National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Basi asubuhi nipigie skype π π π ili niamke tuanze pindituanze kesho asubuh,,,ninunue na counterbooks kabisa auππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi asubuhi nipigie skype π π π ili niamke tuanze pindituanze kesho asubuh,,,ninunue na counterbooks kabisa auππ
Aya bhanaπ π πBasi asubuhi nipigie skype π π π ili niamke tuanze pindi
usiniogopeee mie ni mwalimu tu π€£π€£π€£ baba wa watoto sita .. na nimefunga huenda ukawa upo sawa na mtoto wangu wa kwanza π π πAya bhanaπ π π
Kwakweli ππusiniogopeee mie ni mwalimu tu π€£π€£π€£ baba wa watoto sita .. na nimefunga huenda ukawa upo sawa na mtoto wangu wa kwanza π π π
Basi ubavu wako ni shoga angu mmoja wa kinigeria anaishi Norway huko.
Anapendana na wanaume wa ajabu ajabu kila siku wanatoana ngeu hadi police wanajulikana.
Kwenye sex story zake ndo hivyo hivyo kama wanyama
Mwambie huyo...hajui tu ni bomuOgopa mwanamke asiyeomba hela, narudia tena muogope sana.
Umewawakilisha wanaume halisia..safi na hongerami leo nimetuma bila kuombwa ila bila ya kutolea.
Baby kanambia tu leo naenda saloon kidume nkajiongeza....ila pumzi kubwa imenitoka sema inataka uzoefu sana haya mambo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ujumbe umemfikia na mjumbe hauawi siku zote.Mwambie huyo...hajui tu ni bomu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Asiyepiga mswaki wala kuoga,yani awe mchafu chafu tu,ile harufu amazing sana.
Hivi femist ni mwanamke wa aina gani?
Ambaye anataka equality kwenye kila kitu yani kila kitu ye anataka 50/50 ushanisoma ee??Hivi femist ni mwanamke wa aina gani?
Wa hivyo simtaki aisee, mi nataka wa ndio babaAmbaye anataka equality kwenye kila kitu yani kila kitu ye anataka 50/50 ushanisoma ee??
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app