Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nataka mdada anayetoa penzi bila kudai pesa japo pesa atazipata bila kuomba. Mdada wa namna hiyo aje pm fasta!Hayo mwenyewe washanikosa 🤣
Me nataka mkaka anayetuma hela bila kuombwa na anatuma na ya kutolea.
Kama yupo aje pm chap
Wapo?mimi nataka mdada anayetoa penzi bila kudai pesa japo pesa atazipata bila kuomba. Mdada wa namna hiyo aje pm fasta!
Natumai wameona tangazo lako watakujamimi nataka mdada anayetoa penzi bila kudai pesa japo pesa atazipata bila kuomba. Mdada wa namna hiyo aje pm fasta!
Wapo sana tu, inategemea unatafutia wapi.Wapo?
Atakayewahi atafaidi hadi aseme, hivi nilikuwa nimechelewa wapi?Natumai wameona tangazo lako watakuja
Hahahaa wanakuja wasubiriAtakayewahi atafaidi hadi aseme, hivi nilikuwa nimechelewa wapi?
maisha yanafurahisha sana!!Hahahaa wanakuja wasubiri
Ebu tutolee mambo ya udini apaaWanaume mna tamaa sana hata mumpate wa aina gani bado mtatamani mwengine. Ndiyo maana Mwenyezi Mungu katika Qur'an akawaruhusu mpaka wanne ikiwa mtaweza kufanya uadilifu:
Qur'an 3:3 ...basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu,...
Mtauweza huo uadilifu? Wanaume wenyewe wa siku hizi lishe ndogo.
Uislam ni mwema sana.
Hivi wewe unajua mwanamke anaweza kutembea na watu wangapi kwa siku moja kama akiamua!! Lakini kwa mwanamume hata akiamua hawezi kutembea na idadi aiwezayo mwanamke kwa siku moja! Kwa hiyo wanawake ndio wenye tamaa kuliko wanaume!!Wanaume mna tamaa sana hata mumpate wa aina gani bado mtatamani mwengine. Ndiyo maana Mwenyezi Mungu katika Qur'an akawaruhusu mpaka wanne ikiwa mtaweza kufanya uadilifu:
Qur'an 3:3 ...basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu,...
Mtauweza huo uadilifu? Wanaume wenyewe wa siku hizi lishe ndogo.
Uislam ni mwema sana.
Mwanamke mtu mzima sana wenye rangi nyeusi tiiii na kalio kubwa. Awe mnene sana. Pia awe na mapenz ya kwelKila mtu ana matamanio yake juu ya mtu au katika maisha, je!
Ni aina gani ya mwanamke ambae unatamani kuwa nae lakini hujampata?
sawa wasiliana na Eunice wa napeasie enda mwezini.. unakuwa unajilia mwezi mzima non stop