Ni nani alikuwa nyuma ya kuvunjika kwa Taifa la Sudan? Je, ilikuwa ni vita ya mabeberu dhidi ya uchumi (mafuta) wa Omar al-Bashir?

Ni nani alikuwa nyuma ya kuvunjika kwa Taifa la Sudan? Je, ilikuwa ni vita ya mabeberu dhidi ya uchumi (mafuta) wa Omar al-Bashir?

Hakuna cha kuona mbali bora walivyogawana mbao ,yeye angekuwa mnufaika wa utawala hivyo hakujali wengine

Sudan Kusini ilisimama itakuwa na nguvu Sana kiuchumi hapa EAC
Unajua watu wanaangalia tatizo la Sudan Kusini na Sudan kwa ujumla kuanzia utawala wa Omar Bashir lakini root ya matatizo ya mataifa haya ni mbali sana!!!

Na hata madai yako kwamba Garang aliona angekuwa ni mnufaika ni madai yanayoweza kuwa ya kweli kwa sababu, serikali ya mwanzo kabisa, miaka michache tu baada ya kupata uhuru, serikali ya Sudan ilikuwa na wajumbe wawili kutoka kusini, na mmoja wa hao wajumbe alikuwa ni John Garang!!

Binafsi, naweza kumlaumu sana Mwingereza na ile staili yake ya divide and rule! Sudan ya Kaskazini ilikuwa na mambo mengi mno ya kuifanya pande hiyo kuwa superior over south! Yaani ukoloni tayari ulishaiandaa Sudan Kaskazini kuwa ruling class!!

Sasa ukichanganya tabia yao ya ubaguzi ambayo ipo hadi kesho, ikawa ni chumvi kwenye kidonda kibichi!!
 
Hakuna cha kuona mbali bora walivyogawana mbao ,yeye angekuwa mnufaika wa utawala hivyo hakujali wengine

Sudan Kusini ilisimama itakuwa na nguvu Sana kiuchumi hapa EAC
Juba haitakuja kusimama kama Khartoum na mabomba ya mafuta yapo.Ni kama Congo haitasimama mpaka madini yaishe.Sudan kuwa Nchi moja ndiyo ingenufaika zaidi kwa kuwa na sera za umoja wa kitaifa na sheria kandamizi kufutwa.
 
Juba haitakuja kusimama kama Khartoum na mabomba ya mafuta yapo.Ni kama Congo haitasimama mpaka madini yaishe.
Mkuu, sikia hii "South Sudan is a landlocked country in Northeast Africa. It is bordered by Sudan, Ethiopia, Kenya, Uganda, Democratic Republic of the Congo, and Central African Republic"

Sasa wanawezaje kusafirisha mafuta kwenda soko la kimataifa/dunia huko ughaibuni?
 
Mkuu, sikia hii "South Sudan is a landlocked country in Northeast Africa. It is bordered by Sudan, Ethiopia, Kenya, Uganda, Democratic Republic of the Congo, and Central African Republic"

Sasa wanawezaje kusafirisha mafuta kwenda soko la kimataifa/dunia huko ughaibuni?
Wapasue Bomba litokee Kenya hapo wakusanye dolar fasta. C unaona museveni na Bomba lake la mafuta kuelekea Tanga.
 
Unajua watu wanaangalia tatizo la Sudan Kusini na Sudan kwa ujumla kuanzia utawala wa Omar Bashir lakini root ya matatizo ya mataifa haya ni mbali sana!!!

Na hata madai yako kwamba Garang aliona angekuwa ni mnufaika ni madai yanayoweza kuwa ya kweli kwa sababu, serikali ya mwanzo kabisa, miaka michache tu baada ya kupata uhuru, serikali ya Sudan ilikuwa na wajumbe wawili kutoka kusini, na mmoja wa hao wajumbe alikuwa ni John Garang!!

Binafsi, naweza kumlaumu sana Mwingereza na ile staili yake ya divide and rule! Sudan ya Kaskazini ilikuwa na mambo mengi mno ya kuifanya pande hiyo kuwa superior over south! Yaani ukoloni tayari ulishaiandaa Sudan Kaskazini kuwa ruling class!!

Sasa ukichanganya tabia yao ya ubaguzi ambayo ipo hadi kesho, ikawa ni chumvi kwenye kidonda kibichi!!
Intelligent indeed
 
Wapasue Bomba litokee Kenya hapo wakusanye dolar fasta. C unaona museveni na Bomba lake la mafuta kuelekea Tanga.
Sawa mkuu nimekuelewa, ila kwa sasa wanasafirishaje mafuta kwenda huko katika soko la kimataifa?
 
Mkuu, sikia hii "South Sudan is a landlocked country in Northeast Africa. It is bordered by Sudan, Ethiopia, Kenya, Uganda, Democratic Republic of the Congo, and Central African Republic"

Sasa wanawezaje kusafirisha mafuta kwenda soko la kimataifa/dunia huko ughaibuni?
Baada ya kutengana mafuta yanapitishwa North kwa mkataba wa dola 26 kwa pipa au Kenya .Wakati huohuo rushwa na ukabila uliyovuka kiwango kutoka kwa maafisa wakuu wa SPLA ambao bado wana uhusiano na Khartoum pamoja na mashirika makubwa ya Marekani,China,kupitia mgongo wa Kenya na Uganda ndiyo wanufaika zaidi kwa kupokea asilimia fulani au kuwa shareholders.
 
Binafsi naona Rais Samia anapambana na UZEMBE NA RUSHWA kuliko marais wote waliopata kuiongoza Tanzania.
Rais Samia ameweka rekodi ya kupeleka umeme kila kijiji Tanzania Hii haijawahi kutokea kwa Africa Ahsante Samia kwa kuwatumikia Watanzania
 
Rais Samia ameweka rekodi ya kupeleka umeme kila kijiji Tanzania Hii haijawahi kutokea kwa Africa Ahsante Samia kwa kuwatumikia Watanzania
Mabeberu yameanza kumpigia samia magoti. Tuliwaonya Samia hajaribiwi
 
Back
Top Bottom