Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Na kujipendekezaKusifia goli la Aziz bila kusifia assist ya chama ni UPOPOMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kujipendekezaKusifia goli la Aziz bila kusifia assist ya chama ni UPOPOMA
Nilipokuwa natizama huu Mpira Jana kuna Mtu nilikaa nae Jirani na kila mara nilikuwa nikimwambia kuwa Wachezaji wa Simba SC waepuke mno kucheza Faulo karibu na eneo la 18 yetu kwani wana Mpigaji mzuri Stephane Aziz K.Hivi Simba waliweka hata ukuta pale au walimuachia Ki ajimwambafai tu? Hii game tulikuwa tunafunga mahesabu kipindi cha kwanza.
Nitashangaa lisipoteuliwa hivyo Mkuu.Bonge la bao litakua bao bora la mwezi
Huna Akili na Heshimu maoni yangu hapa Jamiiforums sawa? GENTAMYCINE siyo tu ni Shabiki wa Simba SC ila pia ni Mwanamichezo hivyo hata kama nikiona upande wa Yanga SC kuna Jambo Jema au Mchezaji mzuri sitoacha Kupongeza na Kumpongeza sawa?kwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. Tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. Mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. Kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo
Kwani hakuna Ndege ambazo huwa zinaanguka kutokea Angani? Basi hata Jana Ndege ya Air Manula iliangushwa Jangwani na Kombora jipya na Hatari la Aziz K.Hivi bado wataendelea kumuita air manula 😃 !
Heshima yako bro, hapo ndipo huwa nakubali kwenye ukweli unakuwa mkweli lile gori ni superb aseeKama mwana Simba SC ni Goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila Kiuanamichezo na hasa nikiwa kama Mdau wa Soka GENTAMYCINE nisiwe Mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni Goli zuri hakuna mfano kwani alijiseti vyema kabisa na Kunipigia 'Muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia Mayai Ndege.
Sijui Simba SC yangu (hasa Mwekezaji Mo Dewji) alishindwa nini na wapi kumpata huyu Kiungo Mshambuliaji Raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K kwani kwa Kipaji chake na Uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na Mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.
Hongereni Yanga SC kwa kuwa nae.
Kuivusha team kwenda group stage ni Jambo jingine na ubora wa mchezaji ni Jambo jingine.. mfano Salah ni bonge la player lakn ameahindwa kuivisha Egypt kwenda World cup, huu ni mfano mmoja wapokwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. Tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. Mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. Kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo
Asante Mkuu ila nachukiwa na wana Simba SC wengi Wapumbavu ( Mapopoma ) na Washamba ( Mambwiga ) ambao wao wanadhani Uanamichezo ni kuwa mwana Simba SC na Kuiichukia Yanga SC hata kama kuna mazuri au Mchezaji wao kafanya Jambo jema.Heshima yako bro, hapo ndipo huwa nakubali kwenye ukweli unakuwa mkweli lile gori ni superb asee
Sasa kwani hayo ya tobo hayajafungwa mengi? Si juzi Tu Mayele kafunga kwenye Ngao tena mbele ya mabeki watatu hivo hivo Inonga mpira unapita katikati ya miguuYamefungwa na wengi, nothing new. Kona ya Kichuya utasemaje?
Sasa🦁wenzio wanasema refa aliwapa yanga foul iliyowapa goli,wakiambiwa wanazidiwa uwezo wanabisha😂Kama mwana Simba SC ni goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila kiuanamichezo na hasa nikiwa kama mdau wa soka GENTAMYCINE, nisiwe mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni goli zuri hakuna mfano. Kwani alijiseti vyema kabisa na kunipigia 'muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia mayai ndege.
Sijui Simba SC yangu (hasa Mwekezaji Mo Dewji) alishindwa nini na wapi kumpata huyu kiungo mshambuliaji raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K? Kwani kwa kipaji chake na uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra, nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.
Hongereni Yanga SC kwa kuwa naye.
waliona mbali sana pale ko wakasharauHivi Simba waliweka hata ukuta pale au walimuachia Ki ajimwambafai tu? Hii game tulikuwa tunafunga mahesabu kipindi cha kwanza.
"Kuaziziwa" ndo nini mkuu?NBC wamesema kwa shuti hilo tu wanatoa mkopo kwa dhamana ya Hilo goli halijawai kufungwa Toka vyama vya siasa kuaziziwa
Huko aliko wenye akili wawili tu waliobakia wote hamnazo"Kuaziziwa" ndo nini mkuu?
Hivi inawezekana kweli humu Jf kuna watu wasiojua kusoma na kuandika vizuri?
Uwezo gani mliozidi uto? Kwanza haikuwa foul halali.Sasa🦁wenzio wanasema refa aliwapa yanga foul iliyowapa goli,wakiambiwa wanazidiwa uwezo wanabisha😂
Tofauti na assist Chama ulimuona wapi? Phiri nae ulimuona wapi?Goli zuri sana ila ukiondoa goli alikua kapotea uwanjani. Okrah had a good game ila ubinafsi umefanya aonekane wa kawaida tu mwehu yule.
Ule Mgoli wa Aziz Ki ni mwana ukome
Angalia rekodi ya derby 8 za karibuni zaidi😂.pia ndoto ya ubingwa wa ligi tunachukua miaka7 mfululizo🚶Uwezo gani mliozidi uto? Kwanza haikuwa foul halali.
Chama was everywhere Phiri jana alipoteaTofauti na assist Chama ulimuona wapi? Phiri nae ulimuona wapi?
Tunaongelea mechi iliyotoka kuchezwa, mlizidi nini? Kama ni historia mlishawahi kubamizwa 5G na misimu ya karibuni 4G. Timu ya maana haiwezi kujivunia ubingwa wa aina hii ya ligi huku kimataifa ukivurunda. Yaani hamna tofauti na klabu bingwa ya ligi ya nchini Shelisheli.Angalia rekodi ya derby 8 za karibuni zaidi😂.pia ndoto ya ubingwa wa ligi tunachukua miaka7 mfululizo🚶