Ni mwana Simba SC mwenye roho mbaya na ya kichawi ndiyo hatolifurahia 'Classic Goal' la Stephane Aziz Ki

Ni mwana Simba SC mwenye roho mbaya na ya kichawi ndiyo hatolifurahia 'Classic Goal' la Stephane Aziz Ki

Tunaongelea mechi iliyotoka kuchezwa, mlizidi nini? Kama ni historia mlishawahi kubamizwa 5G na misimu ya karibuni 4G. Timu ya maana haiwezi kujivunia ubingwa wa aina hii ya ligi huku kimataifa ukivurunda. Yaani hamna tofauti na klabu bingwa ya ligi ya nchini Shelisheli.
Derby ijayo munaongoka na 11G🤸
 
kwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. Tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. Mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. Kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo
Kwani alitumwa kufanya nini uwanjani kama sio kufunga?

Makolo ni Makolo tu
 
Kama mwana Simba SC ni goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila kiuanamichezo na hasa nikiwa kama mdau wa soka GENTAMYCINE, nisiwe mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni goli zuri hakuna mfano. Kwani alijiseti vyema kabisa na kunipigia 'muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia mayai ndege.

Sijui Simba SC yangu (hasa Mwekezaji Mo Dewji) alishindwa nini na wapi kumpata huyu kiungo mshambuliaji raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K? Kwani kwa kipaji chake na uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra, nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.

Hongereni Yanga SC kwa kuwa naye.
Msimu ujao Ki anakuja Simba

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Nilipokuwa natizama huu Mpira Jana kuna Mtu nilikaa nae Jirani na kila mara nilikuwa nikimwambia kuwa Wachezaji wa Simba SC waepuke mno kucheza Faulo karibu na eneo la 18 yetu kwani wana Mpigaji mzuri Stephane Aziz K.

Unaweza usiniamini ila Mwenyezi Mungu Shabidi jana ilipotokea tu ile Faulo na kuona Mpigaji alikuwa ni Aziz K nilimwambia Jamaa ( Jirani ) kuwa Simba SC tunafungwa na Aziz K na kweli akatufunga na Jirani ( Jamaa ) Kunishangaa mno.

GENTAMYCINE nilianza Kumuogopa Stephane Aziz K baada ya Kumuona akiwa katika Klabu aliyotoka na Kugundua ni mzuri ( Mwamba ) mno wa kupiga Mipira ya Faulo na huwa ni Nadra sana Kukukosa hasa maeneo kama yale na ule Mguu wake wa Dhahabu ( Mashoto )

Ni Goli superb hata kama limeniuma.
Lile goli lilikuwa na kasi sana 100 kph, Manula angeicheza ile angeteguka nyonga
 
kwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. Tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. Mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. Kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo
Alionekana kwenye derby ya kabla ya hii ya jumapili. Mliona jinsi alivyokua akimgalagaza shabalala,mlimwona akitoa assist ya kikatili ya goli la pili la Mayele..nk
 
Kama mwana Simba SC ni goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila kiuanamichezo na hasa nikiwa kama mdau wa soka GENTAMYCINE, nisiwe mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni goli zuri hakuna mfano. Kwani alijiseti vyema kabisa na kunipigia 'muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia mayai ndege.

Sijui Simba SC yangu (hasa Mwekezaji Mo Dewji) alishindwa nini na wapi kumpata huyu kiungo mshambuliaji raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K? Kwani kwa kipaji chake na uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra, nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.

Hongereni Yanga SC kwa kuwa naye.
Ungekuwa radhi Chama akae benchi? Nabi mwenye anashindwa ampange nani namba 10 kati ya Ki na Fei.

Vv
 
Kwani uko uwanjani anacheza mwenyewe.kwani ukikubali kua jamaa ni mzuri unapungukiwa nini?.tupunguze husuda zisizokua na maana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Unaposema mchezaji mzuri lazima uwe na takwimu zinazombeba. tuambie ana magoli mangapi jumla mpaka sasa kweny caf champs qualificaton na league. pia nipe takwimu za assist.. ukinipa sitokuwa mnafikiki nitasema ni mzuri
 
Huna Akili na Heshimu maoni yangu hapa Jamiiforums sawa? GENTAMYCINE siyo tu ni Shabiki wa Simba SC ila pia ni Mwanamichezo hivyo hata kama nikiona upande wa Yanga SC kuna Jambo Jema au Mchezaji mzuri sitoacha Kupongeza na Kumpongeza sawa?

Una Roho Mbaya, Mswahili na Mshamba.
Nipe takwimu za assist.na magoli aliyofunga tangu aje yanga alafu na asssists. free kick za aina ile tangu aje yanga yeye ndio mpigaji na lile ndio goli lake la kwanza la free kick. unapenda sana kwenda na matukio wewe kama upepo
 
Mkuu kama unafatilia mpira ile haikuwa makusudi ndio maana refa aliiona lakini hakutoa kadi, nakuhakikishia chama hatopata adhabu yoyote
Kwa foul Ile Mtu amelala unakanyaga juu Bora refa angemuonyesha Kadi ya njano, lakini kumwacha kama Hakuna kilichotokea ni kumtafutia adhabu kubwa zaidi. Si Kila Kadi inatoka Kwa kosa la makusudi, hata bahati mbaya inaadhibiwa (reckless manner).
 
Tunaongelea mechi iliyotoka kuchezwa, mlizidi nini? Kama ni historia mlishawahi kubamizwa 5G na misimu ya karibuni 4G. Timu ya maana haiwezi kujivunia ubingwa wa aina hii ya ligi huku kimataifa ukivurunda. Yaani hamna tofauti na klabu bingwa ya ligi ya nchini Shelisheli.
Tuonyeshe huo ubingwa wa CAF mnaojivunia nao
 
Hali haitaki kulifurahia goli inamtaka mtu kulikubali.utafurahiaje kisu cha mbavu .
 
Back
Top Bottom