GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Waliweka ukuta ila Aziz Ki alichagua upande ambao hauna ukuta yaan ule upande ambao MANULA aliamua kubakia.Hivi Simba waliweka hata ukuta pale au walimuachia Ki ajimwambafai tu? Hii game tulikuwa tunafunga mahesabu kipindi cha kwanza.
Hivi bado wataendelea kumuita air manula π !Kuna mtu kidogo afie uwanjani dadadeki View attachment 2395992
Huyu na mwenzake Kakolanya, kuna siku watakuja kuvunjika nyonga! Siyo kwa mateso haya!!Kuna mtu kidogo afie uwanjani dadadeki View attachment 2395992
Kwani asist kwenye ngao ya jamii nani alitoa kamq sio aziz ki, mchezaji muhimu uamua mechi muhimu inapotokea ajafanya ivyo inakuwa ni bahati mbaya na ndo mpira sio kila mara utaamka vizurikwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo
Mkuu kama unafatilia mpira ile haikuwa makusudi ndio maana refa aliiona lakini hakutoa kadi, nakuhakikishia chama hatopata adhabu yoyoteNinacho sisitiza ni Kamati ya saa sabininambili ichukue hatua za kinidhamu dhidi ya Chama Kwa kitendo chake Cha kumkanyaga Aucho Kwa maksudi akiwa Hana mpira na refarii hakuweza kumchukulia hatua yoyote ya kinidhamu.
Matumaini Bodi ya Ligi hawata liacha Ili lipite.
Watu wanapambana na kina Al ahly, Tp Mazembe na wengine wa jamii hizo ndio waje wafie kwa yanga? Maajabu hayaHuyu na mwenzake Kakolanya, kuna siku watakuja kuvunjika nyonga! Siyo kwa mateso haya!!