ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Aziz Ki mmoja ni sawa na Chama watanokwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. Tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. Mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. Kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo