa kawaida,,mfano mdogo nchi yetu ya Tanzania kwa sasa ina wachambuzi wengi wa Soka kila pembe ya nchi kuliko wachambuzi wa uchumi na fursa zilizopo ambazo ni za kuvuna tu,hatujui jinsi ya kujikwamua na umaskini wa watu wetu,uwezo wetu wa kupambanua mambo kwa upana mkubwa upo chini sana na matokeo yake tumekuwa watu wa kudharaulika hata na watu weusi wenzetu kutoka nchi za magharibi kama Naijeria au hata Kenya tu
 
Kitu kikubwa ni kila mtu mweusi kujaribu kutimiza wajibu wake kwa kusaidia kuboresha maisha yako,jirani yako,jamii inayokuzunguka na mwisho taifa lako,,,mimi binafsi nimeshaanza na vijana wenzangu katika sekta ya madini na tunamshunguru Mungu mwanga unaonekana,pengine baada ya miezi 6 tutaweza kuwafikia vijana wengine hata 100,kikubwa tukue pamoja katika uchumi kama watu weusi na tuanze kuvuna rasilimali zetu ambazo Mungu alitupa
 
Si kwamba changamoto zetu wenzetu hawana la hasha. Ni vile sisi bado hatujajitambua kama taifa teule la watu weusi.

Na ona tulivyo na bahati kuwa na bara letu kubwa lenye resources za kutosha kufanya maendeleo.


Tatizo moja tu tulilo nalo kwasasa, wanawake weusi wakishirikiana na watu weupe wanatuharibia na kuturudisha nyuma. [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Poor intelligence thinking!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ya kaskazini yamechangiwa na mfumo wa dini ya kiislam.Mfumo wa kiislam mtawala na mtawaliwa wote ni sawa mbele ya dini thus huko hakuna ufisadi,ufisadi ndio kitu kikubwa kiletacho umasikini kwa weusi.Pili yapo jirani na ulaya wao ulaya mfano Spain,Italy dk sifuri so harufu ya maendeleo inawapitia.
Kwetu weusi still maisha Bado ni rahisi asilimia kubwa unapata mahitaji free from nature
 
Mimi huwa naumia sana kuona hivi jinsi sisi tulivyo.

Nitikatazama hawa wanao onekana wenzetu jinsi waliyo katika mambo yao na walipo huwa naumizwa sana na hali zetu.

Sometimes huwa nahisi hivi sisi tuna laaana tumelaanika huko miaka ya nyuma au laaah ! Maana mimi siielewi kabisa ndugu zangu ni kipi kinacho tusibu sisi.


Je, mfumo wa kitumwa sisi ndio tuna uweza kutumikishwa kama watumwa ndio njia inayo tufaa sisi kuliko njia nyingine zote ?
Maendeleo sio utamaduni wetu
 
Vita uchumi inahitaji umwagaji wa Damu, mapambano yenyew moyo wa dhati na wa kujitolea bila kukata tamaa. Sasa Bara letu hamna hilo.

Tatizo kubwa linaloisumbua Africa ni Ubinafsi na Kwa hakika hii Roho ya Ubinafsi (selfish )siku ikiondoka, Africa tutafanikiwa na tutapiga hatua kubwa sana
Mbona damu inamwagwa sana na bado hollah
 
Siasa maji taka,ubinafs kwa tulio wapa dhamana,na wanachi kutokujielewa wanaamka wachache kuwaamsha wengi kufanyiwa zengwe na hata kuuwa,dini na mgawanyiko baina yetu,afrika siasa maji taka ndio ttzo kubwa tunapanga kitaalamu ila tuna tekeleza kisiasa.

Ukipata nafasi ondoka kwenye hizi shito hole countries kama sio wewe hakikisha kizazi chako kinatoka huku.
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Tatizo lenu ni kwamba weusi wa ngozi mmeuhamishia akilini.
Matokeo yake ikitokea Mzungu kafanya jambo mnadai ni wazungu, hamuamini kuwa hata miingoni mwa wazungu wajinga ma wapumbavu wapo wengi sana. Pia miomgoni mwa wazungu werevu wapo.
Wao pia ni jamii pana inayoandwa na watu wa kila aina wenye interest tofauti lakini wanapotuzidi ni kwamba wanaunganishwa na sheria na mifumo na kila mtu anawajibika, atakae au asitake and hakuna aliye juu ya sheria. Huenda kwa wazungu sasa hivi kwao Uzungu siyo rangi au asili, bali ni Mfumo wa maisha, kiwango cha elimu, utendaji n.k bila kujali rangi, wala asili.

Kwa waafrika hali ni tofauti kabisa, kwanza hawajui watakacho, wanajidanganya kwamba kuwa Waafrika lazima muwaze sawa, lazima muwe na rangi sawa, lazima muwe mnaishi eneo fulani la kijiografia. Pia kuwa Mwafrika ni lazima uwe bingwa wa kulalamika na lazima uwe na uwezo wa kumlsumu Mzungu ndiyo kwao utakuwa Mwafrika uliyekamilika
 
Zama tu. Hata zamani wazungu walikuwa wanajiuliza hivi sisi watu weupe tuna shida gani.
 
Dunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
Hamna kitu Kama kuumbwa wajinga...wote ni species moja ..acha uwongo
 
Back
Top Bottom