Ni muhimu sasa kuwa na muongozo wa msafara wa Rais pamoja na gari maalumu lenye hadhi na cheo maalum

Magari maana yake ni usafiri tu sio zaidi ya hivyo ! Mengine ni mbwembwe tu ambazo hazina faida yeyote !!
 
Raisi ni mwajiriwa wa wananchi unataka awe special Ili iweje. Wenzetu uongozi ni wito kwetu uongozi ni ajira. Thus hawana ubunifu unajiita vipi kiongozi huku watu wako wanachakaa kwa ufukara, na usingizi unapata kabisa kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…