Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ONYO: Yo Yo, watu8, Judgement, Filipo na wengine, hizo lugha mnazotumia hapa ni faul language. Ni kinyume kabisa na taratibu za humu. Muhimu zaidi thread hii (ya Sumbalawinyo) inahusu upendo na siyo chuki. Stop that kind of language please.
Mwita Maranya! Mwita Maranyaaaaaaaaaaaa! Sitaki ugomvi na binti yako Zion Daughter! Oohooooooo! Usiwe unapiga kelele ukinitaja, shauri yako!
he he he 🙂
nakudeku tu, silali
Dady bana..ushachelewa tatizo nilizaliwa mchana kweupeeee.....lakn huyu mwaJ dawa yake ipo jikonii... tego litakalokupata usinitafute dady
nimeshafika bibie,niko hapa teyari.Nalog offwee, hebu rudi hapa
manoah weye wamzimia nani aisee mbona sikuoni hapa hata ukitajwa???
nimeshafika bibie,niko hapa teyari.Nalog off
mwaJ kuna formula moja lazima uijue..katika familia mara nyingi watoto wa kike huwa wanakuwa karibu na kupendana na baba zao na watoto wa kiume huwa wanapendana zaidi na mama zao..Hiyo ni nature tu..hata dady angu Mwita Maranya analijua hili..Khaaaa! Mtoto una wivu wewe! Tangu lini binti akamtega baba yake? Zion Daughter hebu fikiria mara mbili. Mwita Maranya hebu msikilize binti yako!
Zion Daughter nizimie mwenzio nione raha