Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Wewe una sifa gani mkuu?Naona hapo juu kasema asiyeenda mwezini,, mwingne asiyeomba hela ...naona zamu yangu bado 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una sifa gani mkuu?Naona hapo juu kasema asiyeenda mwezini,, mwingne asiyeomba hela ...naona zamu yangu bado 😂😂
Ewaaa🤩🤩,,, bado tuendelee kusoma comments 😅😅Hayo mwenyewe washanikosa 🤣
Me nataka mkaka anayetuma hela bila kuombwa na anatuma na ya kutolea.
Kama yupo aje pm chap
Anakufaham na yeye!?Nilimtext hakujibu mkuu saiv itabid nimpigie tu
UtotoWewe una sifa gani mkuu?
Endeleeni kutiririka tu,, kwa mlizotaja naona bado sio ndoto ya mtu hapa🤣🤣🤣🙈Wewe una sifa gani mkuu?
acha mawazo machafuu.. comments yangu una ihusisha vipi na huo upumbav ambao ume umeutaja ? usichukulie serious mambo humu jf!Halafu watu wanashangaa kwann Kuna ushoga unaomea daily🤔🤔
Ananipata vizur tu sema mi namlia timing iyo mkuu
Sijawahi pata mwenye sifa hii na ndio chaguo langu. Njoo pm tuyajengeUtoto
😅😅😅 basi acha nimsake mubibi alie na menopauseBibi wa menopause labda
Inategemea hua unawawindia wapi mkuuNina bahati mbaya ya kukutana na vilaza,mpka huwa najiuliza wanawake vichwa hawapo kabisa!
Aisee..Endeleeni kutiririka tu,, kwa mlizotaja naona bado sio ndoto ya mtu hapa🤣🤣🤣🙈
No,sifa ya kwanza ya mwanamke ni via vyake vya uzazi hence hedhi🙏so asiyepata hedhi siyo mwanamke🤣🤣sorry next think before you type,acha mawazo machafuu.. comments yangu una ihusisha vipi na huo upumbav ambae ume umeutaja ? usichukulie serious mambo humu jf!
[emoji1]Inategemea hua unawawindia wapi mkuu
Mie nimeandika kwa utani, hiyo comment weye ndio umeichukulia serious.. Mie natamani mwanamke awe na chura na asiwe na chura basi 😊.. huwa sipendi kabisa kusoma hata neno ulilo husisha na comment yangu juu..No,sifa ya kwanza ya mwanamke ni via vyake vya uzazi hence hedhi🙏so asiyepata hedhi siyo mwanamke🤣🤣sorry next think before you type,
nipo hapa secret admirer wako😂Tuko pamoja kwenye hili
Totoo tatizo wewe mwanafunzi😅nipo hapa secret admirer wako😂