itoko jr
JF-Expert Member
- Feb 26, 2023
- 1,126
- 2,537
[emoji28][emoji28]Wa hivyo simtaki aisee, mi nataka wa ndio baba
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28]Wa hivyo simtaki aisee, mi nataka wa ndio baba
Hatimaye wadada kina Palina na wengineo wamefurahia comment yanguNapenda civilized woman, mstaarabu mwenye kukeep time, mwenye roho nzuri wengi wanawake roho nzur hawana.
mwenye anajua kuwa na mahaba at every point.
mwanamke anaye mngoja mwanaume wake arudi nyumbani baada ya mihangahiko na kumpokea na huyo ndiye mwanamke, wanaagana au anamuaga mumewe kwenda kazini huku akimfunga kifungo na kukunja kola ya shati.
Irene Uwoya. Nikimuona moyo unapiga paaaKila mtu ana matamanio yake juu ya mtu au katika maisha, je!
Ni aina gani ya mwanamke ambae unatamani kuwa nae lakini hujampata?
maisha yanabadilika na watu pia wanabadilika mdogo wangu acha ajitafutie wa hitaji lake.Nahisi wifi alikua anatania siamin ni kweli aisee☹️
KibongeView attachment 2668818
Nilikuwa natamani nipate mtu kama huyo[emoji115][emoji115][emoji115] Ila nimekujua kugundua wengi wao akili kisoda
Nilimpenda kuanzia sekunde uliyonitambulisha.maisha yanabadilika na watu pia wanabadilika mdogo wangu acha ajitafutie wa hitaji lake.
sina pa kwenda kwake nimetia nanga ila yeye kama ana pakwenda aende tu 😪Nilimpenda kuanzia sekunde uliyonitambulisha.
Hata hivyo we don't loose people.
They loose us.
Atajuta.
Hawezi kupata tena wa aina yako.
Naombea ajiongoze mapema kabla hajakupoteza
Toa mbususu uone kama hujapelekea dubaiNyie ndio wanaume sasa.
Mengine yapo yapo tu hata aibu hayaoni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji174]Yule wazir ummy mwalim, tena ile shingo yake yani wew acha tu
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Napenda civilized woman, mstaarabu mwenye kukeep time, mwenye roho nzuri wengi wanawake roho nzur hawana.
mwenye anajua kuwa na mahaba at every point.
mwanamke anaye mngoja mwanaume wake arudi nyumbani baada ya mihangahiko na kumpokea na huyo ndiye mwanamke, wanaagana au anamuaga mumewe kwenda kazini huku akimfunga kifungo na kukunja kola ya shati.
Acha basi hata huku mtaani wapo ni mipangilio yenu tu mama.Tamthilia zimekuathirii[emoji23][emoji23]
Akukunje kola ya shati amka hapo hao wapo kwenye movie tu[emoji38]
Kila mtu ana matamanio yake juu ya mtu au katika maisha, je!
Ni aina gani ya mwanamke ambae unatamani kuwa nae lakini hujampata?
Ndiyo.Matom boy au