GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama mwana Simba SC ni goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila kiuanamichezo na hasa nikiwa kama mdau wa soka GENTAMYCINE, nisiwe mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni goli zuri hakuna mfano. Kwani alijiseti vyema kabisa na kunipigia 'muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia mayai ndege.
Sijui Simba SC yangu (hasa Mwekezaji Mo Dewji) alishindwa nini na wapi kumpata huyu kiungo mshambuliaji raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K? Kwani kwa kipaji chake na uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra, nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.
Hongereni Yanga SC kwa kuwa naye.
Sijui Simba SC yangu (hasa Mwekezaji Mo Dewji) alishindwa nini na wapi kumpata huyu kiungo mshambuliaji raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K? Kwani kwa kipaji chake na uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra, nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.
Hongereni Yanga SC kwa kuwa naye.