Derby ijayo munaongoka na 11G🤸Tunaongelea mechi iliyotoka kuchezwa, mlizidi nini? Kama ni historia mlishawahi kubamizwa 5G na misimu ya karibuni 4G. Timu ya maana haiwezi kujivunia ubingwa wa aina hii ya ligi huku kimataifa ukivurunda. Yaani hamna tofauti na klabu bingwa ya ligi ya nchini Shelisheli.
Lini mliwahi shinda Kwa tofauti ya goli zaidi ya 1? Mkishinda huwa ni kagoli kamoja . Sisi ndio huwa tunawabamiza 5G, 4G.Derby ijayo munaongoka na 11G🤸
Maaaaskini na ushirikina wake akatoka patupuKuna mtu kidogo afie uwanjani dadadeki View attachment 2395992
Kwani alitumwa kufanya nini uwanjani kama sio kufunga?kwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. Tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. Mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. Kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo
Lia basi tukuoneKusifia goli la Aziz bila kusifia assist ya chama ni UPOPOMA
Msimu ujao Ki anakuja SimbaKama mwana Simba SC ni goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila kiuanamichezo na hasa nikiwa kama mdau wa soka GENTAMYCINE, nisiwe mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni goli zuri hakuna mfano. Kwani alijiseti vyema kabisa na kunipigia 'muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia mayai ndege.
Sijui Simba SC yangu (hasa Mwekezaji Mo Dewji) alishindwa nini na wapi kumpata huyu kiungo mshambuliaji raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K? Kwani kwa kipaji chake na uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra, nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.
Hongereni Yanga SC kwa kuwa naye.
Lile goli lilikuwa na kasi sana 100 kph, Manula angeicheza ile angeteguka nyongaNilipokuwa natizama huu Mpira Jana kuna Mtu nilikaa nae Jirani na kila mara nilikuwa nikimwambia kuwa Wachezaji wa Simba SC waepuke mno kucheza Faulo karibu na eneo la 18 yetu kwani wana Mpigaji mzuri Stephane Aziz K.
Unaweza usiniamini ila Mwenyezi Mungu Shabidi jana ilipotokea tu ile Faulo na kuona Mpigaji alikuwa ni Aziz K nilimwambia Jamaa ( Jirani ) kuwa Simba SC tunafungwa na Aziz K na kweli akatufunga na Jirani ( Jamaa ) Kunishangaa mno.
GENTAMYCINE nilianza Kumuogopa Stephane Aziz K baada ya Kumuona akiwa katika Klabu aliyotoka na Kugundua ni mzuri ( Mwamba ) mno wa kupiga Mipira ya Faulo na huwa ni Nadra sana Kukukosa hasa maeneo kama yale na ule Mguu wake wa Dhahabu ( Mashoto )
Ni Goli superb hata kama limeniuma.
Alionekana kwenye derby ya kabla ya hii ya jumapili. Mliona jinsi alivyokua akimgalagaza shabalala,mlimwona akitoa assist ya kikatili ya goli la pili la Mayele..nkkwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. Tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. Mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. Kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo
Huyo ni utopoloSawa Utopolo umesikika.
Kila siku kuanzisha nyuzi za kuikandia Simba na bado wajiita mwana-simba!
Kazi Iko.....Angalia rekodi ya derby 8 za karibuni zaidi😂.pia ndoto ya ubingwa wa ligi tunachukua miaka7 mfululizo🚶
Ungekuwa radhi Chama akae benchi? Nabi mwenye anashindwa ampange nani namba 10 kati ya Ki na Fei.Kama mwana Simba SC ni goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila kiuanamichezo na hasa nikiwa kama mdau wa soka GENTAMYCINE, nisiwe mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni goli zuri hakuna mfano. Kwani alijiseti vyema kabisa na kunipigia 'muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia mayai ndege.
Sijui Simba SC yangu (hasa Mwekezaji Mo Dewji) alishindwa nini na wapi kumpata huyu kiungo mshambuliaji raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K? Kwani kwa kipaji chake na uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra, nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.
Hongereni Yanga SC kwa kuwa naye.
Unaposema mchezaji mzuri lazima uwe na takwimu zinazombeba. tuambie ana magoli mangapi jumla mpaka sasa kweny caf champs qualificaton na league. pia nipe takwimu za assist.. ukinipa sitokuwa mnafikiki nitasema ni mzuriKwani uko uwanjani anacheza mwenyewe.kwani ukikubali kua jamaa ni mzuri unapungukiwa nini?.tupunguze husuda zisizokua na maana.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nipe takwimu za assist.na magoli aliyofunga tangu aje yanga alafu na asssists. free kick za aina ile tangu aje yanga yeye ndio mpigaji na lile ndio goli lake la kwanza la free kick. unapenda sana kwenda na matukio wewe kama upepoHuna Akili na Heshimu maoni yangu hapa Jamiiforums sawa? GENTAMYCINE siyo tu ni Shabiki wa Simba SC ila pia ni Mwanamichezo hivyo hata kama nikiona upande wa Yanga SC kuna Jambo Jema au Mchezaji mzuri sitoacha Kupongeza na Kumpongeza sawa?
Una Roho Mbaya, Mswahili na Mshamba.
Nani anakaa benchi pale akija
Kwa foul Ile Mtu amelala unakanyaga juu Bora refa angemuonyesha Kadi ya njano, lakini kumwacha kama Hakuna kilichotokea ni kumtafutia adhabu kubwa zaidi. Si Kila Kadi inatoka Kwa kosa la makusudi, hata bahati mbaya inaadhibiwa (reckless manner).Mkuu kama unafatilia mpira ile haikuwa makusudi ndio maana refa aliiona lakini hakutoa kadi, nakuhakikishia chama hatopata adhabu yoyote
Everywhere kwenye nini?Chama was everywhere Phiri jana alipotea
Tuonyeshe huo ubingwa wa CAF mnaojivunia naoTunaongelea mechi iliyotoka kuchezwa, mlizidi nini? Kama ni historia mlishawahi kubamizwa 5G na misimu ya karibuni 4G. Timu ya maana haiwezi kujivunia ubingwa wa aina hii ya ligi huku kimataifa ukivurunda. Yaani hamna tofauti na klabu bingwa ya ligi ya nchini Shelisheli.
UWANJANIEverywhere kwenye nini?
Kufanikiwa sio lazima uwe bingwa na ndio maana kila hatua kuna zawadi.Tuonyeshe huo ubingwa wa CAF mnaojivunia nao